Mara ya kwanza nakanyaga Kigoma na niliyoyaona huko

Mara ya kwanza nakanyaga Kigoma na niliyoyaona huko

Mikoani kuna biashara zake za kufanya. Usikurupuke tu kisa ulikua unauza nguo Dar zinatoka uende na Simiyu ukiwa na matarajio yaleyale utakula chuma.

Mkoani ni sehemu unayotakiwa utumie akili sana kuliko hata Dar ndio upate hela.

Ndio maana ukienda Njombe hapo utakuta vijana wadogo tu wana pesa za kutosha na hawana maduka ya nguo wala vyombo.
 
Baada ya kufika Kigoma nikakaa siku kama ya 3 hivi nikasema niende mjini , nikaenda barabarani Buzebazeba ( ndo nilipofikia), ilikuwa jioni , nikagundua kumbe

1. Kigoma hakuna foleni barabarani.

2. Hakukuwa na dalalada za mjini kama huku Bali Kuna vibajaji.

Basi nikapanda kibajaji , njiani namwambia dereva

"Vipi hakuna foleni , tutawahi kufika".

Dereva akanishangaa😅, akanambia "huku hakunaga foleni", nikasema "weee, kumbe". Baada ya dakika kadhaa kweli tukawa tumefika Kigoma mjini ( mwisho wa reli).

3. Watoto wa kule ni wakubwa tofauti na umri wao.

Pale kwa wenyeji wetu kulikuwa na Wasichana , ukiwaangalia mimi na wao tulikuwa kimo sawa na wengine walinizidi , kumbe bhana ni vitoto😅 ila miili mikubwa.

Nilijua hayo siku alipokuja mtoto wa mwenyeji wetu kutuona, wakati wa maongezi ndo akataja umri wake , miaka 16 , ukimwangalia sasa huyo msichana wa miaka 16 na mimi wakati huo 21 heee!! Yeye mkubwa mimi mdogo. Nikaulizia na wale wengine eti miaka 15, 16, 17 hakuna 18 , duuh!! Nikasema tembea uone.

4.Samaki fresh kutoka baharini zinanenepesha.

Ndani ya mwezi mmoja wa kukaa hapo nguo nilokuja nazo zikawa ndogo, zinanibana nimefutuka balaa, nikafanya udadisi bhanaa, kumbe ni zile samaki( migebuka) inatoka Moja kwa moja baharini tunaila ikiwa fresh ndo inatunenepesha, kwahiyo vile vitoto vinanenepeshwa na migebuka na marumbu.

5. Mzunguko mdogo wa pesa miaka nenda miaka rudi.

Kumbe ndomna waha wanang'ang'ania dar, kgma mzunguko wa pesa upo taratiibu sanaa, dar unaweza kuishi kwa kuuza barafu na ice cream sio kigoma, unamuzia nani!?.

6. Wanawake ndo watafutaji kwa asilimia kubwa.

Kila utakapokatiza unakutana na wanawake na mashuka Yao, hata wakiwa kwenye mikutano wapo nayo, masokoni ndo usiseme wamejaa, waume zao wapo kwenye vijiwe vya kahawa wanajadili ACT wazalendo, akirudi akute ugali umeiva.

7. Wanaume wa gungu ni wajuaji kuliko sehemu zingine.

Yaani wanaume wa gungu unaweza ukabishana nao mpaka asubuhi bila kuchoka, Kila kitu wanajua wao, hakuna wasichokijua.

Ni mji Mzuri kwa kupumzisha akili ila kimaisha mgumu sana.

Najipanga nirudi tena.
Kitendo cha kuuliza kigoma kuna foleni inaonekana hata details ndogondogo za nchi yetu huzijui
 
Mikoani kuna biashara zake za kufanya. Usikurupuke tu kisa ulikua unauza nguo Dar zinatoka uende na Simiyu ukiwa na matarajio yaleyale utakula chuma.

Mkoani ni sehemu unayotakiwa utumie akili sana kuliko hata Dar ndio upate hela.

Ndio maana ukienda Njombe hapo utakuta vijana wadogo tu wana pesa za kutosha na hawana maduka ya nguo wala vyombo.
Kabsaa uwe na hesabu Kamili ya nini ufanye lasivyo hata nauli utakosa ya kurudi ulipotoka
 
40411597d620d681c8455eefef2c0df7.jpg
 
Baada ya kufika Kigoma nikakaa siku kama ya 3 hivi nikasema niende mjini , nikaenda barabarani Buzebazeba ( ndo nilipofikia), ilikuwa jioni , nikagundua kumbe

1. Kigoma hakuna foleni barabarani.

2. Hakukuwa na dalalada za mjini kama huku Bali Kuna vibajaji.

Basi nikapanda kibajaji , njiani namwambia dereva

"Vipi hakuna foleni , tutawahi kufika".

Dereva akanishangaa😅, akanambia "huku hakunaga foleni", nikasema "weee, kumbe". Baada ya dakika kadhaa kweli tukawa tumefika Kigoma mjini ( mwisho wa reli).

3. Watoto wa kule ni wakubwa tofauti na umri wao.

Pale kwa wenyeji wetu kulikuwa na Wasichana , ukiwaangalia mimi na wao tulikuwa kimo sawa na wengine walinizidi , kumbe bhana ni vitoto😅 ila miili mikubwa.

Nilijua hayo siku alipokuja mtoto wa mwenyeji wetu kutuona, wakati wa maongezi ndo akataja umri wake , miaka 16 , ukimwangalia sasa huyo msichana wa miaka 16 na mimi wakati huo 21 heee!! Yeye mkubwa mimi mdogo. Nikaulizia na wale wengine eti miaka 15, 16, 17 hakuna 18 , duuh!! Nikasema tembea uone.

4.Samaki fresh kutoka baharini zinanenepesha.

Ndani ya mwezi mmoja wa kukaa hapo nguo nilokuja nazo zikawa ndogo, zinanibana nimefutuka balaa, nikafanya udadisi bhanaa, kumbe ni zile samaki( migebuka) inatoka Moja kwa moja baharini tunaila ikiwa fresh ndo inatunenepesha, kwahiyo vile vitoto vinanenepeshwa na migebuka na marumbu.

5. Mzunguko mdogo wa pesa miaka nenda miaka rudi.

Kumbe ndomna waha wanang'ang'ania dar, kgma mzunguko wa pesa upo taratiibu sanaa, dar unaweza kuishi kwa kuuza barafu na ice cream sio kigoma, unamuzia nani!?.

6. Wanawake ndo watafutaji kwa asilimia kubwa.

Kila utakapokatiza unakutana na wanawake na mashuka Yao, hata wakiwa kwenye mikutano wapo nayo, masokoni ndo usiseme wamejaa, waume zao wapo kwenye vijiwe vya kahawa wanajadili ACT wazalendo, akirudi akute ugali umeiva.

7. Wanaume wa gungu ni wajuaji kuliko sehemu zingine.

Yaani wanaume wa gungu unaweza ukabishana nao mpaka asubuhi bila kuchoka, Kila kitu wanajua wao, hakuna wasichokijua.

Ni mji Mzuri kwa kupumzisha akili ila kimaisha mgumu sana.

Najipanga nirudi tena.
KIGOMA KUNA BAHARI?
 
Back
Top Bottom