matumbo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2011
- 7,224
- 3,951
John
Okello aliamini alikuwa akipokea
maelekezo /dokezo kutoka kwa
Mungu na akionyesha uwezo
usiokuwa wa kawaida kwa kutumia
nambari, kwa mfano tarehe 13
Januari, 1964, alitangaza ujumbe
ufuatao." Serikali sasa inaendeshwa
na sisi ikiwa mtakuwa wakaidi na
kukataa kutii amri, Nitachukua
hatua kali mara 88 zaidi ya hatua
ninazozichukua hivi sasa" na "Na
ikiwa yeyote atashidnwa kutii amri
ya kutotoka nje ya nyumba kama
walivyofanya wengine.sitokuwa na
njia nyengine lakini kutumia silaha
nzito. Sisi, ni jeshi lenye nguvu ya
99,099,000".
Hahahahah uyo ndio John Okello
Okello aliamini alikuwa akipokea
maelekezo /dokezo kutoka kwa
Mungu na akionyesha uwezo
usiokuwa wa kawaida kwa kutumia
nambari, kwa mfano tarehe 13
Januari, 1964, alitangaza ujumbe
ufuatao." Serikali sasa inaendeshwa
na sisi ikiwa mtakuwa wakaidi na
kukataa kutii amri, Nitachukua
hatua kali mara 88 zaidi ya hatua
ninazozichukua hivi sasa" na "Na
ikiwa yeyote atashidnwa kutii amri
ya kutotoka nje ya nyumba kama
walivyofanya wengine.sitokuwa na
njia nyengine lakini kutumia silaha
nzito. Sisi, ni jeshi lenye nguvu ya
99,099,000".
Hahahahah uyo ndio John Okello