Mara ya mwisho kumwambia Mwanao unampenda ni lini?

Mara ya mwisho kumwambia Mwanao unampenda ni lini?

Mada ya moto na yenye mantiki.
Najitahidi kadiri niwezavyo hata zaidi ya mara moja kwa siku.
Pia nijazie, vitendo vya kumuonyesha zaidi kuwa unampenda ndio muhimu sana, na kumpa zawadi "sio hela wakuu!" pia hufanya watoto watuone sio tunawapenda tu bali pia tunawajali.
Tutimize majukumu yetu kwao kwa kuomba pia uongofu wa muumba wetu uwe juu ya malezi yetu.
Asante.
Asante.
 
Makid ya now days. kizazi cha pampas. unawezaliambia litoto la kike likaona Mshua kaelewa Mzigo. Kifuatacho sasa!! hutakaa uamini. labda hizi zifanyike huko masaki,capripoint,forest, uhidini na place kaa hizo. lakini mbagala,bugalika,Matola, nyihogo, kanyenye,sombetini,Chogo au buzebazeba? utaishia kuchumishwa tunda na utalila tu kama Mwanangu Adamu wa pande za Eden mapindi yale
Ngoja nimalizie kuvuta nikupe maua yako
Makid ya now days. kizazi cha pampas. unawezaliambia litoto la kike likaona Mshua kaelewa Mzigo. Kifuatacho sasa!! hutakaa uamini. labda hizi zifanyike huko masaki,capripoint,forest, uhidini na place kaa hizo. lakini mbagala,bugalika,Matola, nyihogo, kanyenye,sombetini,Chogo au buzebazeba? utaishia kuchumishwa tunda na utalila tu kama Mwanangu Adamu wa pande za Eden mapindi yale
Subiri nimalize kuvuta hapa nikakuletee maua yako
 

Attachments

  • FB_IMG_1681626346879.jpg
    FB_IMG_1681626346879.jpg
    19.3 KB · Views: 2
Mchango wa kitu gani,jieleze vizuri
Huduma zote zinapitia kwa mama yake hhivyo mtoto anakuwa karibu na mama zaidi, hata kuongea na watoto ni jambo ambalo wanaume wengi wanaachia akina mama, mwisho wa siku mtoto anachokumbuka kwako ni fimbo na ukali tu. Ugumu unatoka wapi kumwambia mtoto wako unampenda na akajihusi kuwa kweli baba ananipenda?
 
Mtoto anakuwa karibu na mama utotoni. Ukubwani ndio unakuja kugundua mvuja jasho alikuwa ni baba.

Wababa hatuhitaji maneno, ni vitendo tu. That's manhood.

Mwanaume hasibiri kusifiwa wala kupendwa. Anahitaji heshima zaidi na kutambuliwa mchango wake katika malezi ya watoto hata usipoambiwa akasikia ni poa tu.
 
Huduma zote zinapitia kwa mama yake hhivyo mtoto anakuwa karibu na mama zaidi, hata kuongea na watoto ni jambo ambalo wanaume wengi wanaachia akina mama, mwisho wa siku mtoto anachokumbuka kwako ni fimbo na ukali tu. Ugumu unatoka wapi kumwambia mtoto wako unampenda na akajihusi kuwa kweli baba ananipenda?
Hoja yako ni wapi huduma zinapitia au kusema "nakupenda"? Kwa hiyo alternative ya huduma ni kusema nakupenda?
Wengine sisi hatupitishii huduma kwa mama labda nikose nafasi. Nampeleka out mwenyewe, shoping tunaongozana, shule nampeleka na ada tunaenda kulipa naye bank. Hata mama yake akienda kununua kama nilimpa mimi hela nakuja kumwambia nilimpa mama yako hela akununulie.

Hivi hii mistari tunayokupa unachukua point lakini au umekaza fuvu tu?
 
WHoja yako ni wapi huduma zinapitia au kusema "nakupenda"? Kwa hiyo alternative ya huduma ni kusema nakupenda?
Wengine sisi hatupitishii huduma kwa mama labda nikose nafasi. Nampeleka out mwenyewe, shoping tunaongozana, shule nampeleka na ada tunaenda kulipa naye bank. Hata mama yake akienda kununua kama nilimpa mimi hela nakuja kumwambia nilimpa mama yako hela akununulie.

Hivi hii mistari tunayokupa unachukua point lakini au umekaza fuvu tu?
😂 sio kwa kukaza fuvu, sasa ndio umefafanua vizuri, hoja yangu ni vitendo na maneno. Waone kwa vitendo na uwaambie kuwa unawapenda. Affirmation words ni muhimu kwa watoto toka wakiwa wadogo, kwa wao kujenga trust na upendo kwa mzazi wake. Unaweza kuona haina athari yoyote mpaka atokee mtu mwingine kufanya hivyo, haitakiwi kuwa that strange kumwambia mtoto wako unampenda, kuna watu watatumia mwanya huo kuharibu mtoto wako.
 
Back
Top Bottom