Spana ziendelee tafadhali, ni Hadi pale walio nyuma ya uozo huu watubu na kutupa jalalani contract fake.Kuna mchambuzi namshukuru kwa kuifanya kazi ya Serikali kuwa rahisi. Amechambua vipengere vinavyoidhlilisha nchi yetu tukufu ya Tanzania.
Mwanasheria Mkuu ni lazima achukue hatua na si kuwaachia kina Mbarawa mambo haya ambayo yana lifedhehesha Taifa.
View attachment 2669104
Hii ni 'project' ya Samia toka mwanzo.Kumhusisha Mbarawa bila huyo mama sio sahihi, mimi naamini kabisa, huyo mama ndie aliyemuingiza Mbarawa mkenge, ameenda Dubai kuhongwa, picha yake ikawekwa kwenye lile jengo refu duniani, ni yeye pekee ndie anayejua siri ya ile offer, ndio maana hajamgusa Mbarawa mpaka leo.
Wanamkwepa kwepa mhusika mkuuHii ni 'project' ya Samia toka mwanzo.
Mkuu 'Jidu' alifunzwa tokea utotoni, kutowalaumu wakubwa, na tabia hiyo ameishi nayo hadi uzeeni, kwamba viongozi wakuu hawawezi kubuni na kufanya uhayawani. Ndiyo maana anaisogeza lawama kwa wasaidizi wa huyo mkubwa.
Nawashangaa sana wanaomkwepa huyo mama kwenye hili la bandari, hakwepeki.Hii ni 'project' ya Samia toka mwanzo.
Mkuu 'Jidu' alifunzwa tokea utotoni, kutowalaumu wakubwa, na tabia hiyo ameishi nayo hadi uzeeni, kwamba viongozi wakuu hawawezi kubuni na kufanya uhayawani. Ndiyo maana anaisogeza lawama kwa wasaidizi wa huyo mkubwa.
Tuliyotumwa ni kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi kama bandari nyingine za kisasa. Kuliko kuendekeza siasa za majibizano, tukumbuke kuwa wapo wafanya biashara wanaoumia kwa bandari kuwa na urasimu ilionao hivi sasa.Hili ndilo la muhimu, hizo habari zingine ni porojo tu!
Sasa kumbe unakubali kwamba kuna yanayohitaji "kurekebishwa"!
Siku zote hizo ulizovimbisha shingo humu ukumbini na hao "wanasheria wenye Ph.D"; marekebisho haya walikuwa hawayaoni?
Hii tayari ni aibu kwa hao mnaowafanyia kazi hii hapa, kwa kushindwa kwenu kufanikisha mliyotumwa. kuyafanya.
Ungekuwa una akili iliyo wazi bila ya ushabiki wa kishamba, ungekuwa umetambua toka mwanzo kabisa kwamba hakuna asiyetaka Bandari inayofanya kazi kwa ufanisi.Tuliyotumwa ni kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi kama bandari nyingine za kisasa. Kuliko kuendekeza siasa za majibizano, tukumbuke kuwa wapo wafanya biashara wanaoumia kwa bandari kuwa na urasimu ilionao hivi sasa.
Wana jikanyaga wenyewe."Hakuna Kipengele Kinachozungumzia Uuuzwaji wa Bandari, na Hakuna Mkataba Wowote Uliosainiwa" Mwanasheria Mkuu wa Serikali.
Mwanasheria huyo huyo, hajazungumzia chochote, kuhusu usahihi wa yaliyomo ndani ya IGA.
Kwa hiyo, kuna umuhimu wa kumuuliza maswali juu ya hilo.
Ungeweza kutumia maneno ya kawaida tu bila ya matusi ungekuwa mstaarabu halisi. Kutumia matusi na dhihaka ni ishara ya mtu anayeishi na donge moyoni.Ungekuwa una akili iliyo wazi bila ya ushabiki wa kishamba, ungekuwa umetambua toka mwanzo kabisa kwamba hakuna asiyetaka Bandari inayofanya kazi kwa ufanisi.
Sijui kwa nini hili mnalikomalia kana kwamba ni nyinyi peke yenu mnayotaka hayo yatokee
Lakini pamoja na kujifunika boksi hilo, sina shaka kwamba uelewa wa hilo unao, ila kinachokusumbua akili ni huo utumwa wa kutumikia maslahi yahao wanaowaleta hapa kutetea ujinga.
Kama kuna vifungu tata vinavyoweza kutumiwa "kupotosha", kwako hilo ni jambo la kawaida tu?Tatizo ni ukweli kwamba baadhi ya waeleweshaji haswa wanasheria wanatumia baadhi ya vifungu kuja na tafsiri potofu na wanapewa muda wa hewani hivyo ujumbe wao potofu unasambaa kwa haraka zaidi.
DPW na aanze kazi bandarini ili tija iongezeke, haya maneno meengi ni kujifurahisha tu.Kama kuna vifungu tata vinavyoweza kutumiwa "kupotosha", kwako hilo ni jambo la kawaida tu?
Huoni kuwa ni vifungu hivyo hivyo vinavyoweza kuleta athari endapo patatokea kuwepo kutoelewana huko mbeleni?
Haya kwako na wenzako hayana maana kabisa?
Kuhusu "kuwa na donge" hilo halinipi shida yoyote, kama "donge" hilo linahusu maslahi ya Tanzania. Kwa hiyo usitegemee kuona nikirembaremba hapa kama ninauona upuuzi toka popote pale.
Tuna Rais wa ajabu kabisa kupata kutokea, nadhani ni kwavile HATUKUMCHAGUA. Yupo KIMABAVU tu kutokana na KATIBA YA CCM YA HOVYO KABISASina mengi Kuna mzalendo kaleta tathmini yake hapa hebu pitieni View attachment 2669166
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha twoneIbara mbovu zote zimedadavuliwa na zimeonekana hazifai.
Mfano ibara ya ya 20 ambayo imekiuka sheria za ulinzi wa rasilimali za taifa la Tanganyika.
Kwa ufupi Iga ya wajomba za mama haifai.
Aombe radhi na itenguliwe
Wajomba hawatamuekewa na hawamuelewi hadi Sasa. Ungekuta hii Ngoma ilishasolviwa kitamboIbara mbovu zote zimedadavuliwa na zimeonekana hazifai.
Mfano ibara ya ya 20 ambayo imekiuka sheria za ulinzi wa rasilimali za taifa la Tanganyika.
Kwa ufupi Iga ya wajomba za mama haifai.
Aombe radhi na itenguliwe