si umesema Pasco kaukimbia uzi,mjibie kama unajua nataka kweli kujua
Mkuu Marire, tangu nimezaliwa nimekutwa wewe unaitwa Marire, nimesikia ukiitwa Marire na mimi nakuita Marire!, jee unajua ni kwa nini unaitwa Marire?, kuniuliza mimi ni kwa nini unaitwa Marire ni kunionea bure!, mwenye kustahili kujua ni kwanini unaitwa Marire, ni yule aliyekupa jina la Marire!.mkuu Pasco umecopy vibaya kila mara huwa nasikia mapinduzi matukufu ya zanzibar hata radio na magazeti.
sijawahi kujua kwanini wanaita matukufu.
kama unajua nieleweshe tu mkuu wangu
Yule anaukimbia si kwa maana ati hasomi Posts la..! asoma ila utetezi juu ya kile akiaminicho ndo haezi,
Ukinitaka ushaahidi, tizama mwanzo hadi sasa katika hiyo Post yako utaona LIKE(S) yake,
Akuchanganya na kukugeiya shida weye, sie afahamu ni namna gani apewa dawa na isitoshe kupitia dawa hizi akawa aokotelezakoteleza ili naye ati aandike Historia nyangine kwa lengo apate kula pitia mawazo ya wangine.
mkuu Pasco umecopy vibaya kila mara huwa nasikia mapinduzi matukufu ya zanzibar hata radio na magazeti.
sijawahi kujua kwanini wanaita matukufu.
kama unajua nieleweshe tu mkuu wangu
MAPINDUZI
Mkuu Marire, tangu nimezaliwa nimekutwa wewe unaitwa Marire, nimesikia ukiitwa Marire na mimi nakuita Marire!, jee unajua ni kwa nini unaitwa Marire?, kuniuliza mimi ni kwa nini unaitwa Marire ni kunionea bure!, mwenye kustahili kujua ni kwanini unaitwa Marire, ni yule aliyekupa jina la Marire!.
Vivyo hivyo kwa MAPINDUZI MATUKUFU, aliyeyaita MAPINDUZI MATUKUFU, sio mimi, mimi nimezaliwa nimekuta yanaitwa MAPINDUZI MATUKUFU, na mimi nayaita MAPINDUZI MATUKUFU, wa kujibu ni kwa nini yanaitwa MAPINDUZI MATUKUFU, na utukufu wa MAPINDUZI hayo MATUKUFU ni upi au ni nini, wanayajua hao walioyaita MAPINDUZI MATUKUFU, ila kama lengo ni kuyabadili jina toka MAPINDUZI MATUKUFU na kuwa ni MAUAJI YA KIMBARI! mnaweza kuyabadili jina, na wote watakaozaliwa sasa wakikuta yanaitwa MAUAJI YA KIMBARI, watayaita MAUAJI YA KIMBARI, na jina hili jipya nalo litakuwa al maarufu kama jina la MAPINDUZI MATUKUFU!.
Pasco
Atakuelewwsha vipi wakati si katika sifa zake kuhoji mambo huoni nawe wampa balaa jangine.....?!
Na hii pia kukuthibishia tunaye pamoya atani "LIKE"
Pasco,
Ati ulizo hilo na maelezo yangu yanatofatiana au nimekusingizia?
Hapa kwenye red unasema haukuepo, cha kuchekesha kwenye blue unatoa taarifa kuwafahamisha watu mapinduzi kama ulikuwepo.Mkuu rizimu ya kahawa, Kahawarizimu, yalipotokea Mapinduzi ya Zanzibar, mimi sikuwepo, haya Mapinduzi, nimekuta yakwa Mapindiituzi Matukufu ya Zanzibar, na slogan ni "Mapinduzi Daima!", hiyo aliyeyatukufushanilipopata akili kuhusu sio mimi wala Kikeke, bali wale waliofaidika na mapindizu hayo!.
Niliuliza toka mwanzo Mwarabu alipotokazake Omani na kuitwaa Zanzibar, aliwakuta wenyewe?, wenye Zanzibar yao?!, alivipataje hivyo visiwa hadi kuvifanya vyake?, aliviokota tuu kama sadakalawe?, kwa taarifa tuu haswa kwenu msiojua, Mapinguzi ya Zanzibar yalifanywa na wenye Zanzibar yao!, wakampindua mvamizi Mwarabu!, na wengi walidhani Waarabu walitimuliwa!, la hasha, hawakutimuliwa, bali walijitimkia wenyewe, ama kurudi kwao ama kukimbilia uhamishoni!.
Wanaoyaita Mapinduzi yale Matukufu kuwa ni mauaji ya kimbari, ni waliopinduliwa na vizalia vyao!, kama vipi, bora kila mtu arejee kwao kwenye asili yake, muwaachie Zanzibar, wenyewe halisi wenye Zanzibar yao!.
