Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

Mapinduzi ya Zanzibar: Mchango wa John Okello (Che Guevara wa Afrika Mashariki) umefutwaje?

yaani nachanganyikana vile uhuru bandia je siku ya mapinduzi nani alipinduliwa?
 
Waafrika wanapenda kujitwalia masiwa ili waonekane mashujaa bana.
Marekani alisema hadharani uhuru wao mwaka 1776 ulipatikana kwa msaada wa wafaransa kuondoa utawala wa waingereza.
Afrika hii na sehemu nyingine duniani ni ngumu mambo kama hayo kufanyika.

Marehemu mtikila aliwahi kumsema vibaya kagame kuwa ana koloni lake DRC na rais wa huko yani joseph kabila ni mtutsu wala sio mtoto halisi wa marehemu/rais wa zaman laurent desire kabila na ni kweli huyu bwana amekua mgumu sana kupima DNA ili itambulike ukweli hapo nimeshuhudia mwenyewe so hapa na muunga mkono mtikila
Pia mtikila huwa alikua anapenda sana kusema nchi ya tanganyika huenda alikua hautambui huu muungano na kuna sababu zake za kutoutambua.
Alikua hamtambui Nyerere kama baba wa taifa, alikua anamuona ni mtu wa kawaida tuu, hapa nako alikua na sababu zake.

sasa mimi naweza kusema malipo ni hapa hapa duniani kwa sababu okelo alifukuzwa kama mbwa zanzibar kilichomkuta marehemu karume mnakijua hata sitaki kuongea sana. ila what goes around comes around. wangemlipa haki yake kwa shuhuli aliyoifanya na Mungu angeshusha baraka zake nyingi tuu zanzibar.
Waafrika wanapenda sana kuonekana mashujaa kumbe hamna lolote ila kwa kuwa hao viongozi walikua na nia njema na nchi zao basi ni heri kuliko wangelikua wana nia mbaya ya kujitwalia madaraka.

auakweli utabakia okelo ndie shujaa wa mapinduzi ya zanziba.
naadika kwa uchungu sana kuhusu unyama aliofanyiwa ila Mungu anaona.
 
Waafrika wanapenda kujitwalia masiwa ili waonekane mashujaa bana.
Marekani alisema hadharani uhuru wao mwaka 1776 ulipatikana kwa msaada wa wafaransa kuondoa utawala wa waingereza.
Afrika hii na sehemu nyingine duniani ni ngumu mambo kama hayo kufanyika.

Marehemu mtikila aliwahi kumsema vibaya kagame kuwa ana koloni lake DRC na rais wa huko yani joseph kabila ni mtutsu wala sio mtoto halisi wa marehemu/rais wa zaman laurent desire kabila na ni kweli huyu bwana amekua mgumu sana kupima DNA ili itambulike ukweli hapo nimeshuhudia mwenyewe so hapa na muunga mkono mtikila
Pia mtikila huwa alikua anapenda sana kusema nchi ya tanganyika huenda alikua hautambui huu muungano na kuna sababu zake za kutoutambua.
Alikua hamtambui Nyerere kama baba wa taifa, alikua anamuona ni mtu wa kawaida tuu, hapa nako alikua na sababu zake.

sasa mimi naweza kusema malipo ni hapa hapa dussanyahG niani kwa sababu okelo alifukuzwa kama mbwa zanzibar kilichomkuta marehemu karume mnakijua hata sitaki kuongea sana. ila what goes around comes around. wangemlipa haki yake kwa shuhuli aliyoifanya na Mungu angeshusha baraka zake nyingi tuu zanzibar.
Waafrika wanapenda sana kuonekana mashujaa kumbe hamna lolote ila kwa kuwa hao viongozi walikua na nia njema na nchi zao basi ni heri kuliko wangelikua wana nia mbaya ya kujitwalia madaraka.

auakweli utabakia okelo ndie shujaa wa mapinduzi ya zanziba.
naadika kwa uchungu sana kuhusu unyama aliofanyiwa ila Mungu anaona.
Big Gift,
Mimi naweza nikafanya mjadala wa Okello na nafasi yake katika Mapinduzi ya Zanzibar
1964.

