Uchaguzi 2020 Mapingamizi halali kisheria dhidi ya mgombea nafasi ya Urais

Uchaguzi 2020 Mapingamizi halali kisheria dhidi ya mgombea nafasi ya Urais

Hii Tume inatunia mafumbo
Mf kipengele No 13
Masharti na Maadili ya Tume ni yapi?
 
Mapingamizi namba 4 na 5 yanavunja misingi ya haki ya Watanzania kuchaguliwa uongozi.

Nafikiri hata Ripoti ya Jaji Nyalali ilishauri tuondoe sharti la wagombea kuwa wanachama wa vyama vya siasa.
Hii itamuhusu Mr Spunda
 
MATAGA,Lissu anaingia wapi hapo kwa hoja ya kufanya kampeni kabla ya wakati?

Umefanya jambo la maana sana kuleta hii habari.

Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?

Sasa kuna maana gani ya kumuwekea pingamizi mtu asigombea na hapo hapo tayari anatambulika/anatajwa kama mgombea?

Je,tumekosa msamiati wa kiswahili katika hili au mimi ndio sielewi?
Amemuiga magufuli kuanza kampeni mapema
 
Ni Kweli katiba inaweza KUJIKANGANYA, lakini hatuwezi kusema Katiba iko Kinyume na Katiba yenyewe kwa yenyewe.

Kusema katiba iko kinyume na katiba ni sawa sawa na kuchomoa matairi ya gari na kutegemea liendelee kutembea.

Unachosema ni sahihi, lakini nadhani neno lenyewe ndio hasa linaleta ukakasi.

Hata majaji wengi, katika mashauri mbalimbali ya kikatiba, huwa wanaogopa sana kulitamka hilo neno la kwamba Katiba iko Kinyume na Katiba.

Lakini ukweli ni kwamba, katiba inaweza kuwa kinyume na Katiba. Ibara moja kujikanganya na ibara nyingine.

Wanachofanya ni kuzipa ibara zenye mkanganyiko "tafsiri suluhishi" (harmonious interpretation?)

Yes, you are right!
Katiba ikijikanganya si kwamba katiba inakuwa kinyume na katiba.

La hasha.

Katiba inakuwa haipo, kwa muktadha wa hilo jambo.

Ni ka crisis ka cohesion.

Kama vile negative na positive zina cancel out.

Huku unaambiwa raia wana haki ya kugombea uongozi.

Kule unaambiwa ili kugombea uongozi inabidi raia awe na chama cha siasa.

Katiba inajichanganya. Na mpaka mkingamo huu utakaposawazishwa, jambo hili lina kizungumkuti cha kikatiba.
 
Kuanza Kampeini mapema (pre-mature election campaign) sio kosa chini ya sheria za uchaguzi za Tanzania. Kuanza Kampeini mapema hakumuondolei mtu sifa za kugombea Urais katika Sheria za Uchaguzi za Tanzania.

Kuanza Kampeini mapema ni kosa chini ya sheria za ndani za CCM lakini sio kwenye sheria za nchi.

Kampeni ni kampeni mpaka pale kipyenga kitakapo pigwa.
 
Mkuu

Election Commision ipo ndani ya mifuko ya mwenye enzi kuu duniani....

Itapigwa simu au text msg atakatwa mtu.....ni lazima...

Dictator yeyote duniani ni muoga kupita maelezo kuona kwenye sanduku la kura kuna jina la worthy challenger.....

Taasisi zote zipo held by the balls na mwenye enzi duniani na mbinguni....

Utaona vituko sana...just wait and seee!

Electoral Commision itakua weaponized to delete the threatening candidate to the dictator.....
So na ujanja wako wote huo unasubiri hayo yatokee kisha ukakojoe ukalale badala ya kuja na mechanism ya kukabiliana na huo uhuni.
 
Leo na jana nimesoma ujinga mwingi humu. Lissu, Membe, Magufuli,Shariff et. al ni presumptive nominees, huwezi kuwabana na hivyo vifungu vya ajabu ajabu! Huhitaji kuwa constitutional lawyer kuelewa hivi vitu! Common sense jamani!
 
Mkuu

Election Commision ipo ndani ya mifuko ya mwenye enzi kuu duniani....

Itapigwa simu au text msg atakatwa mtu.....ni lazima...

Dictator yeyote duniani ni muoga kupita maelezo kuona kwenye sanduku la kura kuna jina la worthy challenger.....

Taasisi zote zipo held by the balls na mwenye enzi duniani na mbinguni....

Utaona vituko sana...just wait and seee!

Electoral Commision itakua weaponized to delete the threatening candidate to the dictator.....

Yes, huyu jamaa (Jiwe) kweli ni dictator, no doubt about that...

Yes, huyu jamaa ni mwoga kusimama jukwaani na wanaojua kuliko yeye...

Worse enough, huyu dictator asingependa kuona anashindania Urais na Tundu Lissu mwaka huu. Kwake hili likitokea, it will be a nightmare to him....!!

Lakini it's now, TOO LATE TO HIM DO ANYTHING ABOUT THIS....Tundu Lissu kwa 150% atakuwa kwenye BALLOT PAPERS...!!
 
MATAGA,Lissu anaingia wapi hapo
hoja ya kufanya kampeni kabla ya wakati?

Umefanya jambo la maana sana kuleta hii habari.

Hapa pia anajiuliza,mtu huyu ambae hajapitishwa na Tume, anaitwaje mgombea uraisi?

Sasa kuna maana gani ya kumuwekea pingamizi mtu asigombea na hapo hapo tayari anatambulika/anatajwa kama mgombea?

Je,tumekosa msamiati wa kiswahili katika hili au mimi ndio sielewi?
tumia akili mkuu na usome upya, tundu lissu anaafuta wadhamini wafike 200 au kuendelea mikoa 10 ni mojawapo ya sifa zilizo ainishwa Apo juu.
 
Yaani CCM nawahurumia sana

Na mwaka huu tume haitakubali kuwabeba upepo ukiwa mbaya yaani mtapata tabu Sana

Lissu atapitishwa tena mapema Sana hakuna mtu ambaye haipendi Tanzania ambaye atakubali ujinga kuchafua nchi.

Sio tume sio watu wa usalama mwaka huu watu wanasimama na umma.
Hahahaha [emoji23], hii sasa ndoto.
 
Jana na leo shughuri hazijafanyika huku niliko, kisa kitambulisho cha WAMACHINGA! Waendesha baiskeli kwa kubeba abilia, Shinyanga mjini hawana hamu! Bila kitambulisho hicho, unanyang'anywa baiskeli yako!
Hata Mungu kuna nyakati inabidi "atumie nguvu" ili akili zikukae vizuri
 
Mkuu

Election Commision ipo ndani ya mifuko ya mwenye enzi kuu duniani....

Itapigwa simu au text msg atakatwa mtu.....ni lazima...

Dictator yeyote duniani ni muoga kupita maelezo kuona kwenye sanduku la kura kuna jina la worthy challenger.....

Taasisi zote zipo held by the balls na mwenye enzi duniani na mbinguni....

Utaona vituko sana...just wait and seee!

Electoral Commision itakua weaponized to delete the threatening candidate to the dictator.....
Mbona mnatia huruma hivyo! Lissu tunamkatafunua kwenye sanduku mapema sana ili azidi kuchanganyikiwa! TL hawezi kuwa Raisi wa Tanzania, labda awe raisi wa Twitter.
 
Back
Top Bottom