Gatabhanya
JF-Expert Member
- Nov 16, 2024
- 2,644
- 5,178
Wanawatoa kigomaSamaki kasulu wawewatoa wapi!?. Kasulu Kuna maharagwe na nafaka nafaka ndo zimejaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanawatoa kigomaSamaki kasulu wawewatoa wapi!?. Kasulu Kuna maharagwe na nafaka nafaka ndo zimejaa.
Manguruweni je hujafika.Kote nimefika huko, kasulu pia
Kawaida kwa sababu hakuna mito yenye samaki wanategemea nguruka na kigoma mjiniSasa upatikanaji wake sio mkubwa kama uliopo kigoma
Samaki wanapelekewa… migebuka inafika Dar sembuse Kasulu. Nimewala sana samaki nikiwa huko kikazi. Unasema nafaka tuu ndo zimejaa means hakuna nyama? Kuku? etcSamaki kasulu wawewatoa wapi!?. Kasulu Kuna maharagwe na nafaka nafaka ndo zimejaa.
Katubuka manguruweniMmh!! Sijawahi iskia hiyo sehemu nikiwaa huko
Unasikia Ila huna uhakika.. wilaya inayoongoza Kigoma kwa kipato ni Kasulu na bishara ipo kuliko Kigoma mjini. Rudi fanya research yako vizuri..Kasulu pesa inatoka wapi!? Ila kule vitu vingi vinatoka Uganda naskia hasa nguo.
Yeah Sina hakika kwakua sikukaa sanaa lakini ndo nimesema pengine maana kule kasulu naskia wamepakana na Uganda Kwahy huenda biashara ikawa changamfu maana nilinunua vitu kwa bei Chee tofauti na kigoma mjini.Unasikia Ila huna uhakika.. wilaya inayoongoza Kigoma kwa kipato ni Kasulu na bishara ipo kuliko Kigoma mjini. Rudi fanya research yako vizuri..
Sijasema hakuna nyama ila upatikanaji wake sio mkubwa kma kigoma mjini hata bei huenda sio sawa, kama huku migebuka inapatikana kwa msimu na baadhi ya maeneo hakuna kbsaaSamaki wanapelekewa… migebuka inafika Dar sembuse Kasulu. Nimewala sana samaki nikiwa huko kikazi. Unasema nafaka tuu ndo zimejaa means hakuna nyama? Kuku? etc
Haha ni kama wanyakyusa wanaita sumbi liwe ziwa au bahari.Wenyewe ndo wanavyoita, hawasemi ziwani Bali baharini