Kiitabu kilichoandika historia ya kweli ya mapinduzi ni kitabu cha Dr. Harith Ghassany,
msomi wa Harvard na ni Mzanzibari.

ab40jC3aaG2Ok4pde0qJt52cjyYgdtog4qV0hhg4HczEaSBQxOZv-YA9XmEOXEooXzheMmo4ebkTPafVhRxNWHAfj3VZ_1xD3mlyWpRLvcxSVflgGsLlmCRyRdHJLaHrvZJ4dWlk0JbxLzHqO9axddvhXVjcL0iqP7dX5EtwgQxZjSTAZ4HPwQGb8rG-gEhtOiqSrAFeT2_Fb0Ek4z2ODD-yo-ls06TC2c67g_4hhRhisTSV1V0rD49zzJNT9JOUPTF40uJ4J4kbILAEpLN5jKuNkKugDUQwMTE4AgAtg4QVM_eWFka9znMoHyj1p83QNg0N_n7pO87yZz6u0wuqScZDJTfIOqaviFXX_GcY6cmcGhZEOBuEGYYm0VAtCsryTyhm3SRQSrqOtrCj5j9KZoPrRF1Z4nY8K46niUHo3oX5vZe3NDHo-K12Xt9z1vVUQX66pgwEnuPm9IMpxaNQsE5OR7XQnJqBZTCx0trpP4wiUdBl_G9YgSYzHg8mZ8tzc7XH4GoG1D8hs0DrLJh7AzNYE0jKolGtArfK_nTGh81xsbHWsSW_KJfFpIvdz6g0hOfDB6-bNoDfopPncA9P6ilgPfsk-9JjtzTikc-B2DX2ybdz=w876-h657-no

Mohamed Omari Mkwawa akionyesha kitabu, nyumbani kwa Mwandishi Tanga 2010

Kitabu chake kinaitwa, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' (USA 2010).
Dr. Ghassany alinichukua mimi kama Mtafiti Msaidizi.

Kwa ajili hii nina mengi kuhusu Okello na ambalo ninaloweza kukwambia ni kuwa hakuwa
shujaa wa mapinduzi.

Nakushauri ufungue uzi mwingine In Shaallah tujadili.

pt-fRPd2jV-H_Y56-kFMML52o7_C3ClEsq05Iqrt_taeRHB3xhttFyFo996gyQYBMGmyl8ErDUkklbAGmkYEOSRPgt1wdFrBN9Rf-F9JTVqsnkS-pDXEi-xEs7BE-ybmDgE9kSPEdE4uR8xjaZcQX0H8x_kmv2CK7qqOxd9OHLdLPmkPmx7Bfbo51Lepg4SZPVhZg62EmcIcSgcBvIxMOwSioAXx6C0lNTy8IAEKPHE8L6QbybCVdY6MTTg0w3jeq44AdOatAITf8w1UGxoIT0nt3pVlRYlHWGPMhVeWwW_o1gnxGUNwZ2qNR3TdmnAbclvSG6GlTzJGOBT4ZP68BlAi2iwKQoernIaYH2VJdQ9S9B3FUUfYhf6AzRP0pKIbafTvx86o_JPsk6ONWJcYMba73Q51W03eBwkMhHxjdBcpOP4azoTqiBCKEyzK5x3qVGd3sJiAEiMlJSF5krZ5iKpmvJ9MPvuFYukbWteZW7lCwkgjJxWfSC8Sf_s0MC76EHLTBshzgk0oSKyz9oWVzRRIqtajxMxceRJUBY8yG7jkDC2sZjjDIm13Wn5hUqMqtCMqZPwxwyFObx-iKg7gprATReMGK8kJ_kTQbhVUFpG0iKIrHg=w930-h657-no

Mwandishi na Dr. Harith Ghassany
 
Big Gift,
Mimi naweza nikafanya mjadala wa Okello na nafasi yake katika Mapinduzi ya Zanzibar
1964.

