Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Friends yesterday, lovers today, soulmates foreverUnafaa kuwa my soul mate basi tu sasa napambana na hali yangu pambav zangu
Usharogwa,Habari za mchana,
Nina mapungufu mengi nikiwa kwenye mahusihano, moja ni kutojua kufoka yaani nashindwaga kabisa kumfokea mtu niliyenae kwenye mahusihano.
Na kama amenikosea basi nikiaza kumuelekeza kwa upole naamini ndio njia rahisi na nzuri basi anapanda juu na mimi nikiona mtu kapanda juu basi natulia namsikiliza yeye. Now nina history nyingi za watu ambao tumeachana sababu hiyo, mimi huwa sipend kufoka na kupiga.
Yaani kifupi mimi sio mkali, ata akinikosea mimi basi naomba msamaha, nisaidie nifanye nini? I need to change na nahitaji ushauri mzuri na sio matusi wala kejeli.
[emoji28]wee mwanamke bhanaUnafaa kuwa my soul mate basi tu sasa napambana na hali yangu pambav zangu
Nimefanyaje jamani
Aah niache tuFriends yesterday, lovers today, soulmates forever
Pole rafiki yangu, shida yako ni shida yangu kipenzi. Kama hautajali naomba uniambie nipo kwa ajili yako hata ukini PM
Ukishakubali kupandwa kichwani umekwisha, ni lazima wakunyee utosini.Habari za mchana,
Nina mapungufu mengi nikiwa kwenye mahusihano, moja ni kutojua kufoka yaani nashindwaga kabisa kumfokea mtu niliyenae kwenye mahusihano.
Na kama amenikosea basi nikiaza kumuelekeza kwa upole naamini ndio njia rahisi na nzuri basi anapanda juu na mimi nikiona mtu kapanda juu basi natulia namsikiliza yeye. Now nina history nyingi za watu ambao tumeachana sababu hiyo, mimi huwa sipend kufoka na kupiga.
Yaani kifupi mimi sio mkali, ata akinikosea mimi basi naomba msamaha, nisaidie nifanye nini? I need to change na nahitaji ushauri mzuri na sio matusi wala kejeli.
Home boy nilikua kama wewe lakini baada ya kupigwa matukio akili imenikaa sawa ni jambo la mda tuMbeya
Ma heart is full ohhh..... Chumba kimoja yupo mzabzab Cha pili brother Poker tatu shemeji Carrasco putin nne nipo mwenyewe
Nasikia harufu ya foursome hapa 🤣🤣🤣🙌 mzabzabMa heart is full ohhh..... Chumba kimoja yupo mzabzab Cha pili brother Poker tatu shemeji Carrasco putin nne nipo mwenyewe
Tafuta khelaa pili Acha kufatilia/ kuangalia series za kikoreaHabari za mchana,
Nina mapungufu mengi nikiwa kwenye mahusihano, moja ni kutojua kufoka yaani nashindwaga kabisa kumfokea mtu niliyenae kwenye mahusihano.
Na kama amenikosea basi nikiaza kumuelekeza kwa upole naamini ndio njia rahisi na nzuri basi anapanda juu na mimi nikiona mtu kapanda juu basi natulia namsikiliza yeye. Now nina history nyingi za watu ambao tumeachana sababu hiyo, mimi huwa sipend kufoka na kupiga.
Yaani kifupi mimi sio mkali, ata akinikosea mimi basi naomba msamaha, nisaidie nifanye nini? I need to change na nahitaji ushauri mzuri na sio matusi wala kejeli.
Ila poa na wao wasiwe na vitambi
🤣🤣🤣 kama fasheni sio?Wanaanzia wapi kuvikosa?😄