Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Halafu ana matege sehemu zote.😜😜😜😜NCHI Ina vijana wa HOVYO sana....kama huyu amenunuliwa simu na power bank kwa shughuli Moja tu ya Kuja kwenye mikutano ya CHADEMA na kupiga picha maeneo ambayo hayana watu,Kisha anapost na kudanganya kwamba mikutano ya CHADEMA haina watu. Leo tumemfumania.View attachment 2495786View attachment 2495787