Kiitabu kilichoandika historia ya kweli ya mapinduzi ni kitabu cha Dr. Harith Ghassany,
msomi wa Harvard na ni Mzanzibari.

ab40jC3aaG2Ok4pde0qJt52cjyYgdtog4qV0hhg4HczEaSBQxOZv-YA9XmEOXEooXzheMmo4ebkTPafVhRxNWHAfj3VZ_1xD3mlyWpRLvcxSVflgGsLlmCRyRdHJLaHrvZJ4dWlk0JbxLzHqO9axddvhXVjcL0iqP7dX5EtwgQxZjSTAZ4HPwQGb8rG-gEhtOiqSrAFeT2_Fb0Ek4z2ODD-yo-ls06TC2c67g_4hhRhisTSV1V0rD49zzJNT9JOUPTF40uJ4J4kbILAEpLN5jKuNkKugDUQwMTE4AgAtg4QVM_eWFka9znMoHyj1p83QNg0N_n7pO87yZz6u0wuqScZDJTfIOqaviFXX_GcY6cmcGhZEOBuEGYYm0VAtCsryTyhm3SRQSrqOtrCj5j9KZoPrRF1Z4nY8K46niUHo3oX5vZe3NDHo-K12Xt9z1vVUQX66pgwEnuPm9IMpxaNQsE5OR7XQnJqBZTCx0trpP4wiUdBl_G9YgSYzHg8mZ8tzc7XH4GoG1D8hs0DrLJh7AzNYE0jKolGtArfK_nTGh81xsbHWsSW_KJfFpIvdz6g0hOfDB6-bNoDfopPncA9P6ilgPfsk-9JjtzTikc-B2DX2ybdz=w876-h657-no

Mohamed Omari Mkwawa akionyesha kitabu, nyumbani kwa Mwandishi Tanga 2010

Kitabu chake kinaitwa, ''Kwaheri Ukoloni Kwaheri Uhuru,'' (USA 2010).
Dr. Ghassany alinichukua mimi kama Mtafiti Msaidizi.

Kwa ajili hii nina mengi kuhusu Okello na ambalo ninaloweza kukwambia ni kuwa hakuwa
shujaa wa mapinduzi.

Nakushauri ufungue uzi mwingine In Shaallah tujadili.

pt-fRPd2jV-H_Y56-kFMML52o7_C3ClEsq05Iqrt_taeRHB3xhttFyFo996gyQYBMGmyl8ErDUkklbAGmkYEOSRPgt1wdFrBN9Rf-F9JTVqsnkS-pDXEi-xEs7BE-ybmDgE9kSPEdE4uR8xjaZcQX0H8x_kmv2CK7qqOxd9OHLdLPmkPmx7Bfbo51Lepg4SZPVhZg62EmcIcSgcBvIxMOwSioAXx6C0lNTy8IAEKPHE8L6QbybCVdY6MTTg0w3jeq44AdOatAITf8w1UGxoIT0nt3pVlRYlHWGPMhVeWwW_o1gnxGUNwZ2qNR3TdmnAbclvSG6GlTzJGOBT4ZP68BlAi2iwKQoernIaYH2VJdQ9S9B3FUUfYhf6AzRP0pKIbafTvx86o_JPsk6ONWJcYMba73Q51W03eBwkMhHxjdBcpOP4azoTqiBCKEyzK5x3qVGd3sJiAEiMlJSF5krZ5iKpmvJ9MPvuFYukbWteZW7lCwkgjJxWfSC8Sf_s0MC76EHLTBshzgk0oSKyz9oWVzRRIqtajxMxceRJUBY8yG7jkDC2sZjjDIm13Wn5hUqMqtCMqZPwxwyFObx-iKg7gprATReMGK8kJ_kTQbhVUFpG0iKIrHg=w930-h657-no

Mwandishi na Dr. Harith Ghassany
mkuu naomba unitumie pdf hiko kitabu nifanye upembuzi wangu,
 
Inasemekana ndio alikuwa masterminde wa revolution ila kutokana na kuwa mganda aliondoka/alifukuzwa na wenye nchi
 
Inasemekana ndio alikuwa masterminde wa revolution ila kutokana na kuwa mganda aliondoka/alifukuzwa na wenye nchi
Havanna,
Mastermind wa mapinduzi kinara alikuwa Mtanganyika yeye ndiye
aliyetoa kila kitu kuanzia fedha, askari mamluki, silaha, mafunzo na
''logistic,'' zote.

