Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar: Kumbe Waarabu Hawakufukuzwa! Walikimbia Wenyewe - Mzee Sukari

,kutaka
Pasco
Naomba sasa usinotoroke katika jahazi hili ukazama na mie kujatukuwa lawama za ujanjaujanja wako.

Nadhani wakubali kuwa ati kutokana na muungano wa ASP+TANU = CCM,

Na Tanganyika + Zanzibar = TANZANIA.

Inakuwaje wewe kama Professional Journalist utukwepe ulizo letu zaidi ya week mbili ?

Kwa utangulizi hapo juu nadhani hutoshopoka na kutuata hapa jahazini.

Ama mfano ulonigeiya wa jina langu "wabara", mie nilileleka katika ndia za kupenda uliza nisipoelewa kwa adabu na hirama, kwa mantiki hiyo nafahamu kwanini mie kuitwa wabara.

Sasa nawe ukiulizwa ulizo la kwanini nchi hini kuitwa TANZANIA na mwanao/ any person naamini kuwa utamjuza sababu.

Na ukaulizwa kwanini kuitwa CCM pia kadhalika naamini utamfahamisha.


Tufungie kipengele hito kipengele ili nipate kukukumbusha baadhi ya vitu vangine.

Ahsanta .
Mkuu Wabara, aulizaye ni yule tuu atakaye kujua zaidi!. Kuna watu kibao, wanaijua Tanzania kama nchi na kulijua jina la Tanzania bila kutaka kujua chochote zaidi na hivyo hawaulizi chochote zaidi ya jina, Tanzania!. Vivyo hivyo kwa CCM, wapo watu kibao wanaotosheka na jina tuu la CCM ni Chama cha Mapinduzi na kuishia hapo bila kutaka kujua chochote zaidi ya jina.

Vivyo kwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wako watu kibao wanaotosheka na jina tuu la Mapinduzi Matukufu, bila kutaka kujua chochote zaidi ya Mapinduzi Matukufu!. Mimi Pasco wa jf, nimetosheka na jina tuu la Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar bila shauku ya kutaka kujua ni kwanini Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yanaitwa Mapinduzi Matukufu!.

Wenye kutaka kujua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kwanini Mapinduzi Matukufu hayo yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Utukufu wake ni upi, wako huru kuuliza.
Pasco
 
,kutaka
Mkuu Wabara, aulizaye ni yule tuu atakaye kujua zaidi!. Kuna watu kibao, wanaijua Tanzania kama nchi na kulijua jina la Tanzania bila kutaka kujua chochote zaidi na hivyo hawaulizi chochote zaidi ya jina, Tanzania!. Vivyo hivyo kwa CCM, wapo watu kibao wanaotosheka na jina tuu la CCM ni Chama cha Mapinduzi na kuishia hapo bila kutaka kujua chochote zaidi ya jina.

Vivyo kwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, wako watu kibao wanaotosheka na jina tuu la Mapinduzi Matukufu, bila kutaka kujua chochote zaidi ya Mapinduzi Matukufu!. Mimi Pasco wa jf, nimetosheka na jina tuu la Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar bila shauku ya kutaka kujua ni kwanini Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yanaitwa Mapinduzi Matukufu!.

Wenye kutaka kujua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, na kwanini Mapinduzi Matukufu hayo yanaitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Utukufu wake ni upi, wako huru kuuliza.
Pasco


Pasco
Kwanini huupendi ukweli?
Kuwa mkweli japo ukweli wauma!.

Hivi ukaenda Hospitali ukapawa dawa ambazo huzitaki lakini ni kwakuwa tu huzitaki, ila ndo tiba nzuri na si nzuri tu bali yafaa kwa maradhi yako,

Sasa Daktari aogope kukugeiye dawa hiyo kwakuwa weye hutaki?! na ukaulizwa kwanini kutotumia dawa hizi?! Ati sitaki tu maana sizitaki,
Sa huzitaki ilhaal waumia kwa maradhi?

Kunywa ni faida kwako na baadaye utajapata poo kabisa, lakini usivoshukurani waeza keti kimya bila mrejesho ila si kitu, wanzio watakuwa waishayua tatizole nini!!

Ondosha haya, tuambie hapa ya nini kuyaita ......... matukufu?
 
Hebu nipe reference japo moja ya mzungu kununua watumwa zanzibar! alikuwa akiwapeleka wapi? tufunge mjadala.

Mimi sisomeshi bure hasa mtu aliekuwa hafahamu wala hafanyi revision ya masomo yake. Wewe nadhani ulianza kufeli tokea shule ya msingi. Huo ni mtihani wako mwenyewe uliojibandika katafute wewe ulete hapa uthibitishe 'uwongo' wangu.

