Kenya 2022 Mapingamizi ya uchaguzi wa Rais Kenya: Yanayoendelea Mahakama ya Juu

Kenya 2022 General Election
Kithure Kindiki: Je, kuondolewa kwa Cherera na makamishna wengine kutoka kwa mchakato walioshiriki hadi kukamilika kunaweza kuwa msingi wa kupinga matakwa ya uhuru wa Wakenya?
Your browser is not able to display this video.
 
Githu Muigai anaeleza jinsi mamlaka ya Chebukati yanafanana na ya Jaji Mkuu.
Your browser is not able to display this video.
 
George Oraro: NSAC haielekezi mashirika huru, inashauri tu juu ya usalama.
Your browser is not able to display this video.
 
George Oraro: Hatuwezi kuacha kutweet lakini tusiilete kwa mahakama hii.
Your browser is not able to display this video.
 
Paul Mwangi: Makamishna wa Bomas walikuwa wakisoma matokeo yaliyompa Ruto kura zaidi ya 10,000, kuonyesha hawakujua walichokuwa wakisoma.
Your browser is not able to display this video.
 
Paul Mwangi anajibu jinsi marudio yangefanyika bila Chebukati.
Your browser is not able to display this video.
 
Paul Mwangi akionesha fomu kutoka kwa tovuti ya IEBC karibu na hati yenye jina la "Jose Carmago" wa Venezuela.
Your browser is not able to display this video.
 
Julie Soweto akionesha fomu kutoka kwa tovuti ya IEBC yenye stempu yenye matatizo.
Your browser is not able to display this video.
 
Julie Soweto; Jose Camargo ndiye mtu aliyeamua Rais ajaye wa Kenya.
Your browser is not able to display this video.
 
Kithure Kindiki anaeleza ni kwa nini Chebukati alilazimika kumtangaza rais mteule.
 
Julie Soweto anaonyesha fomu mbili 34A kutoka kwa lango la IEBC, moja kutoka Bungoma na moja kutoka Nyeri, zinazotumwa kwa kutumia kifaa kimoja cha KIEMS.
Your browser is not able to display this video.
 
Julie Soweto: Yeyote aliyenasa fomu 34A alikuwa na wakati wa kuamua ni zipi za kudanganya.
Your browser is not able to display this video.
 
Otiende Amollo: Uamuzi wa Wengi wa makamishna ndio
Your browser is not able to display this video.

uamuzi wa IEBC.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…