Unaweza kuisoma historia yote ya mapinduzi katika kitabu hicho hapo chini:
HISTORIA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KATIKA KITABU CHA ''KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU,'' NA HARITH GHASSANY

B8gIozUW7CUG5SA0XJCW5IaAVIL5Cb5Che53313N5uD2_R_-SXMjGMvJOz7PQHH570RQyantp5S-syH0H8j5OziQl25og21s8dQ8c2JS04PS3LrwrKiB1KECDyV6p-Rw9_VQNXt1R-j5GhnkQlojVRK2Tx2ZxoiFWYxC9ApxfIfKbGqy0zXoUSOet6qabp0hpjG_gx1Uhai_KJyp3z5x8gyhuzhfO6TAuHOYZDNaFFuRKkkPHfQpZHutx-flePYNFOHiBbVIz4heWVFgtV1I_X0F0e6G9L0ShCdu55zuWG3Esf4d6hasp829iTumqTGO4LgMQwL0YftfjiTfWm9am0Psqqyv2rj2DcRrhBsa3bsGnY4XJorbpOfNs0Rzu4AD1aehhFXcpxf5eWHVP_A7icHp5YTM7esw8-8Gm2R2MMOhSjjLDCGkoBuc67UUaqEkNwQcBIrnhYiePkA8vTUfoi7aRuOwV-bIw33EjFRR0pIvGIINKKNp_wAUcfVnkn4cMjcDu9KOalaoC-hzUWQtATOA5kse6ZHXp9iNR3rs9MKz_HL844-YxO2kfVUwFkI5z2obIWBUOyceVAgkPaopLnCCBZ-cpWOOAlqvch-j7uX_DeNe=w775-h581-no

Mohamed Omari Mkwawa

Mohamed Said: HISTORIA YA MAPINDUZI YA ZANZIBAR KATIKA KITABU CHA KWAHERI UKOLONI KWAHERI UHURU
 
Mmh basi vitabu nilivyovisoma vyote wameelezea kuwa ndio sababu mojawapo ya mapinduzi
 
Mmh basi vitabu nilivyovisoma vyote wameelezea kuwa ndio sababu mojawapo ya mapinduzi
Havanna,
Wenye mapinduzi yao wanasema walimvisha Okello blanketi na
likamwenea na akawa, ''Filed Marshal,'' na yeye mwenyewe kwa
ujinga aliokuwanao akaamini kweli yeye ni, ''Field Marshal.''

Yaani yeye na Field Marshal Josip Broz Tito aliyeongoza jeshi
la Partisan, Yugoslavia wakati wa Vita Vya Pili Vya Dunia dhidi ya
Hitler vyeo vyao ni sawa.

Hakujua kama yeye ni, ''Field Marshal,'' wa Mamluki wa Kimakonde
kutoka mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi kutoka
Tanga.

Historia za viongozi wa Afrika zina matatizo makubwa sana.

O7U1gUYJB3340FstlBSY28XFhGdUIYJDmhcWMQAbo5EATBzr-1Fi27oibgAns0r7JHjQ9ANhBF5wIy5RcDBG2PBduzaWpBChJrHADVF2JcvDR4aVwTI2FlH4xL62s8-2pyJ31h8DkYrjuIwRQIhH0irdujuILpMhRKz4HYZBNDANDjMaHiiZsRO4oJlmLDw7Oqxxr1I__8Z7wLZUmVqk5dBphsJ76KkIM7g2If9rkfKu33as3rq0gYQRTE7YJw1DozbiBkshirCoKJ_OCxoqhznh00DcMKrMoJLr6xExM4yjsXKk4hRN8QRZaPWznGz0LjbMjJGF_HvOr62amGkh97IOtZKghVj9swoYMEtPYqj0X77tgrGF6jtoHyFNzwnf6eO3FMUfkJrqO5GIRuE8fo3-JJwBAoMtAlNcFHkGAckYXLqFBZvCVW4-otp_r0ERoCeQ0hSKMm3XXcc_Hy9GdfKMGJ0wwfTBCEogmfIn0thO6kDiJw6fe0xiITp3DufvieuMGQa0kV0PsxTxnUZdH6qERfoE5yUiZIBNMuUkY3QR6ezhN4XrVvRa0TGLEZfAiA81wx1VsCkv6NE7tIn0HZl3q5ac6oraKTTABxVwctfdav-NXQ=w868-h581-no

Kushoto Dk. Harith Ghassany na Mohamed Omar Mkwawa wakati wa utafiti wa kitabu, ''Kwaheri Ukoloni
Kwaheri Uhuru.''
 
