Mtu akioana na Mtusi waha wanamhusudu na kumpa heshima sana!Wanawake wa Kiha wengi shepu ni mgogoro km unavyosema labda watusi wa huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtu akioana na Mtusi waha wanamhusudu na kumpa heshima sana!Wanawake wa Kiha wengi shepu ni mgogoro km unavyosema labda watusi wa huko
🤣😂🤣😂Hao ni Waha wa kasulu huko, kwao kukavu hakuna chakula. Ila Hawa wa kigoma weee wameshiba
Warundi asili yao ni watoto wa wahaHao ni warundi wamejibatiza waha wa kigoma.
Serikali ikalitazame na hili😂Bahari ya Tanganyika!!hahaha
Wamanyema ndio wanawake wazuri ? hebu nenda kwenye chimbuko lao kule Eastern Congo huko Maniema Province ukajionee vituko..Unawajua wamanyema!?.
Wamanyema nawajuaUnawajua wamanyema!?.
Nije nikufanyejeNjoo geto
NakaziaSerikali ikalitazame na hili😂
Sawa MkuuIkiwezekana waibadilishe iwe bahari rasmi
Hivyo ndvyo ilivyo 🤣Kwahiyo wakiwa kwao wanarefuka na miili kukua?
Wakija dar wanakua wafupi 🤣🤣🤣 mmmhHivyo ndvyo ilivyo 🤣
Noma sana!Huko sikufika kwakweli
Tulikataza kuua mbu kwa nyundokigoma hakuna bahari ni ziwa Tanganyika..Jiografia ulipata ngapi?
Babu zetu , Bibi zetu ziwa huwa wanaita bahari tangu zamani. Hata ardhi huita nchi.kigoma hakuna bahari ni ziwa Tanganyika..Jiografia ulipata ngapi?
Wamanyema wa Tanzania usifananishe na wa kongo hata kidogo. Wamanyema wa Tanzania ni mchanganyiko wa makabila mengi sana yakiwemo ya kongo na Tanzania.Wamanyema ndio wanawake wazuri ? hebu nenda kwenye chimbuko lao kule Eastern Congo huko Maniema Province ukajionee vituko..