Mara nyingi mwanamke unamuona mzuri kabla hujamtongoza, ukishamtongoza ndio unagundua lilikuwa ni wenge lako tuu

.. na mwanamke amuheshimu mwanaume kila wakati.
Aisee mwanamke wa namna hii nitampenda mpaka basi.
Mimi bwana napenda sana mtu aniheshimu japo huwa silazimishi. Yan mtu wangu anipe heshima tuuu basiiii hayo mengine walaa.

Mtu anaponikosea heshima, seriously napata wakat mgumu kwel kwel
 
Mnatengeneza mashetani wenyewe baadae mnaunda vikundi vya kataa ndoa. Mwanamke anayetongozwa anatumiwa anaachwa baada ya muda lazima ajifunze matukio.
 
Aisee mwanamke wa namna hii nitampenda mpaka basi.
Mimi bwana napenda sana mtu aniheshimu japo huwa silazimishi. Yan mtu wangu anioe heshima tuuu basiiii hayo mengine walaa.

Mtu anaponikosea heshima, seriously napata wakat mgumu kwel kwel
Ni kawaida na asili ya mwanaume. Ukiheshimiwa unapata nguvu na ujasiri wa ajabu.
 
Somo zuri,ila sijui kama watalielewa...
 
Kuna Ile Ume hustle saba kwenda naye Hotel hadi nauli umemlipia kutoka Mkoa kwenda Mkoa...ukishamaliza game tu unajawa na Depressiona kabisa unaanza kujuta Pesa yako.

Ukifanya uhasibu Laki 6 imepotea.

Unajua nini kinafata?

Baada ya wiki demu anaanza kulalamika eti baada ya Kumnyandua umepunguza mapenzi.

Ukweli ni kuwa hujapunguza mapenzi bali amekosa Mvuto

Na hii inawahusu sana wale wenye Matako Makubwa na viuno kama Nyigu.

Mwanzo unawapapalikia kweli ukishakuwa naye karibu hata Kichwani hana Content..
 
Hahaaa kumbe hii inawakuta wanaume wengi.
Halafu unakuta amekolea na ndoa anataka!!

My friend unaanza kumuombea apate ubavu wake ili uwe huru!!

Bahati mbaya uwe gentle man huwezi mtimua Wala mkwara aiseh unashindwa nini.cha kufanya !usiombe awe na mentality ya Aisha ngedere au kivuruge aiseh atakusumbua hadi utahama na line unavunja!!

So bad!
 
Uzi wa moto.
 
hiyo kweli kuna nyingine hazina radha kabisa kama unakula ugali bila mboga..
Hehehe hii mada hii itatuumbua sana.

Hakuna Mwanaume aliyekuwa anatamani wanawake Viuno vya nyigu kama mimi.

Mwisho nikasema ngoja niachane nazo hazina maana yoyote.

Sijawahi ona maajabu kama wanavyosifika mtaani.
 
Wanataka kuishi kama zari na kina hamisa sasa wanajikuta wapo kwenye mamichezo mingi hela hawana wanategemea kwa wanaume...

hivi viumbe ni bure kabisa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…