Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Hv ninyi wa zenji hamjiulizi sisi wa tanganyika tulio wengi hatupendi wala hatuna mzuka wa kuja huko kwenu?.Ubaguzi,udini,ubinafsi utawamaliza,sasa tumeamka na tumechoshwa na nyinyi!.Ooh!,tunataka haki wazanzibar,ooh tumenyonywa sana!,Sasa muda umefika mkae kivyenu mnyonyane wenyewe,wapemba na waunguja,
 
JOHN Okello ndio baba wa taifa la Zanzibar..bila yeye leo waZnz wangekuwa bado utumwani chini ya mwarabu.
Mkuu Matumbo, Baba wa Taifa ni mmoja tuu, Mwalimu Nyerere, Zanzibar sio taifa, ni kitaifa!, ila Baba wa kitaifa hicho ni Abedi Amani Karume!, Okelo anabaki tuu kuwa shujaa wa Mapinduzi yale Matukufu ya Zanzibar!.

Pasco
 
On January 12, 1964, with
popular support from the
island's oppressed native African
majority, Okello and his men
fought their way to the capital of
Zanzibar, Stone Town, where the
sultan lived. Even though they
were poorly armed, Okello and
his men surprised the police
force of Zanzibar and they took
power.
During a speech on radio, Okello
dubbed himself the "field
marshal of Zanzibar and Pemba".
He gave the sultan an order to
kill his family and to kill himself
afterwards; otherwise, Okello
would do so himself. However,
the sultan had already brought
himself to safety later to be
harboured in Britain. The prime
minister and other ministers did
not escape and were imprisoned
for many years.
 
Alikuwa ni mzanzibari mwenye asili ya Uganda.
Alijifunza siasa ya Ukomunist kutoka kwa Cuba kwa Casto
Ndiye aliyeunda Jeshi na kuliongoza hadi mapinduzi.
ALIKUWA MWANACHAMA WA ASP.
ASP haikuusika moja kwa moja na mapinduzi ila ni yeye mwenyewe binafsi na jeshi lake
Baada ya mapinduzi aliwakabidhi nchi Karume na makamu Babu na wa vyama vya siasa viwili tofauti na yeye kubakia kama kiongozi wa mapinduzi.
Ulitokea mgogoro wa kiungozi kati ya karume na Babu na nafasi ya Okelo ndani ya Zanzibar.
Karume alikubali kuingia kwenye muungano haraka ili kupata ulinzi kutoka bara wa nafasi yake ya uraisi ambayo alipewa na huyu John Okello.
Baada ya kutoelewana na Karume John Okello na alijikuta akikosa wafuasi kwani vijana wengi wa kiislamu walianza kujitoa kumsapoti kutokana na Dini yake.
1971 alifariki nchini Kenya kwa sababu zisizojulikana.
Alizaliwa 1967.

Aliamuru Sultan ateketeze familia yake
sasa nashangaa yanayowapata wakristo Zanzibar Muda huu.
 
Kosa lake kutomtii Nyerere mkombozi wa kweli wa Zanzibar, mwenzake Mmalawi Abeid hata siku ya Mapinduzi alikuwa Dar akiomba ajira.
 
Masahihisho kidogo Field Marshal John Gideon Okello alizaliwa 1937,na Aliuwawa na Field Marshal mwenzake Idd Amin huko Uganda baada ya kuonekana kuwa hatari kwa utawala wake.
 
