Mapungufu yangu naona ndio sababu

Unafaa kuwa my soul mate basi tu sasa napambana na hali yangu pambav zangu
Friends yesterday, lovers today, soulmates forever

Pole rafiki yangu, shida yako ni shida yangu kipenzi. Kama hautajali naomba uniambie nipo kwa ajili yako hata ukini PM
 
Usharogwa,
Umewekwa kwenye chupa,
Fika msata kilingeni kwa matibabu zaidi
Aione kwenye faili: Mshana Jr Mzizi mkavu Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mimi sipendi kumfokea mwanamke na hua namuelekeza asipoelewa namuachaga afanye maamuzi yake. Unachotakiwa kufanya tafuta mwanamke wa Caliber yako mpole na msikivu
 
Ukishakubali kupandwa kichwani umekwisha, ni lazima wakunyee utosini.
Zinduka.
 
Hutujui vizuri usipotifokea tunajisahau fasta nakuanza kukufokea wewe. Ushauri Anza kufoka Sasa 🤣
 
Mpige walau kofi siku moja utaanza ku gain momentum
 
Tafuta khelaa pili Acha kufatilia/ kuangalia series za kikorea
 
Kuna mtu jana alisema "Nahisi ubavu wangu Mungu alichemshia supu ."
 
TULIKUWA HIVYO MWANZO BUT NOW MAPENZI TUMEYAWEKA PEMBENI TUNATAFUTA MAISHA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…