Bado mnataka mjadala na uzi mwengine hali huu umewashinda. Teh teh teh

Pole kwa jmali kwa kukosa kufikiri, teh teh teh
kahtaan, Ritz, wabara

ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.
 
Last edited by a moderator:
wandio
Pasco
Kwanini huupendi ukweli?
Kuwa mkweli japo ukweli wauma!.

Hivi ukaenda Hospitali ukapawa dawa ambazo huzitaki lakini ni kwakuwa tu huzitaki, ila ndo tiba nzuri na si nzuri tu bali yafaa kwa maradhi yako,

Sasa Daktari aogope kukugeiye dawa hiyo kwakuwa weye hutaki?! na ukaulizwa kwanini kutotumia dawa hizi?! Ati sitaki tu maana sizitaki,
Sa huzitaki ilhaal waumia kwa maradhi?

Kunywa ni faida kwako na baadaye utajapata poo kabisa, lakini usivoshukurani waeza keti kimya bila mrejesho ila si kitu, wanzio watakuwa waishayua tatizole nini!!

Ondosha haya, tuambie hapa ya nini kuyaita ......... matukufu?
Mkuu Wabara, ni mwenye shida ndio hufuata mganga, mimi Pasco wa jf nimekuwa nikisikia Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yakiitwa Mapinduzi Matukufu. Bado sijawa na shida ya kutaka kujua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Utukufu wake ni upi, nimeridhika kabisa kuyajua ni Mapinduzi Matukufu, yantosha miye, nitakapohitaji kuyajua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nitauliza ili nijuzwe,
Pasco
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

Lazima uzidi didimizwa maana akilini mwako ndo makosa yanafanyika,

Weye wasoma Story na si History,

Kama History ya Tanzania inakusumbua kiasi hiki....! hiyo ya International Slavery Trade itaeza keti katika SD card yako yenye uwezo wa kubeba MB 126?!!
 
Last edited by a moderator:
wandio
Mkuu Wabara, ni mwenye shida ndio hufuata mganga, mimi Pasco wa jf nimekuwa nikisikia Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, yakiitwa Mapinduzi Matukufu. Bado sijawa na shida ya kutaka kujua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar na Utukufu wake ni upi, nimeridhika kabisa kuyajua ni Mapinduzi Matukufu, yantosha miye, nitakapohitaji kuyajua zaidi ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, nitauliza ili nijuzwe,
Pasco

Pasco
Mie si Judge wa Jf, ila wenye kupitia maeleweshana haya ndo tuwaachie hukumu,
Ahsanta kwa kiwango chako cha ujanjaujanja uloendeleza kukionesha humu.

Sasa Pasco,
Naomba nikukumbushe kidogo, kwa ihsaniyo na kwa faida ya wana jamvi, pana mambo matano uliwahi tuahidia kama muendelezo wa series zako,

Waonaje tukianzia tena hapo ama pia uishajitosheleza nayo mwenyewe na hivyo huoni tena haja?

Ahsanta .
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

City_of_Kilwa,_1572.jpg

huu ni namna ya Mji wa Kilwa ulivokuwa kabla ya kuvamiwa na kuharibiwa na Portugese na kuwachukua nusu ya wenyeji kama watumwa....tena hawa ni wa kwetu wenyewe...
 
wa0k
Pasco
Mie si Judge wa Jf, ila wenye kupitia maeleweshana haya ndo tuwaachie hukumu,
Ahsanta kwa kiwango chako cha ujanjaujanja uloendeleza kukionesha humu.

Sasa Pasco,
Naomba nikukumbushe kidogo, kwa ihsaniyo na kwa faida ya wana jamvi, pana mambo matano uliwahi tuahidia kama muendelezo wa series zako,

Waonaje tukianzia tena hapo ama pia uishajitosheleza nayo mwenyewe na hivyo huoni tena haja?

Ahsanta .
Ahasanta, yale nayaendeleza ila taratibu na kwa uangalifu zaidi, ili kuwaepuka wakina muuza utumbo kutakakopelekea mainzi kunisonga!.
nakushukuru sana kunielewa na kuyakubali Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar ndivyo yanavyoitwa Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, haijalishi kuujua utukufu wake!.
Pasco
 
View attachment 132097

huu ni namna ya Mji wa Kilwa ulivokuwa kabla ya kuvamiwa na kuharibiwa na Portugese na kuwachukua nusu ya wenyeji kama watumwa....tena hawa ni wa kwetu wenyewe...

