Mapokezi ya Lissu yatakuwa yamemvunja moyo sana Lema

Mapokezi ya Lissu yatakuwa yamemvunja moyo sana Lema

NCHI Ina vijana wa HOVYO sana....kama huyu amenunuliwa simu na power bank kwa shughuli Moja tu ya Kuja kwenye mikutano ya CHADEMA na kupiga picha maeneo ambayo hayana watu,Kisha anapost na kudanganya kwamba mikutano ya CHADEMA haina watu. Leo tumemfumania.View attachment 2495786View attachment 2495787
Halafu ana matege sehemu zote.😜😜😜😜
 
Lissu hata kwenye uchaguzi alianza hivoivo, lkn baadae watu wakamuelewa na akaanza kujaza nyomi

Lissu ni Mwanasiasa ambaye ni mbishiii na ananguvu kubwa ya kushawishi kuliko hata Mbowe

Siwapendi wapinzan, na siipend hii CCM ya Msoga, lkn Kwa hili, Lissu atawapelekea Moto sana CCM Msoga.

Jamaa ana hoja nzito ambazo zinapita mulemule !!.
Mh Lissu akiongea watu wanakaa kimya kumsikiliza anatoa darasa hadi walioongoza nchi hii wanabaki midomo wazi. Ukweli Lissu ni Msomi na anajua kushawishi ummaa na kumuelewa.
 
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?

Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.

Nawasilisha.
Hahaha.. Kweli una saga sumu na kuinywa mwenyewe..!!
 
Juzi waziri mmoja alikuwa huku wakawalazimisha watumishi kwenda kumsikiliza.
 
Hivi huyu aliyeandika haya ni binadamu!!?

Ana kichwa chenye ubongo kabisa!!??

Inabidi JF ifanyiwe uchunguzi,inawezekana tuna misukule, majini, mashetani, matahira na wanyama humu.

Uandishi huu si wa kibinadamu!
Kawaida ya MaChawa yanaweweseka!
 
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?

Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.

Nawasilisha.
Nadhani mapokezi yalikuwa makubwa. Watu wametembea kwa miguu 20km si mchezo. Mara ya mwisho ilikuwa Baba Wa Taifa.

Lisu ni Msomi Bora zaidi wa Sheria hapo nyumbani Tanzania. Ubora wake unachangiwa na kuwa ni Wakili Mahakamani, ni Mtunga Sheria Bungeni, ni mpigania haki za Mazingira (kumbuka miaka hiyo akiwa mwanasheria wa Mazingira), ni mpigania haki za Madini (Kumbuka akihangaika na watu huko Tarime miaka hiyo), na Mwana Historia mzuri, ni Mtafiti nzuri ambaye ameandika vitabu viwili, ni Mwana Siasa na Mwanasheria kwa theory, kwa practice na kwa Research. Amejaaliwa Kipaji. Ni muongeaji nzuri kutolea tangu Nyerere(Oratory Skills).

Kwa hiyo Wala mapokezi yake hayawezi kulinganishwa na ya Lema. Lema ni local huko Arusha, saizi yake ni Gambo
 
Lemma anaogopa kurudi, watu wanaomdai ni wengi sana na wanamvizia airport. Ana mpango apitie namanga au sirari, apite kwa ndugu yake mwanza amkopeshe.

Huko aliko hata nauli hana, aliomba lifti ya Lissu, Lissu hela yake ngumu, akamgomea
Watu hawaombi lift kwenye Ndege😂
 
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?

Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.

Nawasilisha.
Mkuu, Wenje aliisharudi. Yupo huku Kanda ya Ziwa anapuyanga tu.
 
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?

Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.

Nawasilisha.
IMG-20230126-WA0203.jpg
 
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?

Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.

Nawasilisha.
Lema watakuwa wengi. Kumbuka Lisu siyo mchaga.
 
Aah, hiyo hata Serikali ya Canada italipa. Kama inalipia nyumba, shule, na posho italipia ticket pia
Anavuta muda mkuu, ataishije Arusha aache posho za wakanada? Mahakama za Dsm na Arusha zina attachment order za kutosha pamoja na hukumu za kumfunga kama mfungwa wa madai (civil prisoner)
 
Anavuta muda mkuu, ataishije Arusha aache posho za wakanada? Mahakama za Dsm na Arusha zina attachment order za kutosha pamoja na hukumu za kumfunga kama mfungwa wa madai (civil prisoner)
Your Worldview is very bleak! Wewe unaona madhambi tuu, huoni wema wowote. Hayo uliyosema yote hayana msingi. Sio Tanzania ya Mama.
 
Back
Top Bottom