LGE2024 Mara: Lissu akosoa uokoaji wahanga wa Kariakoo

LGE2024 Mara: Lissu akosoa uokoaji wahanga wa Kariakoo

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Rais kashaunda Tume ya uchunguzi, hii sio hoja,
Tume ndiyo mdudu gani, unajua kutoka Kariakoo mpaka maeneo ya Kisutu hii si mara ya kwanza kwa ghorofa kuanguka na tume zilishaundwa sana. Tume ni kiinimacho cha kuvuta muda waiting for the heat to cool down.
 
Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.

Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.

Sasa tuchukue lipi tuache lipi?
Bora anayeomba fedha kuliko anayeiba kodi za wananchi.
 
Nchi yenu imekwama ndani ya chama fanyeni uokozi acheni kujadili magari
 
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu hawajiulizi maswali haya muhimu;

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Kila mtu anasema kazi ya Mungu na kuanza kumlaumu Mungu lakini hakuna anayeuliza ghorofa lilijengwaje, kama lilijengwa kwa kiwango, inakuaje nchi inayonunulia waziri kari ya milioni 500,0000,000 haina vifaa vya kuokolekea lakini hakuna vifaa uokozi vya milioni 10, hakuna excavator badala yake watu wanaokolea kwa kufukua na mikono, watu wa serikali wanapesa kuliko wafanyabiashara wakubwa, wametoa wapi pesa hizo kama siyo wizi?

View attachment 3158377
Kuna Ma lady boys kama Tlaa watakuja kubishia hili
 
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu hawajiulizi maswali haya muhimu;

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Kila mtu anasema kazi ya Mungu na kuanza kumlaumu Mungu lakini hakuna anayeuliza ghorofa lilijengwaje, kama lilijengwa kwa kiwango, inakuaje nchi inayonunulia waziri kari ya milioni 500,0000,000 haina vifaa vya kuokolekea lakini hakuna vifaa uokozi vya milioni 10, hakuna excavator badala yake watu wanaokolea kwa kufukua na mikono, watu wa serikali wanapesa kuliko wafanyabiashara wakubwa, wametoa wapi pesa hizo kama siyo wizi?




:Tssk:Hii ndio kitu iliyokua inafanyika Pale Kariakoo Huku Juu ndani ya gorofa kuna watu. Fikiria ujinga huu! Hii Siyo Kazi Ya Mungu ni Kazi ya Binadamu.
 
kwani
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu hawajiulizi maswali haya muhimu;

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Kila mtu anasema kazi ya Mungu na kuanza kumlaumu Mungu lakini hakuna anayeuliza ghorofa lilijengwaje, kama lilijengwa kwa kiwango, inakuaje nchi inayonunulia waziri kari ya milioni 500,0000,000 haina vifaa vya kuokolekea lakini hakuna vifaa uokozi vya milioni 10, hakuna excavator badala yake watu wanaokolea kwa kufukua na mikono, watu wa serikali wanapesa kuliko wafanyabiashara wakubwa, wametoa wapi pesa hizo kama siyo wizi?

Inakuaje anaomba omba kuchangiwa mamia ya mamilioni ya pesa kwajili tu ya kununulia gari lake binafsi, na haoni umuhimu kabisa kuchangisha pesa kwajili ya walau kujenga zahanati kule Singida, darasa au kuchimba kisima cha maji kule Singida ambako kuna umaskini wa kutupwa na shida ya maji sana?🐒
 
Wakuu,

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Bara Tundu Lissu akizungumzia zoezi la uokoaji wahanga wa ghorofa lililoporomoka Kariakoo November 21, 2024 mkoani Mara amesema anashangaa kuona watu hawajiulizi maswali haya muhimu;

Kupata nyuzi za kimkoa Uchaguzi Serikali za Mitaa ingia hapa: LGE2024 - Special Thread: Orodha ya Mijadala ya Mikoa yote Tanzania Bara inayoshiriki katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

"Kila mtu anasema kazi ya Mungu na kuanza kumlaumu Mungu lakini hakuna anayeuliza ghorofa lilijengwaje, kama lilijengwa kwa kiwango, inakuaje nchi inayonunulia waziri kari ya milioni 500,0000,000 haina vifaa vya kuokolekea lakini hakuna vifaa uokozi vya milioni 10, hakuna excavator badala yake watu wanaokolea kwa kufukua na mikono, watu wa serikali wanapesa kuliko wafanyabiashara wakubwa, wametoa wapi pesa hizo kama siyo wizi?

Yeye angeweza???
 
kwani

Inakuaje anaomba omba kuchangiwa mamia ya mamilioni ya pesa kwajili tu ya kununulia gari lake binafsi, na haoni umuhimu kabisa kuchangisha pesa kwajili ya walau kujenga zahanati kule Singida, darasa au kuchimba kisima cha maji kule Singida ambako kuna umaskini wa kutupwa na shida ya maji sana?🐒
na usijekuta hizo hela ananywea pombe tu, kwanza kibali cha kuchangisha hizo hela kasim alitoa lini?
 
Lissu hebu njoo taratibu, ungeenda kwanza kuona kazi inavyofanyika na kuongea na waokoaji, ni hivi ukitumia hiyo skaveta jengo lingetitia na hakuna hata mmoja angepona, pia ningeangukia na nyumba jirani na huo mbanano wa kariakoo tungejikuta zaidi ya gorofa 20 zinaanguka, cha kwanza ilikuwa ni kujua manusura wako wapi, rock mechanics yake imekaaje na unamfikiaje mhanga.
Rock mechanics????? oK
 
Back
Top Bottom