Mapinduzi ya Zanzibar Januari 1964 yalikuwa ni ushindi na neema kubwa kwa Emirate of Dubai

Walitoka Oman, wakavamia Zanzibar, wakapinduliwa na Wazanzibar wakarudi Oman walipotokea.
Kuna swali hapo?
Siyo kweli kabisa. Huijuwi Zanzibar.

Wazanzibari wametokea sehemu nyingi, waliokimbia mapinduzi wapo waomani, wapo washirazi, wapo wachina, wapo wahindi, wapo wa Comoro, wapo wamanyema. Wapo Waajemi, wapo wazaramo, wapo wamatumbi, wapo wapakistan, wapo wasaudi, wapo wabahrain, wapo wa Kuwait, wapo wajawa. Qwapo wahabashi, wapo Wasomali, wapo wa Comoro. Wapo wabajuni, wapo wayemeni.

Wanyamwezi na wasukuma ndiyo usiseme.


Wote hao Wazanzibari.

Kumbuka, Zanzibar kilikuwa kitovu cha biashara Afrika na Asia.

Wazanzubar wsluokimbis mapinduzi wslitapasnnchi nyingu funiani.
 
Sawa mzee wangu.. ila mm nilikuwa nq mbana kwenye andiko lake.... Cjapinga hayo mambo ya mapinduzi... Ila yeye aliweka mambo mengine kuusu kunyanyaswa kwa zanzbar na watu wasio waislam
 
Walitoka Oman, wakavamia Zanzibar, wakapinduliwa na Wazanzibar wakarudi Oman walipotokea.
Kuna swali hapo?
Paki....
Inabidi kwanza uisome historia ya Zanziba kwani nemeona kuwa huijui.
Zanzibar ilivamiwa na Wareno na Wazanzibar wakafunga safari hadi Oman kuomba msaada.

Womani wakaja na wakawatoa Wareno kwa silaha.
 
Sehemu zote kuna kila watu, so sehemu yoyote ni ya yeyote
 
Kuandika kitabu au upload video u tube sio ndio solution ya jambo kuwa la kweli au la uongo... Hata mimi naweza ku upload video u tube,kuanza kuisema zanzibar au kuandika kitabu kinachoipond uislam, lakin naweza nikawa muongo na kupotosha
Sasa vipi uniamini zaidi ya link ya kitabu ambacho ni cha utafiti? Mimi mwenyewe ukiniuliza sana ntakwenda humo humo kukopi.


Kwanza soma halafu utaamuwa kama yanakuingia au hayakuingii.

AlhamduliLlah bora mwamba mwenyewe kaja, mimi niulize ya wakimbizi wa Dubai. Kama ilivyo mada.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].. haya bana madam
 
Sehemu zote kuna kila watu, so sehemu yoyote ni ya yeyote
Ni vyema umelielewa hilo, siyo kama kwanza ulivyofiri ni ya Waoman peke yao. Unawa/ijuwa serikali iliyopinduliwa (vamiwa) 1964?

Leo utasema Rostam Aziz mgeni Tanzania? Ana generation ya tano au zaidi Tabora na kabla ya hapo ana generation tano au zaidi Zanzibar. Mababu zake ndiyo walikuja na Waoman kuwaondoa Wareno Zanzibar. Wabulushi hao.
 
Naunga mkono hoja.
Tarehe kama ya leo 11/01/1964 miaka 60 iliyopita, ndio Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar yalifanyika!. Alfajiri ya Tarehe 12 Januari, 1964 ilikuwa ni kutangazwa tuu!.

Nawatakia maadhimisho mema ya miaka 60 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanzibar.
Paskali
 
Sijauona huo utukufu.

au kuporomoka kwa maadili ndiyo utukufu?
 
Ndiyo nikasema "sijauona huo utukufu" na kuuliza "au kuporomoka kwa maadili ndiyo utukufu?"

Kwa mtazamo wangu, anaeyaita hivyo ni poyoyo tu au haelewi maana ya utukufu.

Ulitakaje labda,yani waarabu waendelee kukikalia kisiwa chetu pendwa
 
Ulitakaje labda,yani waarabu waendelee kukikalia kisiwa chetu pendwa
Unauliza makofi Polisi?
Huyo ni Mwarabu ndani ya ngozi yake.
Rangi yake ya nje haipendi kabisa.
Ni bahati mbaya imekuwa hivyo.
 
[emoji2][emoji2][emoji2].. ila toka zaman zanzbar inaziadi ya aslimia 90 ni wa islam, inakuaje waweze kunyanyapaliwa na asilimia ndogo sana ambao sio waislam....
Mkuu hapo sasa unapiga kwenye mshono?😂 Maana hawa mafarisayo huwa wanaamini wao wanachukiwa tu na kunyanyapaliwa bila hata sababu, hata kama wapo 99 katika 100 bado watajiliza yule mmoja anawaonea😂
 
Sielewi watu weusi wanakimbiaje mapinduzi ilhali walikataa kurudishwa ndani ya utumwa wa mwarabu, na ndio maana watu weusi walishiriki mapinduzi hayo na waarabu hakuna alieshiriki (historia yote sijaona mahali Mwarabu alishiriki)

Ule ulikuwa ukombozi uliomweka mtu mweusi katika nafasi ya walau kuonekana binadamu maana kabla ya hapo alikuwa daraja la mwisho katika nchi yake ya asili akitanguliwa na mzungu, mhindi, mwarabu kisha yeye
 
Nimecheka sana wewe zuzu kufurahia mapinduzi ya zanzibar wakati ndiyo yanayo mtia uchungu samia na genge lake la raia feki ...maana hayo mapinduzi yaliua wajomba wa samia na baadhi yao kufanikiwa kukimbilia oman na arabuni huko[emoji16][emoji16][emoji16] ndiyo siri kubwa kwanini SAMIA ana wachukia Nyerere na Karume kuliko Magufuli.
 
Ulitakaje labda,yani waarabu waendelee kukikalia kisiwa chetu pendwa
Hakupinduliwa Mwarabu Zanzibar. Waarabu waliuliwa tu na wengine wakajiondokea.


Iliyopinduliwa ni serikali iliyochaguliwa kwa kura za Wazanzibari.

Kafanye homework yako vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…