Mapungufu 10 ya Mkataba wa Bandari na DP World

Spana ziendelee tafadhali, ni Hadi pale walio nyuma ya uozo huu watubu na kutupa jalalani contract fake.
 
Hii ni 'project' ya Samia toka mwanzo.

Mkuu 'Jidu' alifunzwa tokea utotoni, kutowalaumu wakubwa, na tabia hiyo ameishi nayo hadi uzeeni, kwamba viongozi wakuu hawawezi kubuni na kufanya uhayawani. Ndiyo maana anaisogeza lawama kwa wasaidizi wa huyo mkubwa.
 
Wanamkwepa kwepa mhusika mkuu
 
Nawashangaa sana wanaomkwepa huyo mama kwenye hili la bandari, hakwepeki.
 
"Hakuna Kipengele Kinachozungumzia Uuuzwaji wa Bandari, na Hakuna Mkataba Wowote Uliosainiwa" Mwanasheria Mkuu wa Serikali.

Mwanasheria huyo huyo, hajazungumzia chochote, kuhusu usahihi wa yaliyomo ndani ya IGA.

Kwa hiyo, kuna umuhimu wa kumuuliza maswali juu ya hilo.
 
Tuliyotumwa ni kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi kama bandari nyingine za kisasa. Kuliko kuendekeza siasa za majibizano, tukumbuke kuwa wapo wafanya biashara wanaoumia kwa bandari kuwa na urasimu ilionao hivi sasa.
 
Tuliyotumwa ni kuhakikisha bandari inakuwa na ufanisi kama bandari nyingine za kisasa. Kuliko kuendekeza siasa za majibizano, tukumbuke kuwa wapo wafanya biashara wanaoumia kwa bandari kuwa na urasimu ilionao hivi sasa.
Ungekuwa una akili iliyo wazi bila ya ushabiki wa kishamba, ungekuwa umetambua toka mwanzo kabisa kwamba hakuna asiyetaka Bandari inayofanya kazi kwa ufanisi.
Sijui kwa nini hili mnalikomalia kana kwamba ni nyinyi peke yenu mnayotaka hayo yatokee

Lakini pamoja na kujifunika boksi hilo, sina shaka kwamba uelewa wa hilo unao, ila kinachokusumbua akili ni huo utumwa wa kutumikia maslahi yahao wanaowaleta hapa kutetea ujinga.
 
Wana jikanyaga wenyewe.
 
Ungeweza kutumia maneno ya kawaida tu bila ya matusi ungekuwa mstaarabu halisi. Kutumia matusi na dhihaka ni ishara ya mtu anayeishi na donge moyoni.

Hakuna kifungu chochote cha mkataba chenye matatizo, ni suala la kuelewesha tu na watu wakaelewa.

Tatizo ni ukweli kwamba baadhi ya waeleweshaji haswa wanasheria wanatumia baadhi ya vifungu kuja na tafsiri potofu na wanapewa muda wa hewani hivyo ujumbe wao potofu unasambaa kwa haraka zaidi.
 
Tatizo ni ukweli kwamba baadhi ya waeleweshaji haswa wanasheria wanatumia baadhi ya vifungu kuja na tafsiri potofu na wanapewa muda wa hewani hivyo ujumbe wao potofu unasambaa kwa haraka zaidi.
Kama kuna vifungu tata vinavyoweza kutumiwa "kupotosha", kwako hilo ni jambo la kawaida tu?

Huoni kuwa ni vifungu hivyo hivyo vinavyoweza kuleta athari endapo patatokea kuwepo kutoelewana huko mbeleni?

Haya kwako na wenzako hayana maana kabisa?

Kuhusu "kuwa na donge" hilo halinipi shida yoyote, kama "donge" hilo linahusu maslahi ya Tanzania. Kwa hiyo usitegemee kuona nikirembaremba hapa kama ninauona upuuzi toka popote pale.
 
DPW na aanze kazi bandarini ili tija iongezeke, haya maneno meengi ni kujifurahisha tu.
 
Ibara mbovu zote zimedadavuliwa na zimeonekana hazifai.

Mfano ibara ya ya 20 ambayo imekiuka sheria za ulinzi wa rasilimali za taifa la Tanganyika.

Kwa ufupi Iga ya wajomba za mama haifai.

Aombe radhi na itenguliwe
 
Ibara mbovu zote zimedadavuliwa na zimeonekana hazifai.

Mfano ibara ya ya 20 ambayo imekiuka sheria za ulinzi wa rasilimali za taifa la Tanganyika.

Kwa ufupi Iga ya wajomba za mama haifai.

Aombe radhi na itenguliwe
Acha twone
 
Ibara mbovu zote zimedadavuliwa na zimeonekana hazifai.

Mfano ibara ya ya 20 ambayo imekiuka sheria za ulinzi wa rasilimali za taifa la Tanganyika.

Kwa ufupi Iga ya wajomba za mama haifai.

Aombe radhi na itenguliwe
Wajomba hawatamuekewa na hawamuelewi hadi Sasa. Ungekuta hii Ngoma ilishasolviwa kitambo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…