Mapokezi ya Tundu Lissu yapamba moto, apangiwa kuhutubia taifa jukwaani siku hiyo hiyo Temeke

Mapokezi ya Tundu Lissu yapamba moto, apangiwa kuhutubia taifa jukwaani siku hiyo hiyo Temeke

Ninachoogopaga kwa huyu mwamba ni kupigwa risasi zaidi ya 15 na kuendelea kuishi, ni kama visa vya watu wa kale kwenye Bible na Quran ambao walipona kwa miujiza

Sent from my Infinix X693 using JamiiForums mobile app
 
Yes, alipata zaidi ya kura mil 7.5, jiwe alipata kura chini ya mil 4, chache waligawana Rungwe na wenzake.

Waliojitokeza kupiga kura walikuwa mil 12 tu, Chukua hiyo!
Nakubaliana na wewe,ndugu zetu watumishi waliosimamia wadai waliagizwa na kupora mabox yote ya Kura halali wakaweka feki yanapofikishwa ofisi ya mkurugenzi wilaya ucku wa manane.
 
Sass kwanini risasi hazikumpata dereva ???? Hata kama cctv hazikuwepo on spot!?? Unajuaaa nyinyi mnafanya mazuzu.com , matahira.com yasiyojielewav,,,,,,, uki reply sema kwanini risasi zili miminwa upande wa dereva na zikafika kwa abiria hata hazikumchubua dereva ngoziii ...the. Dereva akafichwa kipindi kile wakati wa. Siro alisema dereva aletwe. CENTRAL either amechubuliwa na risasi huku anahema au kafa kwa risasi ....


What next is surprising......
Unataka kusema lisu alipanga njama na wenzie kujipiga risasi ili wasingizie wengne???
 
Nakubaliana na wewe,ndugu zetu watumishi waliosimamia wadai waliagizwa na kupora mabox yote ya Kura halali wakaweka feki yanapofikishwa ofisi ya mkurugenzi wilaya ucku wa manane.
Yes
 
THE GREATEST
Taarifa ikufikie kwamba Maandalizi ya Mapokezi kabambe ya Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu yamekamilika, ambako wanachama wa CHADEMA na wapiga kura wake waliomchagua kwa kishindo 2020 kabla ya Sarakasi za Dr. Mahera, wametakiwa kujipanga kuanzia uwanja wa ndege hadi Temeke.

Habari zaidi kutoka kwenye Kamati ya Mapokezi zinasema kwamba, baada ya kuwasili, Tundu Lissu ataenda moja kwa moja kwenye Mkutano wa Hadhara ulioandaliwa na chama chake Viwanja vya Bulyaga -Temeke, mkoani DSM, ambako anatarajiwa kuhutubia taifa.

Binafsi nimesikia gari la matangazo likipita mitaani kwetu huku Tandika Mwembeyanga likihamasisha Wananchi kumpokea Shujaa wao.

Usiondoke JF kwa taarifa zaidi.

View attachment 2493397
 
Kwa akili zako za kipopoma serikali imeshindwa kumpata dereva?,?,hakika ujinga wa uzeen lazma utakufa nao tu
Dereva yupo wapi , mbona amefichwa miaka nenda rudu au na yeye amemalizwa chini kwa chini!?? Kwa jinsi mlivyo na agenda za chini kwa chini za RED BRIGADE
 
Vipi dereva yuko wapi !!! Kwann yeye risasi hazikumchubua hata. Kipande , chan ngozi


Na alitoka mzima mzima wakati risasi zote zili miminwa kwa upande wake zikamfikia abiria , dah hapa ni changa la macho ,,,paaaaaàh mazuzu.com hayoooooooooooooooooooooooo




Jeshi la polisi likikomalia hapa hakyanaani. Mate yaliyokuwa yanatupiwa kule chato hahhahaha yataokotwa tuuu....
Dereva hakuwa mlengwa.
 
Leo ni siku ya huzuni mno msaliti wa taifa Lisu mzee wa MIGA anarudi.

Mwambieni asipande ndege zetu maana alishangilia zilipokamatwa
 
Back
Top Bottom