Mapinduzi ya siku hizi yanafananaje?

Mapinduzi ya siku hizi yanafananaje?

Keynez

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2007
Posts
2,428
Reaction score
3,937
Hii mada ni ya kiutu uzima kwa hiyo tuweke mzaha pembeni kidogo.

Miaka ile ikitokea kuna mapinduzi ya kijeshi, moja ya sehemu ya kwanza ambapo wafanya mapinduzi walikuwa wanachukua ni radio au television ya taifa. Tukumbuke kuwa kipindi hicho kulikuwa hakuna media binafsi.

Hivi katika dunia ya sasa, ya vyombo vya habari binafsi ambavyo vinafika nchi nzima na hata mitandao ya kijamii ambayo inaonekana dunia nzima, mapinduzi ya kijeshi yamebadilikaje au kuna uwezekano siku za mbele kuona mabadiliko ya jinsi mapinduzi yanavyofanyika?

Kwenye 'Arab Spring' nakumbuka mitandao ilitumika sana kuangusha serikali lakini hili ni jambo tofauti kidogo na ninaloliongelea lakini lina muelekeo huo huo.

Tukumbuke pia kuwa hata uvamizi wa kijeshi umebadilika. Marekani alipovamia Iraq alikuta adui amejipanga tofauti na yeye akasumbuka sana kupigana tofauti na alivyozoea.

Hili mnalionaje? Tulijadili kiutu uzima.
 
Hii mada ni ya kiutu uzima kwa hiyo tuweke mzaha pembeni kidogo.

Miaka ile ikitokea kuna mapinduzi ya kijeshi, moja ya sehemu ya kwanza ambapo wafanya mapinduzi walikuwa wanachukua ni radio au television ya taifa. Tukumbuke kuwa kipindi hicho kulikuwa hakuna media binafsi.

Hivi katika dunia ya sasa, ya vyombo vya habari binafsi ambavyo vinafika nchi nzima na hata mitandao ya kijamii ambayo inaonekana dunia nzima, mapinduzi ya kijeshi yamebadilikaje au kuna uwezekano siku za mbele kuona mabadiliko ya jinsi mapinduzi yanavyofanyika?

Kwenye 'Arab Spring' nakumbuka mitandao ilitumika sana kuangusha serikali lakini hili ni jambo tofauti kidogo na ninaloliongelea lakini lina muelekeo huo huo.

Tukumbuke pia kuwa hata uvamizi wa kijeshi umebadilika. Marekani alipovamia Iraq alikuta adui amejipanga tofauti na yeye akasumbuka sana kupigana tofauti na alivyozoea.

Hili mnalionaje? Tulijadili kiutu uzima.
Nenda Bukinafaso ukajifunze huko,maana wao kila baada ya miezi sita wanapindua.

Hata jana walipindua ....
Usituingize kwenye uhaini sisi.
 
Nenda Bukinafaso ukajifunze huko,maana wao kila baada ya miezi sita wanapindua.

Hata jana walipindua ....
Usituingize kwenye uhaini sisi.
Acha woga mkuu. Tuongee kisomi. Hakuna mtu anachochea lolote litokee ila ni majadiliano ya mabadiliko ya dunia. Kuna mijadala mingapi inafanyika humu mwisho wa siku watu wanajifunza na kuwa na uelewa mpana wa mambo.
 
Acha woga mkuu. Tuongee kisomi. Hakuna mtu anachochea lolote litokee ila ni majadiliano ya mabadiliko ya dunia. Kuna mijadala mingapi inafanyika humu mwisho wa siku watu wanajifunza na kuwa na uelewa mpana wa mambo.
Hapo la maana ni lipi ,hoja yakitoto sana

USSR
 
Hii mada ni ya kiutu uzima kwa hiyo tuweke mzaha pembeni kidogo.

Miaka ile ikitokea kuna mapinduzi ya kijeshi, moja ya sehemu ya kwanza ambapo wafanya mapinduzi walikuwa wanachukua ni radio au television ya taifa. Tukumbuke kuwa kipindi hicho kulikuwa hakuna media binafsi.

Hivi katika dunia ya sasa, ya vyombo vya habari binafsi ambavyo vinafika nchi nzima na hata mitandao ya kijamii ambayo inaonekana dunia nzima, mapinduzi ya kijeshi yamebadilikaje au kuna uwezekano siku za mbele kuona mabadiliko ya jinsi mapinduzi yanavyofanyika?

Kwenye 'Arab Spring' nakumbuka mitandao ilitumika sana kuangusha serikali lakini hili ni jambo tofauti kidogo na ninaloliongelea lakini lina muelekeo huo huo.

Tukumbuke pia kuwa hata uvamizi wa kijeshi umebadilika. Marekani alipovamia Iraq alikuta adui amejipanga tofauti na yeye akasumbuka sana kupigana tofauti na alivyozoea.

Hili mnalionaje? Tulijadili kiutu uzima.
Donti tiray ati homu blaza
 
Hii mada ni ya kiutu uzima kwa hiyo tuweke mzaha pembeni kidogo.

Miaka ile ikitokea kuna mapinduzi ya kijeshi, moja ya sehemu ya kwanza ambapo wafanya mapinduzi walikuwa wanachukua ni radio au television ya taifa. Tukumbuke kuwa kipindi hicho kulikuwa hakuna media binafsi.

Hivi katika dunia ya sasa, ya vyombo vya habari binafsi ambavyo vinafika nchi nzima na hata mitandao ya kijamii ambayo inaonekana dunia nzima, mapinduzi ya kijeshi yamebadilikaje au kuna uwezekano siku za mbele kuona mabadiliko ya jinsi mapinduzi yanavyofanyika?

