Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitafute mkuu
Mungu anisamehe kama itakua ni dhambi....Me sipendi mwanaume mpole nataka Yale mapenzi nmechezea vibao kidg.... Badae anakuja kuniomba msamahaHabari za mchana,
Nina mapungufu mengi nikiwa kwenye mahusihano, moja ni kutojua kufoka yaani nashindwaga kabisa kumfokea mtu niliyenae kwenye mahusihano.
Na kama amenikosea basi nikiaza kumuelekeza kwa upole naamini ndio njia rahisi na nzuri basi anapanda juu na mimi nikiona mtu kapanda juu basi natulia namsikiliza yeye. Now nina history nyingi za watu ambao tumeachana sababu hiyo, mimi huwa sipend kufoka na kupiga.
Yaani kifupi mimi sio mkali, ata akinikosea mimi basi naomba msamaha, nisaidie nifanye nini? I need to change na nahitaji ushauri mzuri na sio matusi wala kejeli.
Kumbe na ww hua unapiga ehhh.....Basi Ile party yetu ya December nairudishaTatizo ya wanawake wengi wakibongo bila vipigo heshima hamna
Nami napenda sana nipate mwanamke wa aina hiyo.Mungu anisamehe kama itakua ni dhambi....Me sipendi mwanaume mpole nataka Yale mapenzi nmechezea vibao kidg.... Badae anakuja kuniomba msamaha
Kupiga tunapozungumzia hapa sio kupiga kama mwizi. Yaani tuvibao fulani hivi ambavyo kidogo tumekaa kimahaba. Sijui kama unanielewa lakini !!🤔Mapenz kusikilizana,Ivo vyote havitakiwi katika mapenzi,eti kufoka au kupiga.Mkiona hamsikilizani bas upendo haupo hapo
🤣🤣🤣AiseeKupiga tunapozungumzia hapa sio kupiga kama mwizi. Yaani tuvibao fulani hivi ambavyo kidogo tumekaa kimahaba. Sijui kama unanielewa lakini !!🤔
Wacha weeeh haya basi ndo Mimi unenipata😁Nami napenda sana nipate mwanamke wa aina hiyo.
Mungu saidia 🙏🙏🙏
Penda sana Lovelovie wangu yaani sisi damu zetu zinaendana kabisaWacha weeeh haya basi ndo Mimi unenipata😁
🤣🤣🤣 hivyo yaani mapenzi ni nyinyi wenyewe kuyanogesha.🤣🤣🤣Aisee
Amina kubwa
Wazee wa mahaba niue, wakupeti peti[emoji4]Unatokea mkoa gani......
Bila shaka wew unatokea mikoa ya pwani