Mapya yaibuka sakata la Wakurugenzi DSTV kusimamishwa, mapenzi pia yahusishwa!

Unaonekana kuwa na ufahamu kuhusiana na masuala ya filamu na script, lakini naona kukubalika kwa tamthilia mbovu kuna mawili…

Standard za watazamaji kuwa chini, hawajui kilicho bora na kawaida.

Kukosekana kwa hizo bora kabisa, watu wanajikuta tu wanapenda hizohizo mbovu maana hawana machaguo mengine.
 
Shikamoo Nifah

Simamia hapo hapo kwenye weledi hadi wanyooke
 
Umeandika vyema.
Waandaji wanajua hata kama kazi ni mbovu itaangaliwa kwakuwa watazamaji wanapenda vya kwao.

Tutawakosoa tu ili wajirekebishe.
 
ivi tuhuma mpaka zitumwe afrika kusini kwani huyu baraka shelukindo si bosi wa dstv afrika mashariki kwann asiamue izo kesi
Kwamba hujui chain za upigaji bongo mkuu? Huenda huyo Baraka anafahamu vizuri sana hayo.

Isike kwa kulijua hilo akatuma malalamiko yake makao makuu ambako yamezaa matunda.
 
Asante mwaya, nashukuru.

Tatizo nikisema nifanye hivyo mtaniunga mkono kweli kwenye kunipa maokoto? Lols

Na sasa hivi ndio nina maumbea mazito ya kutikisa nchi! Hayo maubuyu hadi dada yetu yule hana.
Tutakuunga mkono ikiwa tu unatuletea na umbea wa viongozi wa serikali wayafanyayo mitaani na bungeni wakiwa na machangu wao
 
Rushwa ni priority number one kwa hapa kwetu
 
Msaada kwenye tuta, kutofautisha DStv, mnet na labda multi choice.....sizipati vizuri tofauti zake
Dstv wameinunuwa Mnet kupitia kampuni ya mult choice.

Ninachojuwa Mimi Mnet na Dstv vilikuwa ni ving'amuzi vya kampuni tofauti, kwa sasa Mnet ni Channel ndani ya Dstv inayomilikiwa na kampuni ya Mult choice.

Hicho ndicho ninachokumbuka maana na ni issue ya miaka Mingi sana.
 
Nifah hujawahi kuniangusha content imeshiba yaan ukitoa maelezo unaongezwa contents zingine,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…