chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Lissu mpumbavu sanaMSHENZI HUYU HATA KWENDA HAKUENDA ANAPATA WAPI UJASILI WA KUZUNGUMZIA HILO TUKIO
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lissu mpumbavu sanaMSHENZI HUYU HATA KWENDA HAKUENDA ANAPATA WAPI UJASILI WA KUZUNGUMZIA HILO TUKIO
Nyie ndo wale katiba ya nini kwani ntakula katiba?Tume hairipoti kwangu, kwa nini niisubiri wakati sijawatuma
Katiba haikuletei chakula mezani, it's a mere software, lazima uamke ushike jembe ukalimeNyie ndo wale katiba ya nini kwani ntakula katiba?
Hakika u kilaza wa kupindukia.MSHENZI HUYU HATA KWENDA HAKUENDA ANAPATA WAPI UJASILI WA KUZUNGUMZIA HILO KIO
Kwa hio kuchangishana ni kuiba pesa za umma, mkiambiwa kichwani mmejaa matope ya upumbavu wa mama anaupiga mwingi mnapiga kelele.Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.
Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.
Sasa tuchukue lipi tuache lipi?
Ulitaka tutumie taarifa ya tume ya mwaka 1965 au 200's wakati kuna majengo mapya yanajengwa sasa hivi
Kuliko mamayenu mnunua magori ya Simba na yanga huku kifaa Cha uokoaji Cha 10m kimemshinda.Lisu ni case ya Milembe
Akikujibu uniambieHilo linaloundiwa tume linejengwa mwaka gani mkuu
Kwa nini asifute ma V8 ambayo yamepatikana kwa njia ya ufujaji wa fedha za umma?Ikiwa wananchi wanamchangia Lissu gari ya kifahari na anaikubali,
Akiwa Rais atafuta matumizi ya mav8 kwenye misafara yake?
Nijibu Kwa HOJA ukiweka uchama pembeni.
Pia usiniunganishe na chama chenye kuiba kura.
Conflict of interestKwa nini asifute ma V8 ambayo yamepatikana kwa njia ya ufujaji wa fedha za umma?
Lissu amechangiwa kwa hiari.
Nasikia harufu ishaanza kunuka huko kkoRais kashaunda Tume ya uchunguzi, hii sio hoja,
Hakuna vifaa kabisa aibuSerikali inakusanya kodi na kuwa vifaa vya uokoaji ni jukumu lake, halina uhusiano na michango binafsi kwa mtu yoyote sio Lissu tu
Haya tupe ripoti ya uchunguzi wa mauaji ya Kibao.Rais kashaunda Tume ya uchunguzi, hii sio hoja,
Uwezo wako ni kujadili simba na yanga tuRais kashaunda Tume ya uchunguzi, hii sio hoja,
Alikuwa anajipigia mke wa mtu, naona wakaamua kulipizianaHaya tupe ripoti ya uchunguzi wa mauaji ya Kibao.
Huu ujinga wako wafanyie wanao. Sisi humu tuna mvi usitutingishe
Acha uongoLisu Acha unafiki na dishi kuyumba kwako, Magufuli alipothibiti rasilimali za nchi wewe mlelewa Ubelgiji ulijigeuza mwanasheria wa Acacia
Kama kawaida akili zetu zipo kwenye mambo mepesi na hasa yanayohusu pembetatu ya usawa wa kati, ndo maana muarabu wakati analeta dini yake ya kutunyonya akajua miafrika inafikria uchi tu, we yaambie yakifa yatakuta nyuchi 72 tena bikra yatakufuata na kukuachia kila kitu. Hadi leo tupo computer age miafrika ipo tayari kufa ikakutane na nyuchi 72 za bure akhera!Alikuwa anajipigia mke wa mtu, naona wakaamua kulipiziana
Ccm mpo wengi sana humu JF. Mnalinda maslahi yenu kwa hali na mali.Unaweza kukuta na yeye ana ghorofa hapo hapo Kariakoo 🐼
Wananchi wakitaka kumnunulia hata ndege ni juu yao. Huo ni mfano kwamba wakiungana wanaweza lolote.Lissu: Waziri ananunuliwa gari ya ml 500 Kwa JASHO la wananchi, Nchi Haina vifaa vya uokozi vya ml 10.
Hapo hapo TUNDU Lissu anawaomba wananchi hao hao maskini wamnunulie gari Kwa kuchangishana la ml 500.
Sasa tuchukue lipi tuache lipi?