Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣Huku uombe kazi? SidhaniSoma dogo ukimaliza uje uombe kazi humu sio kuja kutafuta wanawake
Ase unamkataa mwanao sioSina mjomba wa hivyo mimi
Ahahah ase wewe mbaya sanaKomaa
Mdogo angu ya kwel hayo...Hellow african
wote tuna simu wote tuna marafiki na wote tuna marafiki tofauti
Je mara mwisho kusave namba mpaya ambayo ni muhimu sana ni lini?
Au bado unasave namba ya single mother na videmu vya mtaani?
Mimi yapata miezi sita sasa sijasev namba mpaya nyingi naziweka panding how about wewe
Hahaha vijana kama vijana hatupoiLast week part 1,nilikutana na mpimbwende mmoja wa kishua nikampiga sounds akatoa number
Naomba namba yakoLeo asubui
Sina mjomba bangi bangi hvyoAse unamkataa mwanao sio
Nipe yako ntakuchekiNaomba namba yako
Sasa tumlaumu nani na wewe ndio ume mlea na hapa ulikuwa una mpa connection ya mashangzi ya jf ili kijana ainjoy lifeSina mjomba bangi bangi hvyo
😃😃😃😃
Acha roho mbaya wewe pambana na uncle wako uko
Jaribu mkuu uoga wako ndio umaskin wako🤣🤣🤣Huku uombe kazi? Sidhani
Uyo anko mbona unanilazimishia sana 😂Acha roho mbaya wewe pambana na uncle wako uko
Yah zipo nying pendig sana now nimejua kuset namba ambayo sijasev ikipigwa iseme inatumia hadi rahaPanding au sio
Mim hao mashangaz nawajulia wapi?Sasa tumlaumu nani na wewe ndio ume mlea na hapa ulikuwa una mpa connection ya mashangzi ya jf ili kijana ainjoy life