Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Hivi wale watumwa wengi waliochukuliwa uarabuni waliishia wepi.ningefurahi kuona ndugu wetu hao kama ilivyo kwa waliotoka afrika magharibi wanavyoonekana marekani

kumbe na wewe historia inakuchapa,,, mwarabu hakua mtu wa mwisho katika biashara ya utumwa, na mwarabu passee hakuja africa kwa biashara ya utumwa,, ila biashara hii ilimkuta tayari akiwa na network na yeye alichofanya ni udalali tu lakini mwenye kuhitaji watumwa alikuwa mzungu na yeye alipelekewa watu weusi huko kama soko ,,, kuna maeneo flani flani amabyo kwa namna moja au nyingine biashara haikufanyika na watumwa wakalzimika kubaki maeneo hayo,, mpaka leo wapo hapo,, kwa mfano Iraq kuna jimbo la Basra hapa kuna weusi wengi wenye asili ya Sudan, na hata Zanzibar,, hapa huitwa Basrawi au Zanj bado wanatauata mila za africa na wanaaminika sana katika uganga wa kienyeji. google history of the black community of Iraq. (niko hapa nawaona) wengine wanapatikana Yemen, Oman na maeneo mengine....
 
Mkuu Pasco nimekupa ushauri tumia lugha ya stara kwenye huu mnakasha watu wapate kujifunza kitu lugha za kejeli dhiaka wote tunazifahamu usilazimishe tufike huko, siyo mbaya kama utataka hivyo.

Huyu Pasco ndo maana anakimbia mjadala kwa maneno yake ya kejeli. .kwann unyambulishe jina la mtu? Ngoja waje vijana wa madrasa wamjibu akawaite Mods wafunge thread
 
Last edited by a moderator:
aibu..
nikiwa naangalia sherehe za "mapinduzi"vinapita vikosi vya majeshi tofauti na mtangazaji anataja kiongozi wa kila kikosi kinachopita...wote ni erick,lema,mwakadinga,mosha,peter joseph..na kama hao.
hakuna mzanzibar anaeongoza vikosi vya jeshi hii inathibitisha wazanzibar wapo chini ya utawala wa kijeshi wa Tanganyika na waliofanya mapinduzi ndio wanaonesha nguvu zao.
hali ilivo hata tanganyika kwa amri ya pengo wakipiga marufuku quraan Tanzania au watanganyika wakilazimisha serikali moja na hata wazanzibari kwa ujimla yao wote wakiona muungano hauna maslahi kwao basi hawawezi kujitoa kwa njia za kisheria...ukweli wametawaliwa na mapinduzi ya leo yanathibitisha hivyo .
wenye mapinduzi wanajifaragua wazanzibari wanachezewa shere
 
mkuu huko umeenda mbali sana, na pengine utapelekea swali lako kuwa gumu. We huliza baba wa Taifa wa la ZANzi ni nani???
(a)John Okelo
(b)Abeid Karume
(c)Sultani bin Said

Hakuna Baba wa Taifa hata mmoja. Hizo dhana za Ukomunisti ziko huko huko ukafirini. Uongozi ni dhamana. Hakuna mtu hata mmoja atakaenambia baba yangu ni Mkuu wa Nchi ni Baba yangu au baba wa watu wote wa nchi. BABA YANGU NI YULE ALIENIAMBIA MAMA YANGU HUYU HAPA BABA YAKO!
 
Hiyo ni common knowlege (labda useme spelling za kiarabu nimekosea), lakini mantiki ipo pale pale. Au labda wewe una maana tofauti au historia tofauti ya neno zanzibar lilipotokea?
Mimi sifahamu neno Zanzibar lilipotokea naomba kufahamu kupitia kwako mkuu.
 
Jamani ndugu sisi ni binadam tunapewa taaarifa tuna upeo wa kufikiria tofauti na mbuzi vitabu vinaeleza kuwa mwarabu ndio aliyekuwa akiwachukua mababu zetu wakiwafanya watumwa swali nauliza ni mashamba gani duniani yalimilikiwa na waarabu? Pili kwanini picha zote zinazowaonesha waarabu wanavyowatesa mababu zetu huwa ni za kuchora? Hii inaonesha ni uzushi ukitaka kupata tru story tafuta kitabu kilichoandikwa unhiden history yaani historia iliyofichwa
 
Huyu Pasco ndo maana anakimbia mjadala kwa maneno yake ya kejeli. .kwann unyambulishe jina la mtu? Ngoja waje vijana wa madrasa wamjibu akawaite Mods wafunge thread
Anachofanya Pasco ni kurusha ngumi hewani hana hoja kabakisha viroja.
 
Last edited by a moderator:
Mimi sifahamu neno Zanzibar lilipotokea naomba kufahamu kupitia kwako mkuu.

Ndio hivyo zanzibar maana yake ni nchi ya watu weusi, inatokana na kiarabu 'zanj'. Ilibatizwa jina hilo na waarabu wa kwanza kabisa kufika zanzibar.
 
