SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
.Ile rule inayosema never outsmart your master itaenda kumtuliza Makonda siku chache zijazo.
Atazunguka huko mikoani anapiga simu kwa kila waziri, atatoa maelekezo, lakini mwisho wa siku naamini itakuwa business as usual.
Magufuli angekuwa reincarnated kwa Makonda endapo aliyepo ikulu ana tabia za Kimagufuli, lakini kinyume na hapo, ni na hili mkalitazame ...
Anyway, sijui kwanini tunamkumbuka zaidi Makonda wa Magufuli, kisha tunamsahau kabisa Makonda wa Kikwete, kama hao Makonda wawili walikuwa tofauti, basi hata huyu Makonda wa tatu wa Samia, nae atakuja kuwa tofauti pia, just a matter of time.
Hivi nyomi lote lile linalipwa?Usipoteze muda wako na hao watu wanaotengenezwa na Makonda mwenyewe, tena kwa malipo makubwa.
Katika jamii maskini, pesa inanunua kila kitu mpaka akili za watu.
Sasa Manyama ni Mjita halafu fimbo ni ya Mzanaki, imekaaje hiyo?Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.
Ngoja tuone mwisho wa Makonda.
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.
MARA HAKUNA CHAWA.!!Chawa Nchi Yote Hata Mara
JITA,LULI &KWAYAKwa hiyo unataka kuwapa ujumbe wana JF kwamba Komredi PCM anatakiwa kuwa na harufu ya nyama muda wote huku zingine zikining'inia mdomoni na mikononi?
Nini maana ya 'MANYAMA' katika makabila haya ya mkoa wa Mara?
1. Kurya
2. Jaluo
3. Jita
4. Kerewe
5. Zanaki
6. Simbiti
7. Ikoma
8. Ikizu
9. Kwaya
10. Suba na
11. Sizaki?
*Kati ya makabila tajwa hapo juu atakuwa amesimikwa na Wajita waliochanganya na Wakurya
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere[emoji1787]Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.
Ngoja tuone mwisho wa Makonda.
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.
Hao manyama ndiyo mkoa wa mara?Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.
Ngoja tuone mwisho wa Makonda.
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.
Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.
Ngoja tuone mwisho wa Makonda.
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.
Eti Mara 'hatunaga uchawa' aliyekudanganya ni nani? Umesahau tukio la Kangi Lugola kumtukuza Jiwe kwa kumpa hadhi ya Yesu? Hadi ikapelekea Magufuli kuitwa 'Mheshimiwa Mungu'? Au Kangi Lugola hatokei Mara?
Kwa ufinyu wa uelewa wako unaamin hvyo,elimu ya Tz ni janga la kitaifaJamaa anachanja mbuga, anachimbua na kurejesha uhai na afya ya CCM kwa kasi kubwa sana
Mimi huwa sielewi vizuri
Mtu anayechukiwa saaana na wapinzani, huwa lulu saaana kwa wananchi,
Kwa mantiki hiii' wapinzani wanapaswa kubuni namna nzuri ya wao kukubalika kwa wananchi, waache chuki za kijinga
Wakurya watoe hapoKwa hiyo unataka kuwapa ujumbe wana JF kwamba Komredi PCM anatakiwa kuwa na harufu ya nyama muda wote huku zingine zikining'inia mdomoni na mikononi?
Nini maana ya 'MANYAMA' katika makabila haya ya mkoa wa Mara?
1. Kurya
2. Jaluo
3. Jita
4. Kerewe
5. Zanaki
6. Simbiti
7. Ikoma
8. Ikizu
9. Kwaya
10. Suba na
11. Sizaki?
*Kati ya makabila tajwa hapo juu atakuwa amesimikwa na Wajita waliochanganya na Wakurya
Unaongelea musoma!?....Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.
Ngoja tuone mwisho wa Makonda.
Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.