"In 1498, Portuguese explorer Vasco da Gama became the first known European to reach the East African coast; he stayed for 32 days.[SUP][7][/SUP] In 1505 the Portuguese captured the island of Zanzibar.[SUP][8][/SUP] Portuguese control lasted until the early 18th century, when Arabs from Oman established a foothold in the region. Assisted by Omani Arabs, the indigenous coastal dwellers succeeded in driving the Portuguese from the area north of the Ruvuma River by the early 18th century. Claiming the coastal strip, Omani Sultan Seyyid Said moved his capital to Zanzibar City in 1840.[SUP][8][/SUP] He focused on the island and developed trade routes that stretched as far as Lake Tanganyika and Central Africa. During this time, Zanzibar became the centre for the Arab slave trade" source:
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

Who was involved in the East African slave trade?
French merchants bought enslaved Africans from East Africa for the growing sugar plantations on the French owned islands in the Indian Ocean. After 1800, Brazilian merchants also began to buy from the same area to provide labour for the sugar plantations in Brazil. By the early 19th century, traders in East Africa sold about 30,000 people into slavery every year. The slave traders bought African adults and children from the Arab traders or, as they had on the west coast of Africa, encouraged the African chiefs to round up members of African tribes on the coast or further inland, to be sold directly to them. As was the case in the West African slave trade, wars between various tribes fed the trade in slaves, especially in the southern regions. One of the most famous slave traders on the East African coast was Tippu Tip, who was himself the grandson of an enslaved African. His real name was Hamed bin Mohammed and he was born in Zanzibar. Tippu Tip and his men took African people from their homes to sell them, from an area that stretched over one thousand miles from inland to the coast. The Portuguese preferred to trade on the West coast of Africa, as this was cheaper and more convenient. However, as the preventive squadron stopped ships from carrying out their trade in West Africa, the traders began to find it more and more difficult to operate there. In order to continue trading, they travelled instead around the Cape of Good Hope, to buy enslaved Africans from the East coast, including from Mozambique, the Zambezi Valley, and also from further inland, including the modern countries of Mali, Chad, Somalia and Ethiopia. As the British Navy defeated the slave trade in the Atlantic, the East African slave trade increased.
 
View attachment 132097

huu ni namna ya Mji wa Kilwa ulivokuwa kabla ya kuvamiwa na kuharibiwa na Portugese na kuwachukua nusu ya wenyeji kama watumwa....tena hawa ni wa kwetu wenyewe...
Du umenikumbusha mbali, afadhali ya Kilwa, kwa mujibu wa mwandishi, Ibin Batuta, Hasan Bin Amiri alikinunua kisiwa cha Kilwa kwa gharama ya kitambaa kilichozunguka Kilwa yote, yaani there were some exchange of some sort!. Huyu mvamizi Mwarabu dhalimu, aliibaka Zanzibar na kujitwalia kama ameokota, Mapinduzi yale Matukufu yalimtimua mvamizi Mwarabu dhalimu yule na nchi kushikwa na wenyewe!.
Hivyo nyingi ya hizi kelele za kuyapinga Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar, ni vitimbakwiri masalia tuu ya Mwarabu dhalimu!.

Pasco
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

French slaver named Jean-Vincent Morice, who traded at both Zanzibar and Kilwa, which was the most important slave port on the coast, in the 1770's. On the 14th September, 1776, Morice made a treaty with Sultan of Kilwa for the annual purchase of at the least 1,000 slaves. In three trips to Zanzibar and Kilwa before signing this treaty, he had bought 2,325 slaves for export. Morice does not tell us how many slaves the Arabs were taking away from the coast each year, but he clearly considered it to be a big business by French standards.
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.
jMali

Kumbe unapishana na history ya trade slave unapinga kuwa watu waliokuwa wanakusanywa Zanzibar kutoka Tanganyika walikuwa hawapelekwi Ulaya.

Mbaya zaidi hii biashara ya utumwa lifanywa na Kanisa pia.
 
Last edited by a moderator:
jMali

Kumbe unapishana na history ya trade slave anapinga kuwa watu waliokuwa wanakusanywa Zanzibar kutoka Tanganyika walikuwa hawapelekwi Ulaya.

wapi kuna kizazi cha watumwa weusi ulaya kutoka afrika mashariki? watumwa wa ulaya wametoka afrika magharibi, na visiwa vya carribean huko.
Hivi unakumbuka kuwa kuja afrika ilibidi mzungu azunguke kupitia cape of good hope SA? it simply a question of economics. kwa nini aache watumwa ghana huko, azunguke, aache weusi SA, aache msumbiji aje zanzibar? Hizi si porojo hizi.
Hivi ni wapi huko kwenye historia inayosema watumwa wa tip tip waliuzwa ulaya kama sio uchizi. Mimi huu mjadala najitoa bwana it's beneath me!
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