Zanzibar ni nchi ya kiislam haina baba wa Taifa., mara nyingi nchi zenye kumfanya mtu baba wa Taifa ni nchi za kikiristo na kikafiri., wakiristo ndio hupenda kumtukuza mtu halafu wakamwita baba na humuabudu au kuchonga sanamu lake kisha wakaweka majumbani mwao wakimuabudu baba yao kama ilivyo Tanganyika leo wanavyomuabudu Julius Nyerere A.K.A mchonga meno.,
 
Nyerere peke yake, Muuganda Okelo na Mmalawi Karume waliajiriwa tu na Mwalimu, mengine ni taarabu
 
Kwa nini tusiwaenzi kina Chief Mkwawa, Mangi Sina, Mangi Mandara, Wakina Chief Songea Mbano na Chief Chabruma wa kule Ruvuma, au Saidi Milambo wa tabora, wakina Isike, Kinjekitile, au Chief Masanja, Chief Mataka wa kule kwa wayao? Who's Okello?
mkuu akina mangi hawajawahi kudai uhuru wa taifa hili, labda unieleweshe walipigana wapi. cha zaidi ni kwamba walikuwa machifu tu wa maeneo yao. ila hao wengine naungana na wewe 100%.
 


Mkuu unaweza kuniunganisha kwa huyo jenerali nipate audio clip yake kuhusu mapinduzi?
 
Bismillah rajaun,Mungu mlaze baba wa Taifa letu John Okello mahala pema peponi na awaadhibu wote wanamhujumu na kuteka mafanikio yake.

Hivi wewe kweli muislamu usitumie hilo neno la kiarabu unaharibu sababu naamin hata msahafu haujui.

Japo mm ni Mpemba ambae naamin John alikuwa na nafasi yake pale
 
Tafuteni kitabu chake alicho andika mtajua katumwa na nani. Yeye ndio jawabu.kwa uchache amesema ametumwa na yesu kuupindua uislam zanzibar lakini wakristo wenzie walim betray . Kwa mujibu wa okelo mapinduzi yalikua ni crusade na miaka ya mwanzo ya mapinduzi masheikh wengi waliuliwa na kufungwa . Elimu ya dini ya kiislam ilipigwa marufuku . Viongozi wakidhihaki Quran hadharani.
Ilikua pindua zanzibar na dini yao.
 
Okello asingeweza kupindua bila ya msaada wa nyerere,mavamizi ya 64 yameratibiwa na kanisa.
 
SOURCE PLEASE maana usituletee mambo yako ya UPENZI
 
Watanganyika hamuwezi kuifuta historia,sasa hakuna mzanzibr asiefahamu kwamba yale ya 64 ni mavamizi ya kanisa kuivamia zanzibr,tunaelewa nyuma ya mavamizi yale kulikuwa na kibaraka mmoja aitwae nyerere alietumwa na vatikan kuja kuusambaratisha uislam,pia tunaelewa ya kwamba kanisa linaingia zanzibr kupitia muungano,yote hayo yana mwisho na mwisho wake unakaribia,zanzibar kwanza.
 

Ndio Maana walimfukuza na kumuondoa mbio kwa sababu baadhi yao walioshiriki katika.mpango.mzima.wa mapinduzi wanajuwa kipi kimewapata Wajerumani kule Nuremberg after WW ll.

Kuna vitendawili vingi havijateguliwa kama ushiriki wa mataifa ya nje katika mpango mzima wa mapinduzi na kuyafumbia macho hasa ukiangalia bado control ya polisi na usalama wa Serikali ulikuwa bado mikononi mwa Waingereza licha ya kuwa kulikuwa na mkataba wa ushirikiano wa ulinzi na usalama na serikali ya Zanzibar. gombesugu
 
Last edited by a moderator:
SOURCE PLEASE maana usituletee mambo yako ya UPENZI
Yule uliyemuuliza alitaka kukupotosha. Tafuta kitabu Revolution in Zanzbar,1967,(Nairobi: African Publishing House). Ni autobiography ya John Okello mwenyewe.
 
Masahihisho kidogo Field Marshal John Gideon Okello alizaliwa 1937,na Aliuwawa na Field Marshal mwenzake Idd Amin huko Uganda baada ya kuonekana kuwa hatari kwa utawala wake.
Unakubaliana kuwa Okello alisoma CUBA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…