LGE2024 Mara: Lissu akosoa uokoaji wahanga wa Kariakoo

LGE2024 Mara: Lissu akosoa uokoaji wahanga wa Kariakoo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu hawajiulizi maswali haya muhimu;

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Kila mtu anasema kazi ya Mungu na kuanza kumlaumu Mungu lakini hakuna anayeuliza ghorofa lilijengwaje, kama lilijengwa kwa kiwango, inakuaje nchi inayonunulia waziri kari ya milioni 500,0000,000 haina vifaa vya kuokolekea lakini hakuna vifaa uokozi vya milioni 10, hakuna excavator badala yake watu wanaokolea kwa kufukua na mikono, watu wa serikali wanapesa kuliko wafanyabiashara wakubwa, wametoa wapi pesa hizo kama siyo wizi?

 
Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.

Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.

Sasa tuchukue lipi tuache lipi?
 
Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.


Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.

Sasa tuchukue lipi tuache lipi?

Acha utovu wa uelewa kwani Lisu ni serikali au ndiye aliye wanunulia viongozi magari ya 500m @
Sisi ndiyo tulisema tumnunulie gari lingine hilo gari lake lililochakazwa risasi liwekwe makumbusho
 
Mkuu itakuwa tume ya ngapi kuhusiana na majengo kuporomoka ukianza na ya Late Lowasa ???
Ulitaka tutumie taarifa ya tume ya mwaka 1965 au 200's wakati kuna majengo mapya yanajengwa sasa hivi
 
Lisu Acha unafiki na dishi kuyumba kwako, Magufuli alipothibiti rasilimali za nchi wewe mlelewa Ubelgiji ulijigeuza mwanasheria wa Acacia

Sema baada ya kuchakazwa risasi ukakimbilia na kulelewa Belgium
 
Lissu hebu njoo taratibu, ungeenda kwanza kuona kazi inavyofanyika na kuongea na waokoaji, ni hivi ukitumia hiyo skaveta jengo lingetitia na hakuna hata mmoja angepona, pia ningeangukia na nyumba jirani na huo mbanano wa kariakoo tungejikuta zaidi ya gorofa 20 zinaanguka, cha kwanza ilikuwa ni kujua manusura wako wapi, rock mechanics yake imekaaje na unamfikiaje mhanga.
 
Acha utovu wa uelewa kwani Lisu ni serikali au ndiye aliye wanunulia viongozi magari ya 500m @
Sisi ndiyo tulisema tumnunulie gari lingine hilo gari lake lililochakazwa risasi liwekwe makumbusho
HOJA hapo ni wananchi maskini kuchangishwa Ili kumnunulia Lissu gari la kifahari, ni hakuna tofauti na Serikali inavyotumia Kodi zetu kununua mashangingi Kwa mawaziri, ded na DCs.

Lissu alipasa anunue gari ya kawaida tu ya Toyota land cruiser Mkonga.

Hiyo tungemwelewa.
 
Kweli kabisa.huyu rais mwanamama huyu anatutia hasara tu Nchi yetu.kila kitu chini ya huyu mama kimekuwa legelege na chini ya kiwango kama Hilo ghorofa lililoanguka .Anachoweza huyu mama ni kujinunulia gari la milioni miasita Kwa pesa za umma na kushindwa kununua vitu vya msingi kama Hivyo vya uokozi.
 
Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.

Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.

Sasa tuchukue lipi tuache lipi?
Lisu ni case ya Milembe
 
HOJA hapo ni wananchi maskini kuchangishwa Ili kumnunulia Lissu gari la kifahari, ni hakuna tofauti na Serikali inavyotumia Kodi zetu kununua mashangingi Kwa mawaziri, ded na DCs.

Lissu alipasa anunue gari ya kawaida tu ya Toyota land cruiser Mkonga.

Hiyo tungemwelewa.
anapaswa atembelee rumion hiyo mkonga kwa kazi gani?
 
Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.

Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.

Sasa tuchukue lipi tuache lipi?

Serikali inakusanya kodi na kuwa vifaa vya uokoaji ni jukumu lake, halina uhusiano na michango binafsi kwa mtu yoyote sio Lissu tu
 
anapaswa atembelee rumion hiyo mkonga kwa kazi gani?
Rumion Si gari ya KAZI. Haifai mikiki kuzunguka Nchi.

Toyota Mkonga ni sawia, ila v8 hapana, haileti picha nzuri, akipewa uongozi, kamwe hawezi ondoa mav8 kwenye misafara ya viongozi wa umma.

Ktk Hilo nampinga Lissu hadharani.
 
Back
Top Bottom