Mapokezi ya Rais Samia Kanda ya Ziwa yameanza kutoa picha namna uchaguzi 2025 utakavyokuwa

Mapokezi ya Rais Samia Kanda ya Ziwa yameanza kutoa picha namna uchaguzi 2025 utakavyokuwa

Acha ujinga-Kagera,Mara,Simiyu na Tabora mama atazoa kura za kutosha,zitapungua kidogo Mwanza na Geita ila kote huko hakuna chama cha kuishinda ccm kwenye nafasi ya Rais...

Nyie wapinzani na sukuma gang hangaikeni na madiwani na wabunge.
Labda kura kwa wazanzibar wanaoishi hiyo mikoa
 
Acha uongo ni lini CCM iliwahi kuwa na ushawishi Kanda ya ziwa zaidi ya enzi za JPM kwa turufu ya ukabila!!

In fact Mara, Simiyu, na Kagera mpaka ukerewe, Nyamagana na Shinyanga Chadema iliperform better 2015. Hapo Geita mjini licha ya wizi CHADEMA ikipata 17,000 huku CCM ikishinda kwa 30,000 hivi Hilo gap ndio kusema upinzani haupo Kanda ya ziwa!!

Get serious
Ukiwa na akili timamu huwezi kuchagua CCM
 
Acha ujinga-Kagera,Mara,Simiyu na Tabora mama atazoa kura za kutosha,zitapungua kidogo Mwanza na Geita ila kote huko hakuna chama cha kuishinda ccm kwenye nafasi ya Rais...
Wapigakura wa mikoa uliyotaja si wapumbavu kiasi unachodhani eti akazoe kura huko.
 
Kwa sasa ni ngumu upinzani kumchallenge
Mbinu aliyoitumia kuwakamata imefanikiwa sana kuliko ya mwenzake
Upinzani sio chama.. ni matatizo ya wananchi.

Anaweza akatokea mtu akajaribu kugombea na hautoamini atakavyo mgalagaza Samia. Hata hivyo Samia hagombei.
 
Nimeona kwa macho yangu Bwanga amepokelewa na watoto wa shule, wanaCCM kiduchu.

Kuna hasira ya kuwa sasa amefeli kudhibiti ugumu wa maisha kwa wananchi wa kawaida.

Kuna kisasi kitachomuandama kwenye uchaguzi mkuu wa 2025.
View attachment 2254641

uchaguzi 2025 kwa kifupi samia hakubaliki hata 5% especially kanda ya ziwa, kusiji na kaskazini . CCM wanamdanganya, kumuuza itakuwa kaxi kubwa kuliko kumkataa​

 
Boga wewe territory zetu zikiamua hamna kikabila kitatushinda.
Kwa takwimu za 2012 Wasukuma tuko 14 million hapa nilikuwa sijazaa mibuyu yangu minne hii 2022 tutakuwa wangapi?

Na kikabila chako hicho kinachopatikana wilaya moja
We fala albino unaongea nini? Mtamchagua hata Kwa bakora na hamna cha kufanya 😆😆
 
Hivi Bwanga ina-count asilimia ngapi ya wapiga kura wa Tanzania?

Watu watakaokuwa na wakati mgumu sana katika chaguzi zijazo, ni wale walikuwa na shikamano na marehemu. Hawa wanahesabika ni sehemu ya uovu wa marehulemu:

Kalemani, Kabudi, Polepole, Bashite, Chamuriho, Bashiru, n.k. Hawa wasifikirie maisha ya kutegemea siasa tena.
 
Back
Top Bottom