Havanna,
Wenye mapinduzi yao wanasema walimvisha Okello blanketi na
likamwenea na akawa, ''Filed Marshal,'' na yeye mwenyewe kwa
ujinga aliokuwanao akaamini kweli yeye ni, ''Field Marshal.''

Yaani yeye na Field Marshal Josip Broz Tito aliyeongoza jeshi
la Partisan, Yugoslavia wakati wa Vita Vya Pili Vya Dunia dhidi ya
Hitler vyeo vyao ni sawa.

Hakujua kama yeye ni, ''Field Marshal,'' wa Mamluki wa Kimakonde
kutoka mashamba ya mkonge ya Sakura na Kipumbwi kutoka
Tanga.

Historia za viongozi wa Afrika zina matatizo makubwa sana.

O7U1gUYJB3340FstlBSY28XFhGdUIYJDmhcWMQAbo5EATBzr-1Fi27oibgAns0r7JHjQ9ANhBF5wIy5RcDBG2PBduzaWpBChJrHADVF2JcvDR4aVwTI2FlH4xL62s8-2pyJ31h8DkYrjuIwRQIhH0irdujuILpMhRKz4HYZBNDANDjMaHiiZsRO4oJlmLDw7Oqxxr1I__8Z7wLZUmVqk5dBphsJ76KkIM7g2If9rkfKu33as3rq0gYQRTE7YJw1DozbiBkshirCoKJ_OCxoqhznh00DcMKrMoJLr6xExM4yjsXKk4hRN8QRZaPWznGz0LjbMjJGF_HvOr62amGkh97IOtZKghVj9swoYMEtPYqj0X77tgrGF6jtoHyFNzwnf6eO3FMUfkJrqO5GIRuE8fo3-JJwBAoMtAlNcFHkGAckYXLqFBZvCVW4-otp_r0ERoCeQ0hSKMm3XXcc_Hy9GdfKMGJ0wwfTBCEogmfIn0thO6kDiJw6fe0xiITp3DufvieuMGQa0kV0PsxTxnUZdH6qERfoE5yUiZIBNMuUkY3QR6ezhN4XrVvRa0TGLEZfAiA81wx1VsCkv6NE7tIn0HZl3q5ac6oraKTTABxVwctfdav-NXQ=w868-h581-no

Kushoto Dk. Harith Ghassany na Mohamed Omar Mkwawa wakati wa utafiti wa kitabu, ''Kwaheri Ukoloni
Kwaheri Uhuru.''
Asante kwa kuniongezea chakula cha ubongo
 
Asante kwa kuniongezea chakula cha ubongo
Havanna,
Nami nakushukuru wewe kwa kuniletea John Okello.
Nakuwekea zawadi kidogo hapo chini na maelezo yake:

UxBF9hxqtCoBG0apFyh8fX_mEIq9bv9TzHFwG26yCh6mOdeR_ba7Iqe32JMok12p80b6R5v4Q_dXiixER55OhVmcuIstG9w1oyvLD2ITZcMVnZn3nQloyolp-IrvnQmDzENhYQ6mORR56E99N3BYY8YFgR2frEzyCAwMcg-C904sWzq3rot8-6biKsd_E23-3v_8vwn3RaO7krjoW02849Kj5McSwRiue3g75owSv07np3vJvPHPmDPAA23PmDrfaFwMG0TbkTGU9QBSXXq5IksbCCippUV9fEu0lkcFgF8z01Uk_iU1-GJhGim45p-ytYbqqHP1za9cQYQiDDajo2i_bzZvwgjx5l65ST9Kg5ZHk59qkpCXZXQ6fsZxS4XrJjAxhPKVF1YXUSYhQBmJzybv0EWW463wFYxx5gF63fZzjPdjrsRnsp1shFtwrrphdxVK0SbMeshe_A9gnLWNVZz25SYkcCW9Ug99M0gphiwK7v-VOP8lwI5TyLeZuHZRsUpIv3p49Qa0g5gmRLPnslQLlGidm2WJ9-8A31xPI2gkGGyeWd7MLg9yTdVIoRpWv_hbEksixJey-vp3VLx9M7btpXQRFrejG_uPL0Q__QzCYGtFBw=w867-h581-no

Kushoto ni Mohamed Omar Mkwawa, Juma Duni na Prof. Lipumba.

