Hakika hata nikijaribu kurudisha moyo nyuma nashindwa, Kuna siku alinitafuta akawa anaongea as if hakuna kiliwahi kutokea ila nikasema hapana, wema unintended lkn hii kauli haitotoka milele kwenye moyoNi message ya kikatili sana hii, ni basi tu utakuwa strong ukiwa nje lakini ndani ya moyo kumejaa maumivu, ni vitu vinavyochukua muda mrefu kupona ila vinaacha makovu ya milele
Umefanya ujinga. Anyway you will be fine.Jana i was revising my phone book. Nimepunguza contacts from 600 to 175
Umenena mkuu, rafiki yangu mkubwa ni Mimi yaani najipenda mwenyewe then wanafamilia.Urafiki mara nyingi hujengwa kwa kitu fulani hasa labda ni shuleni, kazini, kanisan, nyumba za kupanga biashara ama kokote,
Kuna watu kweli wanatusaidia lkn siamini lazima niwafanye marafiki sana sana nita wa note in my diary na kuwatakia kila la khery!
Urafiki halisi mtakuwa na ups and downs km mapenzi yalivyo mtatofautishwa na vitu vichache ambavyo huwezi vipata make ni me na me, au ke to ke,
Nachoamini sisi ni binadamu tutatengana ama kuwa mbali huko atakutanna na watu wapya watakuwa marafiki huku nami nikipata marafiki pengine.....
Kinachokuja kuharibu urafiki ni kujiweka kwenye status according na watu unaokutana nao baada ya marafiki wa mwanzoni! Hiki hupelekea chogo, wivu, na kuanzana kuchukiana..
Nina mshkj o level alipo nipo! Mimi nilipo yupo lkn tulitenganishwa kwenda advance shule mbili tofaut so far sikupata rafiki advance mpk namaliza!
Hata namba za advance alumni nimekuja zipata tulipofika chuoni!
chuoni nilipata urafiki kiasi by then nikapunguza sana, nikiamini sio aina ya rafiki ninayemuhitaji!
So far na appreciate kwa kila Jema hata baya walinipa funzo na namna ya kumpokea mtu mpya kwenye cycle yangu!
NB:: family ninayotokea ndiyo marafiki zangu hasa wazazi wangu na ndugu zangu hata nikiwa mpweke, nazungumza na familia yangu..... Nadhani Mungu akijaalia familia nitayoenda itengeneza itakuwa the best pia kwangu na marafiki Bora kwangu.
Hovering Dr am 4 real PhD Determinantor secretarybird
Cha kusikitisha ni kwamba hata asilimia kubwa ya ndugu leo hii ni masnitch tu, thamani Yako Kwa ndugu itaonekana kama uko njema kiuchumi, ukiwa lofa hakuna anaekujali..familia yako ndo kila kitu.Ni kweli kabisa ,hapo ndio utajua nafasi ya familia yako na ndugu...Wale mliokuwa sehemu moja labda kazi au masomoni kila mtu ana maisha yake mkiachana kidogo tu.
Rafiki wa kweli ni familia yako tu.Familia, nenda unapokwenda ila jua utakuwa na familia yako siku zote. Wengi wetu familia zetu ndo rafiki zetu, tumepoteza na tunaendelea kupoteza watu wengi wa karibu lakini familia haipotei.
December 2025 ntapunguza kutoka 3000+ Contacts hadi 500 -1000Jana i was revising my phone book. Nimepunguza contacts from 600 to 175
Umenikumbusha... 😁😀😜Jana i was revising my phone book. Nimepunguza contacts from 600 to 175
Hilo swali la unafanya kazi gani hakika ni swali la kimbea sana,Marafiki wengi wapo kimasilahi tu ,wakishapata wanachokitafuta wanatafuta marafiki wa level zao na kusahau waliosota bao.
Mimi nina jamaa angu tulikuwa karibu sana ,alipopata kitengo fulani ndio mwisho wa kupokea simu hadi leo
Na wengi sana nimekutana na hayo
#mimi watu kama hao nafuta namba zao , siku tukikutana wakiniomba namba nawapa ya zamani ambayo haipo hewani
Mwingine mkikutana anakuuliza sikuhizi unafanya kazi gani ,badala ya kujuliana hali .
Jino kwa jino
Yan na namba ya simu nimebadili rasmi jana. Za zaman nimeziacha watsap kwa muda ila nitaziondoa hata huko watsap
Wapunguze tu 😅Umenikumbusha... 😁😀😜
Rafiki wa kweli_ langa kileo.