Nilipata kuijua historia ya Zanzibar mwaka 2006,nilisikitika sana. Kuna matukio makubwa yanayoweza kukutoa chozi ukifuatilia upande wa pili wa Tanzania! Pia sihafiki historia ya kweli ya Tanzania kufundisha shuleni,vingnevo baada ya darasa watoto wanaweza kuingia mtaani kwa mapinduzi ya pili. Ukiangalia watu aliowafukuza mwl.Nyerere baada ya uhuru kwamba walikuwa wanaandaa mapinduzi pale mkwajuni kindoni,ukisoma jinsi dr.Ahammed Salimu anavohusishwa na zanzibar,worse uyu John Okello,ni majonzi matupu! Mwaka 2006 walitoa habari ya Maisha magumu ya Field Marshall John Okello alivokuwa anaishi Kenya surbubs,hamna mtz hata mmoja alijitokeza kujua mambo yake. Mwaka 2007 nilienda pale Vijana Hostel karibu na mango garden,ndo tulipokuwa tunalaza gari wakati ule,nilikuta ukuta wa hostel umejazwa picha za John Okello akila shida uko Kenya,yani niliona ajabu kubwa! Jaman uyu mtu hajafa,nahisi bado yu hai kenya,unless mtu alete taarifa ya Kifo chake,ikiwezekana wapenda historia tumtafute! Ni hayo wanaJf!