Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Wewe akili yako kama kasuku ipo masikioni kila unachokisikia unaropoka tu.

Ebu leta wewe ambacho ni genuine,mimi naijua history ya nchi hii vema sana usipime kabisa..wewe usiyejua chochote utabaki kuwa mshabiki milele...Tuambie chochote unachojua kuhusu mapinduzi matukufu ya Znz.
 
Ebu leta wewe ambacho ni genuine,mimi naijua history ya nchi hii vema sana usipime kabisa..wewe usiyejua chochote utabaki kuwa mshabiki milele...Tuambie chochote unachojua kuhusu mapinduzi matukufu ya Znz.

Tatizo ni hilo jina la John, ukimwita Abdalah Okelo wote watakushangilia.

Hawa ndio walimshabikia Baraki Obama baada ya kuona pale katikati kuna jina la Hussein, leo wanajuta kumfahamu.
 
Ebu leta wewe ambacho ni genuine,mimi naijua history ya nchi hii vema sana usipime kabisa..wewe usiyejua chochote utabaki kuwa mshabiki milele...Tuambie chochote unachojua kuhusu mapinduzi matukufu ya Znz.
Wewe haujui historia ya Tanganyika wala ya Zanzibar ungekuwa unajua usingeandika huo upuuzi kuwa Okello ndiyo aliandaa mapinduzi.
 
Honestly, hata mpangilio tu walioamua kusimama kwenye hayo mahojiano unaonesha kiongozi ni yupi.
 
ndugu pasco, kuna uzi zaidi ya mitano inayoongelea swala hili na wewe ni mkongwe hapa sidhani kama kulikuwa kuna haja ya kuanzisha uzi ,badala yake ungechangia tu uzi zilizopo kuhusu Okelo na karume na zanzibar

Kwani wenye server wamesema zimejaa?
 
Tatizo ni hilo jina la John, ukimwita Abdalah Okelo wote watakushangilia.

Hawa ndio walimshabikia Baraki Obama baada ya kuona pale katikati kuna jina la Hussein, leo wanajuta kumfahamu.

Hahahahah kumbe ishu ni Okello kuwa John...awa watu ni wabaguzi kupita maelezo,ila ndio ukweli haubadiliki kamwe.
 
Wewe haujui historia ya Tanganyika wala ya Zanzibar ungekuwa unajua usingeandika huo upuuzi kuwa Okello ndiyo aliandaa mapinduzi.

Nimeshakwambia tueleze chochote unachojua..Na kwa kuwa haujui chochote basi kaa kimya,ishu za historia haziitaji ushabiki uliouzoea.
 
Sio iko wazi tu!!!
Toa sababu!
hebu jiulize wazanzibari wakiambiwa wachague Kati ya Tanzania na Oman watachagua ipi? Je unajua influence ya Oman ilivyo Zanzibar kwa sasa? Wale wazanzibari waliokimbia zanzibar wakati wa mapinduzi sasa ndio wamerudi na wameishika zanzibar kuliko enzi za sultan.
 
hebu jiulize wazanzibari wakiambiwa wachague Kati ya Tanzania na Oman watachagua ipi? Je unajua influence ya Oman ilivyo Zanzibar kwa sasa? Wale wazanzibari waliokimbia zanzibar wakati wa mapinduzi sasa ndio wamerudi na wameishika zanzibar kuliko enzi za sultan.

Hata mkajamba ujinga haki ya utaifa wa kweli zanziba utakuja.
Mnatumia kigezo cha uarabu kutugawa lakini kwa hilo mmenyoa.
Mnachokusudia ni dini. Miaka 50 kuwa na nyinyi kama ndugu hakuna tulichopata zaidi ya umaskini na dharau pamoja na vifo sasa yatosha na wazanzibari wanajitambua wao nii nani wala hawana haja ya mtanganyika wala oman.
 
hebu jiulize wazanzibari wakiambiwa wachague Kati ya Tanzania na Oman watachagua ipi? Je unajua influence ya Oman ilivyo Zanzibar kwa sasa? Wale wazanzibari waliokimbia zanzibar wakati wa mapinduzi sasa ndio wamerudi na wameishika zanzibar kuliko enzi za sultan.

!!!!!!!!!!!!!!!!......?
 
Asante Okelo kwa kutupatia kisiwa chenye neema! Nawashauri ndugu zangu Shinyanga tuwahi kununua nyumba zanzibar, ni neema kwenda mbele...
 
Hata mkajamba ujinga haki ya utaifa wa kweli zanziba utakuja.
Mnatumia kigezo cha uarabu kutugawa lakini kwa hilo mmenyoa.
Mnachokusudia ni dini. Miaka 50 kuwa na nyinyi kama ndugu hakuna tulichopata zaidi ya umaskini na dharau pamoja na vifo sasa yatosha na wazanzibari wanajitambua wao nii nani wala hawana haja ya mtanganyika wala oman.

Mkuu usipoteze energy yako bure! Huyu Matembere hana hoja! Hizo kasumba zao za Kuchukia waarabu na uoga wao dhidi ya Warabu hautushuhulishi kwa lolote!
 
Mkuu usipoteze energy yako bure! Huyu Matembere hana hoja! Hizo kasumba zao za Kuchukia waarabu na uoga wao dhidi ya Warabu hautushuhulishi kwa lolote!

wewe unawapenda waarabu kuliko watanganyika?
 
Mkuu usipoteze energy yako bure! Huyu Matembere hana hoja! Hizo kasumba zao za Kuchukia waarabu na uoga wao dhidi ya Warabu hautushuhulishi kwa lolote!

Kwaio wewe unawapenda waarabu kuliko Watanganyika??
 
Hata mkajamba ujinga haki ya utaifa wa kweli zanziba utakuja.
Mnatumia kigezo cha uarabu kutugawa lakini kwa hilo mmenyoa.
Mnachokusudia ni dini. Miaka 50 kuwa na nyinyi kama ndugu hakuna tulichopata zaidi ya umaskini na dharau pamoja na vifo sasa yatosha na wazanzibari wanajitambua wao nii nani wala hawana haja ya mtanganyika wala oman.
Nishakujua wewe, Unaishi MAKUNDUCHI, umesoma DOLE SKULI, unasali MSIKITI WA MADOLE, kijiwe chako MCHAMBA WIMA, dukani KWA BATASHI a.k.a mfirajjj, laini yako HALUWA au TIGO, nickname yako ulipewa DARAJA BOVU. sabuni uipendayo MATE au VESELIN OIL, tumefahamiana shehe wangu?
 
Back
Top Bottom