Kwenye 'Arab Spring' nakumbuka mitandao ilitumika sana kuangusha serikali lakini hili ni jambo tofauti kidogo na ninaloliongelea lakini lina muelekeo huo huo.

Tukumbuke pia kuwa hata uvamizi wa kijeshi umebadilika. Marekani alipovamia Iraq alikuta adui amejipanga tofauti na yeye akasumbuka sana kupigana tofauti na alivyozoea.

Hili mnalionaje? Tulijadili kiutu uzima.
Mugabe walimpindua wakasema tumemuweka sehemu salama .....walipoulizw mbona vikosi vinanguka hapa na pale wakasema tunaendeleza usalama wa Nchi.

Ikawa ndio nitolee...Migabe hakumalizs Mwaka tukamzika.
 
Wanasema roma rudi ugombee jimbo wakati huku ukizingua polisi tu unawekewa goti la shingo....unazungumzia mapinduzi kisa tozo au kuna kingine usifiche white mzee
 
Wanasema roma rudi ugombee jimbo wakati huku ukizingua polisi tu unawekewa goti la shingo....unazungumzia mapinduzi kisa tozo au kuna kingine usifiche white mzee
Sijaelewa. Hiyo ni mistari ya Roma au na inaingiana vipi na mada hii?
 
Mugabe walimpindua wakasema tumemuweka sehemu salama .....walipoulizw mbona vikosi vinanguka hapa na pale wakasema tunaendeleza usalama wa Nchi.

Ikawa ndio nitolee...Migabe hakumalizs Mwaka tukamzika.
Ni kweli. Yale mabadiliko yalifanyika tofauti sana na ni vizuri umeliongelea hili maana nilishasahau.
 
Unazungumzia mapinduzi kisa tozo au kuna kingine...tuanzie hapo
Kuna sehemu nimeongelea tozo hapo? Mada yangu inajielezea vizuri tu ni wewe unataka kuiharibu kwa makusudi yako.

Kama una hamu sana ya kuongelea tozo kwa nini usianzishe mjadala wako badala ya kuulazimisha sehemu isiyohusika?
 
Kuna sehemu nimeongelea tozo hapo? Mada yangu inajielezea vizuri tu ni wewe unataka kuiharibu kwa makusudi yako.

Kama una hamu sana ya kuongelea tozo kwa nini usianzishe mjadala wako badala ya kuulazimisha sehemu isiyohusika?
unazungumzia mapinduzi unajua gharama zake au shibe inafanya usichunge mdomo
 
Hii mada ni ya kiutu uzima kwa hiyo tuweke mzaha pembeni kidogo.

Miaka ile ikitokea kuna mapinduzi ya kijeshi, moja ya sehemu ya kwanza ambapo wafanya mapinduzi walikuwa wanachukua ni radio au television ya taifa. Tukumbuke kuwa kipindi hicho kulikuwa hakuna media binafsi.

Hivi katika dunia ya sasa, ya vyombo vya habari binafsi ambavyo vinafika nchi nzima na hata mitandao ya kijamii ambayo inaonekana dunia nzima, mapinduzi ya kijeshi yamebadilikaje au kuna uwezekano siku za mbele kuona mabadiliko ya jinsi mapinduzi yanavyofanyika?

Kwenye 'Arab Spring' nakumbuka mitandao ilitumika sana kuangusha serikali lakini hili ni jambo tofauti kidogo na ninaloliongelea lakini lina muelekeo huo huo.

Tukumbuke pia kuwa hata uvamizi wa kijeshi umebadilika. Marekani alipovamia Iraq alikuta adui amejipanga tofauti na yeye akasumbuka sana kupigana tofauti na alivyozoea.

Hili mnalionaje? Tulijadili kiutu uzima.
Tusubiri kupinduliwa kwa Mamadou Doumbia wa Guinea mlugamluga muoga sana na mashobo kama yote
 
unazungumzia mapinduzi unajua gharama zake au shibe inafanya usichunge mdomo
Kama una shida na tozo, zipeleke kwenye mamlaka husika watakusikiliza malalamiko yako.

Hapa tunaongelea mambo ya dunia ambayo inaonyesha dhahiri yako nje ya uwezo wako kuelewa.
 
Mada MBAYA!

UZI utaogopwa kuchangiwa na WATU!!

Two areas in common

"Main Money house and National Broadcasting corporation"

Case study;-jaribio la Burundi la Neyombare lililoshindwa kwa msaada wa mabaka toka Bongoland!
 
Mugabe walimpindua wakasema tumemuweka sehemu salama .....walipoulizw mbona vikosi vinanguka hapa na pale wakasema tunaendeleza usalama wa Nchi.

Ikawa ndio nitolee...Migabe hakumalizs Mwaka tukamzika.
Tulia uandike vizuri basi bro!
 
Kuna nafasi ya mbunge teuliwa inakuwa wazi soon, huyu jamaa tunampeleka huko ubalozini kisha tumuhoji kwanini alitaka kumsigina mama akiwa Tanga?
 
Maana yake na TCRA ya nchi husika nayo inakuwa Target kwenda kuzima mitandao.
 
Kuna nafasi ya mbunge teuliwa inakuwa wazi soon, huyu jamaa tunampeleka huko ubalozini kisha tumuhoji kwanini alitaka kumsigina mama akiwa Tanga?
Mmeanza kufukua jamani si tulisema tusonge mbele ya nyuma tuyaache?😉😉😉😉😉
 
Back
Top Bottom