Mara nyingi mwanamke unamuona mzuri kabla hujamtongoza, ukishamtongoza ndio unagundua lilikuwa ni wenge lako tuu

Mara nyingi mwanamke unamuona mzuri kabla hujamtongoza, ukishamtongoza ndio unagundua lilikuwa ni wenge lako tuu

Mkuu hata uandike nini Hawa viumbe hawajielewi. Wanaongozwa na mihemko yao, sasa hivi wanasema wanazingatia maokoto yaani ndiyo usi seme wao sasa hivi ndiyo wameshika usukani wana ongoza kwa kuambukiza UKIMWI, U.T.I, MAGONJWA YA NGONO, tena kwakuwa wao maungo yao ya siri ni rahisi sana kushika au kupata haya magonjwa basi weeeeeee.
Kuna pisi kali moja nilikuwa napiga ebwana ile pisi si nilikuwa nime izoea, wote tupo negative nikawa napiga kavu ebwanaaaaa weeeeew.
Ile pisi ilifanya nikaja umwa ugonjwa wa U.T.I sugu naenda hospitali kwa mara ya kwanza naambiwa naumwa cystitis ebwanaa kibofu cha mkojo kilikiwa kina vimba na kuuma balaaa yaani hakuna rangi niliacha kuona kila dawa nayotumia ina dunda niliteseka balaaa nilidhani kibofu kinaelekea kupasuka, nilikuna pona mwezi baadaye kuna dokta mmoja alinipipa dripu hizo ni nyingi, tatu asubuhi mchana na jioni kwa siku 7 nadhani kama nakumbuka vizuri....ndiyo nikaja pona...sikuamini kama nilipona na mazoea na ile pisi kali nikafutilia mbali mpaka leo....demu mimi sipigi bila ndomu hata kama tupo negative aiseee.

WANAWAKE NDIYO WANA ONGOZA KUSAMBAZA MAGONJWA SASA HIVI NA HII YOTE NI SABABU YA TAMAA ZA HELA KAZI RAHISI KWAO NI KUDANGA NA UMALAYA TUU.
Hayo magonjwa wanawake hawatoi hewani. Wanatoa kwa wanaume hivyo wote ni wasambazaji.
 
Hivi vitu havina formula, kuna pisi niliwahi kuziona mbovu kinazi hata kupokea simu nilikuwa najilazimisha, ila nilipokuja kuonja ndio nikapagawa hata greda lilishindwa kunitoa

Mpaka leo naheshimu wanawake wote bila kujali ana muonekano gani, nilipata funzo kuwa ukitaka kujua utamu wa ngoma (au 'chama' ingalikuwa wahenga ni makolo venye wangeita😂) ingia uucheze
Nakubaliana na wewe
 
Back
Top Bottom