Picha hii nimeipiga mwaka Tanga 1995 wakati wa uchaguzi wa
kwanza wa vyama vingi Prof. Lipumba akigombea kwa tiketi ya CUF.

Mzee Mkwawa amevaa fulana yenye picha ya Lipumba.

Katika siasa za kudai uhuru wa Zanzibar Mzee Mkwawa wakati huo
kijana alikuwa ASP mkubwa kiasi Mzee Karume akampa jina, ''Tindo.''

Jina hili la ''Tindo,'' alipewa na Karume kwa kuwa kazi ya tindo ni kuvunja
mawe na Mzee Mkwawa alikuwa akipelekwa na ASP zile sehemu ngumu.

Hapa ilikuwa nyumbani kwa Mama Ummie Anzuani mwanachama
shupavu wa CUF Tanga Mjini.

Nilipopiga picha hii sikuwa namjua Mzee Mkwawa.
Nilikuja kujuananae miaka mitatu baadae nilipohamia Tanga kikazi.

Alinifanya mwanae na ndipo akanieleza mengi katika historia ya
mapinduzi ya Zanzibar kuwa kulikuwa na kambi ya mamluki na yeye
akiisimamia kwa msaada wa Ali Mwinyi Tambwe na Jumanne
Abdallah
.

Ali Mwinyi Tambwe alikuwa Mkuu wa Wilaya na Jumanne Abdallah
yeye alikuwa Mkuu wa Mkoa.

Kambi hii ilikuwa Kipumbwi.
Hii ilikuwa siri kubwa iliyofichwa kwa takriban miaka 40.

Mamluki hawa wengi wao wakiwa Wamakonde aliwavusha yeye kwa
majahazi kwenda Zanzibar kwa ajili ya kuipigia kura ASP na mwaka 1964
kushiriki katika mapinduzi.

fHy426wJB3_ptHrBktaDmRpBAtOjokgS8Nkk1MmSpWdiDY13Bqbd1oIocX2clMnd0Ha5jYYSdB1noGzyH5VU2qnjXjqZ1LnbDPU-fbWvnqRzkSlCHEEJS2orerPgqoGJt6uA-waSUwvnFzI5dlI3HDnlEldQ_endwsg9bbTitXeMSjnHfN4PU-3JBJPOQy9s5Xxt7AlSTN20KaKDXRmQecR3SLjBOnf4MSqRANOfoFsCg-VI614cbwTdPuApSHgNTylaoK6z7HPixE7Cr8pMRtjUaNOh97XxySPF-qO6JtVCj4mxGfgU8gkH-vedgffxX_nNDFhyenGLoNJtcXfMOGBQ2fUQdYOw8JCrfKCKCS41PCJSEr5icA3Fg4XXxiAFJmKH-C0GZPn2Xe0otENDwNB4z-jAoASFATcFJy8KkjfFTCrEWaJMPxNfCYO8CJs3AJy2iQdI4jECjM3vACYKgQMQjVwL1yU6rdIQmz08oEkTCvkbGw_dMggYs28JTKvoHYju9gLxPQFEYXBUuovNWk7GePu2gOpe2Yy0aMEfwdYfihz26sHj8X1JtjJWXHMweoMogWKVoLCO4JJ-8Mrh6ggpKiqF-8biUnle-VOHtQbtae9SnA=w204-h145-no

Victor Mkello

Katika kazi hii Mzee Mkwawa alishirikiana na Victor Mkello kiongozi wa
chama cha Wafanyakazi katika mashamba ya mkonge.

Hawa Wamakonde ndiyo walioua Waarabu wengi sana katika mapinduzi.
 
Back
Top Bottom