Jamani ndugu sisi ni binadam tunapewa taaarifa tuna upeo wa kufikiria tofauti na mbuzi vitabu vinaeleza kuwa mwarabu ndio aliyekuwa akiwachukua mababu zetu wakiwafanya watumwa swali nauliza ni mashamba gani duniani yalimilikiwa na waarabu? Pili kwanini picha zote zinazowaonesha waarabu wanavyowatesa mababu zetu huwa ni za kuchora? Hii inaonesha ni uzushi ukitaka kupata tru story tafuta kitabu kilichoandikwa unhiden history yaani historia iliyofichwa

Uzuri ni kwamba waarabu wenyewe hawakatai historia yao, mnakataa nyinyi 'waaraislamu'! Haya shida yako si picha chukua hii, hapo ni zanzibar.
Slavezanzibar2.JPG

Photograph of a slave boy in Zanzibar. 'An Arab master's punishment for a slight offence. ' c. 1890. source:wikipedia-slavery.
 
Ndio hivyo zanzibar maana yake ni nchi ya watu weusi, inatokana na kiarabu 'zanj'. Ilibatizwa jina hilo na waarabu wa kwanza kabisa kufika zanzibar.
Mkuu JF kuna great thinkers unapoweka kitu ni vizuri kuweka na ushahidi ili kujenga nguvu ya maneno yako, inakuwa ngumu watu kuamini maneno matupu ambayo hayana facts wa data.
 
Huyu Pasco ndo maana anakimbia mjadala kwa maneno yake ya kejeli. .kwann unyambulishe jina la mtu? Ngoja waje vijana wa madrasa wamjibu akawaite Mods wafunge thread

Huyo huwa hakusudii kuelimika / kuelimishana wala,
Mara zote we mfuatize na si bakhti mbaya laa hasha,

Nikuhakikishiacho ana majina hapa ambayo kila akutanapo nayo huyafanzia KEJELI na kuwa na lengo la kuharibu kilichopo mbele, ili ninyi mpate kubaki na uzi wake kwa mtindo wa kukariri kama Kasuku,

Pasco,
Nadhani huu ni mwendelezo wa yale au ni jipya hili?!

Lakini njaa kubali mdogoangu ni kitu hatari sana na zaidi ya hiyo sana,

Naomba umakinime ili ujikomboe kwanza pekeako.
 
Uzuri ni kwamba waarabu wenyewe hawakatai historia yao, mnakataa nyinyi 'waaraislamu'! Haya shida yako si picha chukua hii, hapo ni zanzibar.
Slavezanzibar2.JPG

Photograph of a slave boy in Zanzibar. 'An Arab master's punishment for a slight offence. ' c. 1890. source:wikipedia-slavery.
Naona sasa ulivyokuwa na chuki na Waislam! Hivi mfano Mchungaji Shoga Gene Robinson wa Anglican unaweza kusema Wakirsto wote ni mashoga?

Sijui kama umeishasikia kuwa Kanisa liliomba msamaha kwa biashara ya utumwa.

Turudi kwenye mada ya msingi huyu mtoto mtumwa ametokea wapi mpaka kufika Zanzibar.
 
kwanini yakaitwa mapinduzi matukufu?
yana utukufu gani?
 
Uzuri ni kwamba waarabu wenyewe hawakatai historia yao, mnakataa nyinyi 'waaraislamu'! Haya shida yako si picha chukua hii, hapo ni zanzibar.
Slavezanzibar2.JPG

Photograph of a slave boy in Zanzibar. 'An Arab master's punishment for a slight offence. ' c. 1890. source:wikipedia-slavery.

ok sawa huyu ni mtanganyika aliuzwa na machifu wenu kwa slave hunters.
machifu wakiuza watumwa wakiletwa znz na wazungu wakinunua.
ujinga uliokuwapo tanganyika ndio ulo wafanya machifu wauze watu wao.
na hakuna mzalendo wa asili wa zanzibar alifanywa slave.
zanzibar kilikua ni ni kituo cha biashara ya utumwa..na hakuna mtumwa wa kipemba wala wa kitumbatu wala kimakunduchi.
 
kwanini yakaitwa mapinduzi matukufu?
yana utukufu gani?
Mkuu Marire, naendelea kulijibu hili kwa msisitizo, ALIYEYAITA MAPINDUZI YA ZANZIBAR NI MAPINDUZI MATUKUFU! SIO PASCO WA JF! PASCO WA JF! KAZALIWA KAYAKUTA MAPINDUZI YAKIITWA MAPINDUZI MATUKUFU! NA YEYE ANAYAITA MAPINDUZI MATUKUFU.
Mmapinduzi Daima.
Pasco
 
mkuu Pasco umecopy vibaya kila mara huwa nasikia mapinduzi matukufu ya zanzibar hata radio na magazeti.
sijawahi kujua kwanini wanaita matukufu.
kama unajua nieleweshe tu mkuu wangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom