mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
nimekushindwa we mwanamke 😂 haya go and sell it to the highest bidder😂Mitatu🤣🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimekushindwa we mwanamke 😂 haya go and sell it to the highest bidder😂Mitatu🤣🙌
Mm nipo napitapita kila kona jf ndo starehe yetu wengineMkuu leo nakuona kwa kila thread
🤣🙌nimekushindwa we mwanamke 😂 haya go and sell it to the highest bidder😂
Wewe utakuja kuongea na majiniMara chache sana...
Na ishatokea sana mtu kukosea namba na kunitafuta basi hizo story ninazo mpaka hajutii kwanini kakosea namba.
Conclusion; mara ya mwisho kupata new number ni jana..
Sijasev ila nakumbuka inaishia 67Yule mgeni wako anae gombania sufuria la ukoko wa pilau na mwanao hujasevu namba yake kweli???
Yaaani mkuu mi sijari wala nini....Wewe utakuja kuongea na majini
Cool Broo!!Sijasev ila nakumbuka inaishia 67
Unapenda watu sana ?Yaaani mkuu mi sijari wala nini....
Mi mtu analiyekosea namba basi hapo hapo huwa mwanzo mzuri kwa mi na yeye na hupelekea kujuana kabisa
irekeboshe utakosa uteleziNimeingiwa na kaugonjwa kakuchukua namba afu sizi'save', siku natafutwa naanza kuuliza Nani?
Kama mwana atanielekeza ila mademu wengi huwa ndo inakuwa mwisho wa mawasiliano.
Poa mwanaCool Broo!!
Haaahaa🤓🤓🤓Nilifutaga namba za mtu. La haulaaa siku isiyo na jina nina shida… yuko ofisi flani ya umma.. watu tunaingia sana.
Nilikoma….
Cc. Johnnie WalkerNilifutaga namba za mtu. La haulaaa siku isiyo na jina nina shida… yuko ofisi flani ya umma.. watu tunaingia sana.
Nilikoma….
Mimi siihishi kwa hisia kaka
Last born wa mama❤️❤️
Natamani😋😀😀😀Sasa si ungesema tu unatamni kusave namba mpya
Ndio sanaaa tuuUnapenda watu sana ?