OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mchango wa kitu gani,jieleze vizuriUnafikiri wanaolalamika watoto wao hawaoni mchango wao na kuona mchango wa mama pekee hawafanyi yote hayo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchango wa kitu gani,jieleze vizuriUnafikiri wanaolalamika watoto wao hawaoni mchango wao na kuona mchango wa mama pekee hawafanyi yote hayo?
Mimi nimwambie nampenda, mama yake amwambie hivyo pia, walahi mtoto atakua na tabia za kina juniorMwisho wa siku uje kulalamika mtoto anampenda sana mama ake kuliko wewe?
Ebo!mzazi anaejitambua hawezi kutamka kwa mtt eti unampenda.
Ngoja nimalizie kuvuta nikupe maua yakoMakid ya now days. kizazi cha pampas. unawezaliambia litoto la kike likaona Mshua kaelewa Mzigo. Kifuatacho sasa!! hutakaa uamini. labda hizi zifanyike huko masaki,capripoint,forest, uhidini na place kaa hizo. lakini mbagala,bugalika,Matola, nyihogo, kanyenye,sombetini,Chogo au buzebazeba? utaishia kuchumishwa tunda na utalila tu kama Mwanangu Adamu wa pande za Eden mapindi yale
Subiri nimalize kuvuta hapa nikakuletee maua yakoMakid ya now days. kizazi cha pampas. unawezaliambia litoto la kike likaona Mshua kaelewa Mzigo. Kifuatacho sasa!! hutakaa uamini. labda hizi zifanyike huko masaki,capripoint,forest, uhidini na place kaa hizo. lakini mbagala,bugalika,Matola, nyihogo, kanyenye,sombetini,Chogo au buzebazeba? utaishia kuchumishwa tunda na utalila tu kama Mwanangu Adamu wa pande za Eden mapindi yale
Huduma zote zinapitia kwa mama yake hhivyo mtoto anakuwa karibu na mama zaidi, hata kuongea na watoto ni jambo ambalo wanaume wengi wanaachia akina mama, mwisho wa siku mtoto anachokumbuka kwako ni fimbo na ukali tu. Ugumu unatoka wapi kumwambia mtoto wako unampenda na akajihusi kuwa kweli baba ananipenda?Mchango wa kitu gani,jieleze vizuri
Uko sahihi kumwambia tu nakupenda wakati, hukutoshi, upendo wa mzazi hujidhihilisha wazi.Mtoto muoneshe Kwa Vitendo upendo atauona tu . Kumtamkia unampenda haitoshi
Hoja yako ni wapi huduma zinapitia au kusema "nakupenda"? Kwa hiyo alternative ya huduma ni kusema nakupenda?Huduma zote zinapitia kwa mama yake hhivyo mtoto anakuwa karibu na mama zaidi, hata kuongea na watoto ni jambo ambalo wanaume wengi wanaachia akina mama, mwisho wa siku mtoto anachokumbuka kwako ni fimbo na ukali tu. Ugumu unatoka wapi kumwambia mtoto wako unampenda na akajihusi kuwa kweli baba ananipenda?
😂 sio kwa kukaza fuvu, sasa ndio umefafanua vizuri, hoja yangu ni vitendo na maneno. Waone kwa vitendo na uwaambie kuwa unawapenda. Affirmation words ni muhimu kwa watoto toka wakiwa wadogo, kwa wao kujenga trust na upendo kwa mzazi wake. Unaweza kuona haina athari yoyote mpaka atokee mtu mwingine kufanya hivyo, haitakiwi kuwa that strange kumwambia mtoto wako unampenda, kuna watu watatumia mwanya huo kuharibu mtoto wako.WHoja yako ni wapi huduma zinapitia au kusema "nakupenda"? Kwa hiyo alternative ya huduma ni kusema nakupenda?
Wengine sisi hatupitishii huduma kwa mama labda nikose nafasi. Nampeleka out mwenyewe, shoping tunaongozana, shule nampeleka na ada tunaenda kulipa naye bank. Hata mama yake akienda kununua kama nilimpa mimi hela nakuja kumwambia nilimpa mama yako hela akununulie.
Hivi hii mistari tunayokupa unachukua point lakini au umekaza fuvu tu?