Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanza nacheka sana kwa mnao jiaminisha kwa asilimia 100 kuwa mama atathubutu kugombea 2025 mama mpaka sasa kesha ona ngoma ngumu hivyo hata yeye mwenyewe yupo njia pandaAcha ujinga-Kagera,Mara,Simiyu na Tabora mama atazoa kura za kutosha,zitapungua kidogo Mwanza na Geita ila kote huko hakuna chama cha kuishinda ccm kwenye nafasi ya Rais...
Nyie wapinzani na sukuma gang hangaikeni na madiwani na wabunge.
Hata mama asipokelewe hata mtu mmoja huko kanda ya yule mpumbavu. Sukuma gang hamna chenu.Mchunga ng'ombe alikupeleka puta, bila shaka alikusababishia stress zisizo isha!
Hata ikitegemea uchaguzi tunaweza kubatilisha kura zote za kanda hiyo na mama kuibuka mshindiKwani Ni lini CCM iliwahi kutegemea uchaguzi kukamata Dola?Kazi iendelee.
Hehehe vita umefeliHatuna kisasi naye, in fact tunampenda sana.
Sisi hatuwataki CHADEMA, ni wadini na wakabila sana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aliwanyoosha.Haitatokea tena mchunga ng'ombe kupewa urais wa nchi hii.... NEVER!
Boga wewe territory zetu zikiamua hamna kikabila kitatushinda.Acha ujinga-Kagera,Mara,Simiyu na Tabora mama atazoa kura za kutosha,zitapungua kidogo Mwanza na Geita ila kote huko hakuna chama cha kuishinda ccm kwenye nafasi ya Rais...
Nyie wapinzani na sukuma gang hangaikeni na madiwani na wabunge.
Ukiambiwa 2025 hatogombea utakubali ?Nimeona kwa macho yangu Bwanga amepokelewa na watoto wa shule, wanaCCM kiduchu.
Kuna hasira ya kuwa sasa amefeli kudhibiti ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.
Kuna kisasi kitachomuandama kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 2254641
Haya yako ni maajabu; kwani hao sio watu waliompokea mkuu 'Muuza Kangara'. Unataka watu wa namna gani wampokee?Nimeona kwa macho yangu Bwanga amepokelewa na watoto wa shule, wanaCCM kiduchu.
Kuna hasira ya kuwa sasa amefeli kudhibiti ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.
Kuna kisasi kitachomuandama kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 2254641
Kwa hiyo 'wasukuma' wote ni mali yako, utawatumia kama utakavyo wewe mwenyewe?Boga wewe territory zetu zikiamua hamna kikabila kitatushinda.
Kwa takwimu za 2012 Wasukuma tuko 14 million hapa nilikuwa sijazaa mibuyu yangu minne hii 2022 tutakuwa wangapi?
Na kikabila chako hicho kinachopatikana wilaya moja
Huwa unanikosha kweli kwa majibu yako yenye ushahidi wa takwimu.Acha uongo ni lini CCM iliwahi kuwa na ushawishi Kanda ya ziwa zaidi ya enzi za JPM kwa turufu ya ukabila!!
In fact Mara, Simiyu, na Kagera mpaka ukerewe, Nyamagana na Shinyanga Chadema iliperform better 2015. Hapo Geita mjini licha ya wizi CHADEMA ikipata 17,000 huku CCM ikishinda kwa 30,000 hivi Hilo gap ndio kusema upinzani haupo Kanda ya ziwa!!
Get serious
Mara ipi hiyo aisee nahisi unaumwa wwAcha ujinga-Kagera,Mara,Simiyu na Tabora mama atazoa kura za kutosha,zitapungua kidogo Mwanza na Geita ila kote huko hakuna chama cha kuishinda ccm kwenye nafasi ya Rais...
Nyie wapinzani na sukuma gang hangaikeni na madiwani na wabunge.
Watu wamesombwa sn biharamulo wanafunzi hawakwenda shule kwingine waliambiwa waende na nguo za nyumban na za shule shughuri ikiisha wavae uniforms waende shuleKwahiyo hawa ni wanafunzi?
Si bora Rais Samia hasombi watu kwenye malori kutoka maeneo mbalimbali ili ionekane yule bwana anakubalika na wananchi kumbe maigizo.