😂😂😂i was 70kg about three weeks ago,for now I think am about 68 to 69kg coz kindly I've started to maintain my weight and I don't want to reach 71, I feel more comfortable when my kg is 68 and 69... so typically I do deal with what am eating and when to eat also what do I do after eating, I mean works, if on that day I will work with simple tasks even my eating will be simple.
unakula chips usiku namna hii na ni Binti... unataka kutufanya nini wakaka wa watu😂😂😂
umesema 'when to eat'..??
afadhali yako, Mimi nimetoka kula chips zangu hapa sahii bhaana, wooiiii..!!
One day there was a power cut making lifts (escalator) not to function in one of an office.okay but when I reach 72 kg my body starting to feel like sick,also kitambi😂 but I'll check BMI
usingeshituka kijana wa hovyo ningekusaidia kazi ya kitandani...😂One day there was a power cut making lifts (escalator) not to function in one of an office.
So every one had to climb the stairs going to the office if she/he want service
I managed to climb up to 4th floor and my heart beat was high
From there, I started exercising to remove my fat belly because even during bed time with my lover, I had a very poor performance 🙌
Wazee tuna mbinu Mkuuusingeshituka kijana wa hovyo ningekusaidia kazi ya kitandani...😂
unajitapa au sio... haya bhana lkn nimekuelewa Sema kijana Nina pupa ila kinachonisaidia Nina pumzi ya punda..😂Wazee tuna mbinu Mkuu
Mara nyingi hupenda kumchosha adui kabla hatujatumia risasi ya mwisho
Na Bibi zenu hupenda sana njia hii, maana tunawafikisha kibo Kwa kulenga shabaha ya risasi Moja tu 😜🏃🏃
Kabla hatujaingia vitani kumpiga nduli Iddi Amini Dada Mwaka 1978-79 tumlipiga kwanza kwa maneno jukwaani Kwa kumwambia Yeye ni Mwanamke tu, anakula nyama za watu Hana lolote si chochote mbele ya Tanzaniaunajitapa au sio... haya bhana lkn nimekuelewa Sema kijana Nina pupa ila kinachonisaidia Nina pumzi ya punda..😂
😂😂unakula chips usiku namna hii na ni Binti... unataka kutufanya nini wakaka wa watu
😂😂 wacha mambo yako wewe energy. unataka kutuua viuno....😂😂
cha kuwafanya na chips kweli..? Je, ningekula mihogo mibichi na energy drinks..?
Ongeza mawe mfukoni
Shem hii ni uongo bhana 😂
Muulize nduguyo atakupa jibu😁😁Shem hii ni uongo bhana 😂
Sijui yupo wapi simuoni ningemuulizaMuulize nduguyo atakupa jibu😁😁
Sawa mama parokia zifike angalau 70
Nataka zifike 75 ila ndio haijawah kuwezekana.Sawa mama parokia zifike angalau 70