Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
-
- #41
Rafiki yangu mmoja alikuwa na demu wake ambaye akikaa muda mrefu bila kumgonga awaka tamaa za mwili lakini akishmgings tu snsmuona ksma takataka. Kumbe ni wenge lake tu na tamaa za ngono
Dogo demu anayekufaa sio yule anaeonekana mzuri kwa wote shika hii point itakufaa maishani..
Kwani huwa mnakuwa na matarajio gani kablaa?
Ushauri mzuri sana huu hasa kwa wa Dada, umewapa siri muhimu sana, ila hawatakusikiliza.
Sawa sawaWanawake wengi hudharau Waume zao kisa mawenge ya wanaume wa huko mitaani.
Wakiachwa ndio wanajua ukweli
Hayo magonjwa wanawake hawatoi hewani. Wanatoa kwa wanaume hivyo wote ni wasambazaji.Mkuu hata uandike nini Hawa viumbe hawajielewi. Wanaongozwa na mihemko yao, sasa hivi wanasema wanazingatia maokoto yaani ndiyo usi seme wao sasa hivi ndiyo wameshika usukani wana ongoza kwa kuambukiza UKIMWI, U.T.I, MAGONJWA YA NGONO, tena kwakuwa wao maungo yao ya siri ni rahisi sana kushika au kupata haya magonjwa basi weeeeeee.
Kuna pisi kali moja nilikuwa napiga ebwana ile pisi si nilikuwa nime izoea, wote tupo negative nikawa napiga kavu ebwanaaaaa weeeeew.
Ile pisi ilifanya nikaja umwa ugonjwa wa U.T.I sugu naenda hospitali kwa mara ya kwanza naambiwa naumwa cystitis ebwanaa kibofu cha mkojo kilikiwa kina vimba na kuuma balaaa yaani hakuna rangi niliacha kuona kila dawa nayotumia ina dunda niliteseka balaaa nilidhani kibofu kinaelekea kupasuka, nilikuna pona mwezi baadaye kuna dokta mmoja alinipipa dripu hizo ni nyingi, tatu asubuhi mchana na jioni kwa siku 7 nadhani kama nakumbuka vizuri....ndiyo nikaja pona...sikuamini kama nilipona na mazoea na ile pisi kali nikafutilia mbali mpaka leo....demu mimi sipigi bila ndomu hata kama tupo negative aiseee.
WANAWAKE NDIYO WANA ONGOZA KUSAMBAZA MAGONJWA SASA HIVI NA HII YOTE NI SABABU YA TAMAA ZA HELA KAZI RAHISI KWAO NI KUDANGA NA UMALAYA TUU.
Wao wana sambaza kwa upesi zaidi kuliko sisi. Sisi tupo speed ya 3G wao wako 5G.Hayo magonjwa wanawake hawatoi hewani. Wanatoa kwa wanaume hivyo wote ni wasambazaji.
Wanawake wengi hudharau Waume zao kisa mawenge ya wanaume wa huko mitaani.
Wakiachwa ndio wanajua ukweli
🤦🏼♂Kanyweni chai nyie malofa.....
Nakubaliana na weweHivi vitu havina formula, kuna pisi niliwahi kuziona mbovu kinazi hata kupokea simu nilikuwa najilazimisha, ila nilipokuja kuonja ndio nikapagawa hata greda lilishindwa kunitoa
Mpaka leo naheshimu wanawake wote bila kujali ana muonekano gani, nilipata funzo kuwa ukitaka kujua utamu wa ngoma (au 'chama' ingalikuwa wahenga ni makolo venye wangeita😂) ingia uucheze
Sidhani hili neno ni sahihi kwa dada zetu na wapenzi wetu. Punguza ukali wa maneno mkuu, next time utakuwa na shida na mtu atatumia reference hii hii kukuchomolea humu.Huwa nikishamkojolea namuona takataka
Kutamani ni gafra but kupenda huchukua muda.Kuna tofauti Kati ya kumpenda mtu na kumtamani mtu.
Hatunaga matarajio zaidi ya wenge(tamaa ya ngono)
Wenge linakupofusha kwa muda likikata ndio lawama hufuata.
Matarajio tunakuwa nayo kwa wanawake tunaowapenda. Kabla hawajaonyesha Ushetani