Mtu aje atoke anakokujua, avamie visiwa, avitwae na kuvifanya vyake, atimuliwe, kisha alalamike!.
Mapinduzi Daima!.
Pasco
Mkuu PascoWanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.
Pasco.
Dereva Tax akimpeleka mjamzito Hospitali na mama akajifungua salama , yeye Dereva Tax hawi baba wa yule mtoto
Niliwahi kumkuta jamaa mmoja na mke wake Jangwani mama akiwa hatua za mwisho kujifungua, nikawapeleka hospitali ya muhimbili, after 40 minutes baba/mme wa yule mama akanipigia simu kunishukuru
Okello alitumiwa tu na ndio maana historia yake haieleweki, Uganda, tanzania na kenya wote kwa nyakati Tofauti wame enjoy services za Okello
All in all dhana ya ubaba kwa taifa fulani is very very questionable and debatable
aibu..
nikiwa naangalia sherehe za "mapinduzi"vinapita vikosi vya majeshi tofauti na mtangazaji anataja kiongozi wa kila kikosi kinachopita...wote ni erick,lema,mwakadinga,mosha,peter joseph..na kama hao.
hakuna mzanzibar anaeongoza vikosi vya jeshi hii inathibitisha wazanzibar wapo chini ya utawala wa kijeshi wa Tanganyika na waliofanya mapinduzi ndio wanaonesha nguvu zao.
hali ilivo hata tanganyika kwa amri ya pengo wakipiga marufuku quraan Tanzania au watanganyika wakilazimisha serikali moja na hata wazanzibari kwa ujimla yao wote wakiona muungano hauna maslahi kwao basi hawawezi kujitoa kwa njia za kisheria...ukweli wametawaliwa na mapinduzi ya leo yanathibitisha hivyo .
wenye mapinduzi wanajifaragua wazanzibari wanachezewa shere
Wanabodi,
Nafuatia makala maalum kuhusu Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ya Januari 1964, zinazorushwa mfululizo na Idhaa ya KIswahili ya BBC kila siku kuanzia 1:00-1:30.
Katika kipindi cha leo, Mmoja wa askari aliyekuwa zamu ikulu ya Sultani, kwa jina maarufu la Mzee Sukari, anasimulia first hand information kuhusu mapinduzi hayo! akihojiwa na Baruan Muhuza wa BBC. Amekiri kuwa Sultani hakufukuzwa Zanzibar, alikuwa akitafutwa hivyo alitoroka mwenyewe!, na baada ya Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar, waarabu hawakufukuzwa Zanzibar, bali walijiondokea wenyewe!.
Kesho kutafanyika mjadala maalum kuhusu Mapinduzi hayo Matukufu ya Zanzibar utakaoanza saa 12:45-1:30.
Siku ya kilele, kutatolewa nishani maalum za Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, sijui kama yule shujaa halisi wa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, Field Marshal John Okello, atakumbukwa!.
Pasco.
Pasco huu uzi unashusha hadhi ya taaluma yako otherwise uniambie kuna mtu anatumia ID yako
1. Mamako akiwa mswahili babako Muarabu unakuwa muafrika au?
2. swali lilikuwa wawapi waafrika waliopelekwa arabuni, mwenzio akatuonyesha wazanzibari wakristo! Bado nauliza vile vile Augustino ramadhani katokea arabuni ipi?
Msikize Dr. Shein, ametaja MAPINDUZI MATUKUFU,na sasa anendelea kuutangaza utukufu wa MAPINDUZI hayo!.Haya ni mauaji ilibidi bendera zipeperuke nusu mlingoti kwa kuawa ndugu zetu kinyama kule pemba kuna mashimo makubwa 2 walifukiwa kama kumbi kumbi okelo alifanya mapinduzi ya kuondoa uislamu znz na kuupandikiza ukatoliki mola mlaani okelo na nyerere wake
aibu..
nikiwa naangalia sherehe za "mapinduzi"vinapita vikosi vya majeshi tofauti na mtangazaji anataja kiongozi wa kila kikosi kinachopita...wote ni erick,lema,mwakadinga,mosha,peter joseph..na kama hao.
hakuna mzanzibar anaeongoza vikosi vya jeshi hii inathibitisha wazanzibar wapo chini ya utawala wa kijeshi wa Tanganyika na waliofanya mapinduzi ndio wanaonesha nguvu zao.
hali ilivo hata tanganyika kwa amri ya pengo wakipiga marufuku quraan Tanzania au watanganyika wakilazimisha serikali moja na hata wazanzibari kwa ujimla yao wote wakiona muungano hauna maslahi kwao basi hawawezi kujitoa kwa njia za kisheria...ukweli wametawaliwa na mapinduzi ya leo yanathibitisha hivyo .
wenye mapinduzi wanajifaragua wazanzibari wanachezewa shere
Lakini wale wenyeji wazanzibar kabla ya kutengeneza chotara za kiarabu walitokea wapi?? jibu ni bara