Kelsea
JF-Expert Member
- Dec 21, 2020
- 14,564
- 34,341
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo una 172cmIrefu sikwambii[emoji1]
Kama wako tu[emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23] kwa hiyo una 172cmIrefu sikwambii[emoji1]
Kama wako tu[emoji1787]
Hiyo hiyo.....🤣🤣🤣
[emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo hiyo.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Usiniite kipipa tu😄
Sasa jamani nitaje mahari, na bwana harusi simjui?Wewe taja mahari mmalizane[emoji23][emoji23]
Umri wakoMimi nilikuwa na kilo 56, ni kama wiki tatu zimepita sasa. Wewe je ulikuwa na ngapi?View attachment 2944524
mko na ufalme wenu wa pekeeMbona tunaofuatilia maelekezo ya Janabi tunasimangwa hivi? 😀😀
Aiaee ww ni mwembamna sanaNimepima muda sio mrefu nilipoingia kuoga bafuni uzito wangu ni 65 kg, kimo ni 1.78 m (5' 9") na body mass index (BMI) ni 20.5.
We ringa sahivi kuna maninja wenzako kule jukwaani wanataka anaepumua tu😂😂😂👍🏽Sasa jamani nitaje mahari, na bwana harusi simjui?
Wee kuweza? [emoji23][emoji23][emoji23]
Yule sio mimi, halafu miili yetu wanawake inaongezeka na kupungua kwa mwaka hata mara mbili, ukiniona feb nikiwa bonge tukikutana November nimepungua mpk unashangaa pia periods zinatubadilisha miili kariba na hizo siku huwa tunavimba kiainaSio kwa lile guu, utakua kwenye 80-90
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniii em sema kweli?We ringa sahivi kuna maninja wenzako kule jukwaani wanataka anaepumua tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1417]
Mchuchu ndio nini kwanza 😎Half american mchuchu una kilo ngapi au kama za paka??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu swali langu basiMchuchu ndio nini kwanza 😎