Hizo ni kesi za madai, ni watu wanaomdai, vinginevyo utuambie mama atamlipia madeni aliyokopa, hapo hakuna Cha kamanda siroYour Worldview is very bleak! Wewe unaona madhambi tuu, huoni wema wowote. Hayo uliyosema yote hayana msingi. Sio Tanzania ya Mama.
Mafuso yakubeba watu vijijini!Kama vitu vinamuumiza kila mwanaccm ni hawa watu wanaojitokeza kwenye hafla za CDM. Kila mwanaccm anajitahidi kuonyesha watu ni wachache ili kupunguza hofu.
Sasa wanafunzi na watumishi wa umma wajiandae kushurutishwa kuhudhuria mikutano ya CCM ili kuhadaa umma kua hata CCM inapata watu wengi.
Lissu alipata support ya wanafunzi waliokuwa wakitoka mashuleni.Kama kuna vitu vinamuumiza kila mwanaccm ni hawa watu wanaojitokeza kwenye hafla za CDM. Kila mwanaccm anajitahidi kuonyesha watu ni wachache ili kupunguza hofu.
Sasa wanafunzi na watumishi wa umma wajiandae kushurutishwa kuhudhuria mikutano ya CCM ili kuhadaa umma kua hata CCM inapata watu wengi.
Lissu alipata support ya wanafunzi waliokuwa wakitoka mashuleni.
Hoja hakuna,umebaki ulalamishi mtupu!
Shida kubwa ya chadema ni kuishi kwa kufikiri wanapendwa na watu wengi kupita ccm kumbe uungwaji mkono wao huwezi kabisa kulinganisha na ccm.Kama Lissu aliyekaa nje muda mrefu, Makamu Mwenyekiti, amewahi kugombea Urais, angalau ana elimu kiasi ya Sheria nk, amepata mapokezi ya wastani vipi kuhusu Lema na Wenje?
Nashauri kamati ya mapokezi ijaribu kutumia njia nyingine kutuepusha na aibu sisi BAVICHA iliyoko mbele yetu. Msigwa na Mbowe umizeni vichwa kufanikisha hili hata kama ikiwezekana tukipata watu wa kukodi itakuwa njema.
Nawasilisha.