Who was involved in the East African slave trade?
French merchants bought enslaved Africans from East Africa for the growing sugar plantations on the French owned islands in the Indian Ocean. After 1800, Brazilian merchants also began to buy from the same area to provide labour for the sugar plantations in Brazil. By the early 19th century, traders in East Africa sold about 30,000 people into slavery every year. The slave traders bought African adults and children from the Arab traders or, as they had on the west coast of Africa, encouraged the African chiefs to round up members of African tribes on the coast or further inland, to be sold directly to them. As was the case in the West African slave trade, wars between various tribes fed the trade in slaves, especially in the southern regions. One of the most famous slave traders on the East African coast was Tippu Tip, who was himself the grandson of an enslaved African. His real name was Hamed bin Mohammed and he was born in Zanzibar. Tippu Tip and his men took African people from their homes to sell them, from an area that stretched over one thousand miles from inland to the coast. The Portuguese preferred to trade on the West coast of Africa, as this was cheaper and more convenient. However, as the preventive squadron stopped ships from carrying out their trade in West Africa, the traders began to find it more and more difficult to operate there. In order to continue trading, they travelled instead around the Cape of Good Hope, to buy enslaved Africans from the East coast, including from Mozambique, the Zambezi Valley, and also from further inland, including the modern countries of Mali, Chad, Somalia and Ethiopia. As the British Navy defeated the slave trade in the Atlantic, the East African slave trade increased.
 
Who was involved in the East African slave trade?
French merchants bought enslaved Africans from East Africa for the growing sugar plantations on the French owned islands in the Indian Ocean. After 1800, Brazilian merchants also began to buy from the same area to provide labour for the sugar plantations in Brazil. By the early 19th century, traders in East Africa sold about 30,000 people into slavery every year. The slave traders bought African adults and children from the Arab traders or, as they had on the west coast of Africa, encouraged the African chiefs to round up members of African tribes on the coast or further inland, to be sold directly to them. As was the case in the West African slave trade, wars between various tribes fed the trade in slaves, especially in the southern regions. One of the most famous slave traders on the East African coast was Tippu Tip, who was himself the grandson of an enslaved African. His real name was Hamed bin Mohammed and he was born in Zanzibar. Tippu Tip and his men took African people from their homes to sell them, from an area that stretched over one thousand miles from inland to the coast. The Portuguese preferred to trade on the West coast of Africa, as this was cheaper and more convenient. However, as the preventive squadron stopped ships from carrying out their trade in West Africa, the traders began to find it more and more difficult to operate there. In order to continue trading, they travelled instead around the Cape of Good Hope, to buy enslaved Africans from the East coast, including from Mozambique, the Zambezi Valley, and also from further inland, including the modern countries of Mali, Chad, Somalia and Ethiopia. As the British Navy defeated the slave trade in the Atlantic, the East African slave trade increased.

umeshinda, salute!
 
ha ha ha. Nilikuwa nategemea tu uyeyushe! Acha uwongo. watumwa waliochukuliwa na wazungu/wamarekani walitoka west africa sio east africa. Haiingii akilini mzungu atoke ulaya apite Nigeria, Liberia, ghana, pwani yote ya Afrika magharibi avuke south africa, apandishe mozambique ili kuja kununua watumwa Zanzibar! Watumwa kutoka pwani ya east africa waliuzwa na kununuliwa na waarabu. kama kweli ulisoma primary utakumbuka hii iliitwa arab slave trade.
Ndio maana nilisema humu ndani kuna waaraislam! Mnapopotosha historia kulinda mabwana zenu ( as in master sio mume) angalau jitahidi kutengeneza propaganda zenye akili! kahtaan, Ritz, wabara, Pasco.

wazungu waliyuuza kama mapapai..walitangaza kabisa na kupigwa mnada..halafu utaliona jitu ati yeye kama mzungu....pumbaaaff..

slav1.jpg
SLAV2.jpg
SLAV3.jpgslave_broadside.jpg

slavery.jpg

SlaveSale.jpgSLV4.jpg

slves.JPG slvv.jpg

NEGROES FOR SALE.jpg

Utumwa ulifanywa kwa waafrica..ni mbaya nani kafanya vipi haisadii. Ghadafi aliziambia nchi za ki afrika zidai fidia ya ukoloni na utumwa wao wakaingiza udini ...ujinga ule ule wa kifrika.
ghadafi alidai pekee yake fidia na Italy ililipa libya fidia kubwa ya ukoloni.
 
jMali
literature zipo nyingi za kusoma historia. ukitosheka na yake waliyo kusomesha shule ambapo historia ya kweli haisomehwi huwezi kujua..kukusaidia tu soma hii ripo ya Ufaransa na slave wa East africa
 

Attachments

Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom