Mara wamsimika Makonda na kumpa jina la Manyama, aagiza bodaboza ziachiliwe, Mizigo ya magendo itozwe kodi na iachiliwe

Mara wamsimika Makonda na kumpa jina la Manyama, aagiza bodaboza ziachiliwe, Mizigo ya magendo itozwe kodi na iachiliwe

Ukiona mkoa wa Mara unafanya jambo hili ujuwe wewe ni kidume kwelikweli. Kule hakunaga chawa.

Ngoja tuone mwisho wa Makonda.

Akabidhiwa kifimbo cha Nyerere.
Mara ndio machawa mpaka wanatia aibu
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Komredi Makonda ameagiza Bodaboda zinazoshikiliwa Polisi ziachiwe

Naye Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amesema ni Marufuku Magari ya Wagonjwa kubeba Mkaa

Habari Leo
 
Kwa niaba ya wananchi wa Rorya kwa ujumla Mhe. Mbunge wa Jimbo la Rorya Jafari Wambura Chege ametoa Ng’ombe kwa Ndg. Paul C. Makonda kama zawadi ya Pongezi kwa kutambua na kukubali kazi kubwa alianza kufanya toka ameidhinishwa na kupitishwa na NEC ya chama cha Mapinduzi Taifa.

Mh. Mbunge kwa niaba ya wananchi wa jimbo la Rorya wanampongeza Mh Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kupendekeza na kumteua Ndg. Paul C Makonda kushika nafasi hiyo.

“Tunaimani kubwa kama kijana mwenzetu kwa kazi nzito aliyopewa ya kukisemea na kukiimarisha chama, tunamuombea Ndg. Paul C Makonda mwenyezi Mungu ampe afya njema na atende yale yaliyo matarajio na matamanio ya Watanzania walio wengi na kiukweli ameanza Vyema”

WhatsApp Image 2023-11-15 at 06.57.52.jpeg
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Komredi Makonda ameagiza Bodaboda zinazoshikiliwa Polisi ziachiwe

Naye Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amesema ni Marufuku Magari ya Wagonjwa kubeba Mkaa

Habari Leo
Kamabodaboda hizo zina kesi.
Ximeua abiria au kigonga mtu jadi kifo.
Au ximeibiwa hapo onakiwaje ndugu miarobaini Makonda.
Unaingiloa hata uasiyokuhusu.
 
Kamabodaboda hizo zina kesi.
Ximeua abiria au kigonga mtu jadi kifo.
Au ximeibiwa hapo onakiwaje ndugu miarobaini Makonda.
Unaingiloa hata uasiyokuhusu.
Ziachiwe! Tumesema sisi CCM. Makosa hayana ufuatiliaji zaidi ya kutaka rushwa tu. Inakuwaje unakuwa na pikipiki zaidi ya elfu moja kituoni???
 
Kwa niaba ya wananchi wa Rorya kwa ujumla Mhe. Mbunge wa Jimbo la Rorya Jafari Wambura Chege ametoa Ng’ombe kwa Ndg. Paul C. Makonda kama zawadi ya Pongezi kwa kutambua na kukubali kazi kubwa alianza kufanya toka ameidhinishwa na kupitishwa na NEC ya chama cha Mapinduzi Taifa.

Mh. Mbunge kwa niaba ya wananchi wa jimbo la Rorya wanampongeza Mh Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kupendekeza na kumteua Ndg. Paul C Makonda kushika nafasi hiyo.

“Tunaimani kubwa kama kijana mwenzetu kwa kazi nzito aliyopewa ya kukisemea na kukiimarisha chama, tunamuombea Ndg. Paul C Makonda mwenyezi Mungu ampe afya njema na atende yale yaliyo matarajio na matamanio ya Watanzania walio wengi na kiukweli ameanza Vyema”


Kwa niaba ya wananchi wa Rorya kwa ujumla Mhe. Mbunge wa Jimbo la Rorya Jafari Wambura Chege ametoa Ng’ombe kwa Ndg. Paul C. Makonda kama zawadi ya Pongezi kwa kutambua na kukubali kazi kubwa alianza kufanya toka ameidhinishwa na kupitishwa na NEC ya chama cha Mapinduzi Taifa.

Mh. Mbunge kwa niaba ya wananchi wa jimbo la Rorya wanampongeza Mh Rais Dr. Samia Suluhu Hassan kwa kupendekeza na kumteua Ndg. Paul C Makonda kushika nafasi hiyo.

“Tunaimani kubwa kama kijana mwenzetu kwa kazi nzito aliyopewa ya kukisemea na kukiimarisha chama, tunamuombea Ndg. Paul C Makonda mwenyezi Mungu ampe afya njema na atende yale yaliyo matarajio na matamanio ya Watanzania walio wengi na kiukweli ameanza Vyema”

Nchi za kishenzi utazijua tu
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Komredi Makonda ameagiza Bodaboda zinazoshikiliwa Polisi ziachiwe

Naye Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amesema ni Marufuku Magari ya Wagonjwa kubeba Mkaa

Habari Leo
Stupid, kama boda boda za wizi? hazina Insuarance, zina migogoro ya umiliki? hazijalipa kodi za TRa. Nchi ya kishenzi na watawala washenzi
 
Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM Komredi Makonda ameagiza Bodaboda zinazoshikiliwa Polisi ziachiwe

Naye Waziri wa Afya mh Ummy Mwalimu amesema ni Marufuku Magari ya Wagonjwa kubeba Mkaa

Habari Leo
Bodaboda zote ziachiwe? Anajuwa kila kosa la bodaboda iliyokamatwa?Polisi hajui Sheria kwa hiyo wanawaonea boda? Makonda ni kiongozi wa serikali? Mbona anapuyanga kama gari bovu. JPM alitengeneza system mbaya sana hisiyofuata Sheria, na Samia nae ngoja amuendekeze akidhani kuna watu anawakomoa lakini itamcost muda si mrefu.

Tangu Makonda ashike nyadhifa zote alizowahi kushika, hakuna hata jambo moja alilowai kuanzisha likawa endelevu.
 
Back
Top Bottom