Shetani hajawahi kumshinda MunguNinachoogopaga kwa huyu mwamba ni kupigwa risasi zaidi ya 15 na kuendelea kuishi, ni kama visa vya watu wa kale kwenye Bible na Quran ambao walipona kwa miujiza
Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
Nakubaliana na wewe,ndugu zetu watumishi waliosimamia wadai waliagizwa na kupora mabox yote ya Kura halali wakaweka feki yanapofikishwa ofisi ya mkurugenzi wilaya ucku wa manane.Yes, alipata zaidi ya kura mil 7.5, jiwe alipata kura chini ya mil 4, chache waligawana Rungwe na wenzake.
Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 12 tu, Chukua hiyo!
Unataka kusema lisu alipanga njama na wenzie kujipiga risasi ili wasingizie wengne???Sass kwanini risasi hazikumpata dereva ???? Hata kama cctv hazikuwepo on spot!?? Unajuaaa nyinyi mnafanya mazuzu.com , matahira.com yasiyojielewav,,,,,,, uki reply sema kwanini risasi zili miminwa upande wa dereva na zikafika kwa abiria hata hazikumchubua dereva ngoziii ...the. Dereva akafichwa kipindi kile wakati wa. Siro alisema dereva aletwe. CENTRAL either amechubuliwa na risasi huku anahema au kafa kwa risasi ....
What next is surprising......
YesNakubaliana na wewe,ndugu zetu watumishi waliosimamia wadai waliagizwa na kupora mabox yote ya Kura halali wakaweka feki yanapofikishwa ofisi ya mkurugenzi wilaya ucku wa manane.
Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.
Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.
Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.
Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.
View attachment 2493397
Una mimba ya miezi mingapi dada? Relax isije kutoka bure baada ya kusikia Lissu anatua bongo keshoNi Tanzania tu ambapo msaliti anafanyiwa mapokezi
Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADE
Na atasisitiza nyie midume muolewe mapema.
Dereva hakuwa mlengwa.Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi
Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo
Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
Kwani kuolewa ni lazima yeye akuambie? Kuolewa ni nyege zako tu. Hawa wote walioolewa mpaka sasa nani kawasisitiza?
Haaa haaa😄😄😄😄Utasikia Ccm wanahoji kwanini Lissu kavaa koti la jeans?