Mara: Askari watano JKT washikiliwa kwa tuhuma za mauaji

Huwa wanafundishwa ujinga sana eti wenyewe ndo wenye nchi huku mfukoni hawana hata buku.
 
Kiki hizo, yn achana na hyo avatar yko ila just by reading between the lines kwny uandishi wako unaonekana fala [emoji848]
Askari wa miguuu..achana na mambo ya btn the lines na usenge senge kama huoo


Wake zenu ninawatombaa, sasa kama kijana wangu mmoja wa boda, keshawatomba wake wa wanajeshi watano

Sembuse mimi????

Kwa ufupi, wanawake zeni, wanatombwa mbayaaa yaaan sanaaaaa tuuuu.
 
Mifumo mingi kwenye hili taifa ni mfu haifai na yakizamani inabidi ibadilishwe,utatuzi wa jumla ni katiba itakayokidhi haja na wajibu wa kila sekta.
 
anaongea kuhusu JKT mkuu
 
Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.[emoji1]

Kweli wanajeshi wanadharau sana raia na askari polisi ,yaani wao ndio wanajiona kila kitu ,mwanajeshi bora umtukane tusi jingine lakini sio umwite yeye ni raia.

Inabidi kwasasa wasichukue wenye elimu za hapa na pale wachukue wasomi walioelimika,kuokoteza mabaunsa mitaani na kuwapeleka jeshini ndio tatizo hilo.
 
Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.[emoji1]
Jkt nao ni askari toka lini?
Kumbe hata mimi naweza kuwa askari ila sijijui emh?
Nimepita OP sensa miaka hiyo ila sikulijui hili la leo kuwa kuruta na service wa jkt nao ni askari eti
 
Mifumo mingi kwenye hili taifa ni mfu haifai na yakizamani inabidi ibadilishwe,utatuzi wa jumla ni katiba itakayokidhi haja na wajibu wa kila sekta.
We mataga leo nawewe umebadilika unakiri katiba mpya ni suluhisho?
Duh shetani akizeeka huwa malaika.
 
Hao mbwa huwa wanajikuta spesho na keki Sana,kama wanajua kuua waende Somalia na Kongo .

Ngoja wanyee ndoo ndio akili zitawakaa sawa
 
Mzee hujui kule tunafunzwa ubabe,kudharau raia na polisi wote pia kulima kwa sana.[emoji1]
Mafunzo ya kijeshi hayo yamepitwa na wakati. Mbona nchi nyingine wanajeshi ni watu wapole sana? Kuna sehemu nilifanya kazi yenye wanajeshi wa USA. Ni wapole na waungwana kweli kweli japo muda wote walikuwa wanatembea na silaha kiunoni. Mkipishana mlangoni ni lazima asuburi upite kwanza.
 
Kiukweli hapana siwezi kuwa mnafiki ktk hili, wale watu siwa samehe kamweeh. Hapana kwa kweli.
 
Wacha roho ya korosho we mamaaa[emoji28][emoji28] wasamehe wakufunzi wako kuna waliyokuwa wanakufunza ukae ukijua hata hivyo nina imani ulikuwa mng'ao afu una slay ndio maana uliwengwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] acha tu yaan, kule kambini kuna mateso sana, ubinadamu haupo kabisa.
Niwe muwazi wale watu siwezi kuwa samehe kamweeh.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…