Mara nyingi mwanamke unamuona mzuri kabla hujamtongoza, ukishamtongoza ndio unagundua lilikuwa ni wenge lako tuu

Hehehe hii mada hii itatuumbua sana.

Hakuna Mwanaume aliyekuwa anatamani wanawake Viuno vya nyigu kama mimi.

Mwisho nikasema ngoja niachane nazo hazina maana yoyote.

Sijawahi ona maajabu kama wanavyosifika mtaani.
acha tu hawa viumbe wenzetu wapo tofauti sana yaani nje na ndani ni vitu viwili tofauti..
Kuna mwingine unakutana nae hata kuzaa hajazaa mtindi umeshashuka muda hapo unajua kabisa hakuna jambo hapa ameshachomoa za kutosha miili yao haidanganyi..
 
Hiyo Paragrafu ya MwishoπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Underrated!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…