Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Halafu ana matege sehemu zote.ππππNCHI Ina vijana wa HOVYO sana....kama huyu amenunuliwa simu na power bank kwa shughuli Moja tu ya Kuja kwenye mikutano ya CHADEMA na kupiga picha maeneo ambayo hayana watu,Kisha anapost na kudanganya kwamba mikutano ya CHADEMA haina watu. Leo tumemfumania.View attachment 2495786View attachment 2495787
Kuna kitu nilitaka niandike lakini au basi...[emoji23]Halafu ana matege sehemu zote.[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
Bora usiandike kabisa.Atalia.Kuna kitu nilitaka niandike lakini au basi...[emoji23]
Ni expelled speaker.Hakawii kujiita mstaafu wakati alifukuzwa.Hawajuagi kutofautisha kati ya kufukuzwa,kustaafu na kuachishwa kwa nguvu.Haya maneno kama ya former speaker 90%
Mh Lissu akiongea watu wanakaa kimya kumsikiliza anatoa darasa hadi walioongoza nchi hii wanabaki midomo wazi. Ukweli Lissu ni Msomi na anajua kushawishi ummaa na kumuelewa.Lissu hata kwenye uchaguzi alianza hivoivo, lkn baadae watu wakamuelewa na akaanza kujaza nyomi
Lissu ni Mwanasiasa ambaye ni mbishiii na ananguvu kubwa ya kushawishi kuliko hata Mbowe
Siwapendi wapinzan, na siipend hii CCM ya Msoga, lkn Kwa hili, Lissu atawapelekea Moto sana CCM Msoga.
Jamaa ana hoja nzito ambazo zinapita mulemule !!.
Hahaha.. Kweli una saga sumu na kuinywa mwenyewe..!!Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.
Kawaida ya MaChawa yanaweweseka!Hivi huyu aliyeandika haya ni binadamu!!?
Ana kichwa chenye ubongo kabisa!!??
Inabidi JF ifanyiwe uchunguzi,inawezekana tuna misukule, majini, mashetani, matahira na wanyama humu.
Uandishi huu si wa kibinadamu!
Nadhani mapokezi yalikuwa makubwa. Watu wametembea kwa miguu 20km si mchezo. Mara ya mwisho ilikuwa Baba Wa Taifa.Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.
Watu hawaombi lift kwenye NdegeπLemma anaogopa kurudi, watu wanaomdai ni wengi sana na wanamvizia airport. Ana mpango apitie namanga au sirari, apite kwa ndugu yake mwanza amkopeshe.
Huko aliko hata nauli hana, aliomba lifti ya Lissu, Lissu hela yake ngumu, akamgomea
Mkuu, Wenje aliisharudi. Yupo huku Kanda ya Ziwa anapuyanga tu.Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.
Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.
Lema watakuwa wengi. Kumbuka Lisu siyo mchaga.Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.
Huu Ni Ukweli ambao Mdude hataki kuusikia
Hh aaahh kweli mkuuLema watakuwa wengi. Kumbuka Lisu siyo mchaga.
Ma wewe piaHuu Ni Ukweli ambao Mdude hataki kuusikia
Lifti maana yake nauliWatu hawaombi lift kwenye Ndegeπ
Aah, hiyo hata Serikali ya Canada italipa. Kama inalipia nyumba, shule, na posho italipia ticket piaLifti maana yake nauli
Anavuta muda mkuu, ataishije Arusha aache posho za wakanada? Mahakama za Dsm na Arusha zina attachment order za kutosha pamoja na hukumu za kumfunga kama mfungwa wa madai (civil prisoner)Aah, hiyo hata Serikali ya Canada italipa. Kama inalipia nyumba, shule, na posho italipia ticket pia
Your Worldview is very bleak! Wewe unaona madhambi tuu, huoni wema wowote. Hayo uliyosema yote hayana msingi. Sio Tanzania ya Mama.Anavuta muda mkuu, ataishije Arusha aache posho za wakanada? Mahakama za Dsm na Arusha zina attachment order za kutosha pamoja na hukumu za kumfunga kama mfungwa wa madai (civil prisoner)