Marafiki wa kweli ni wa utotoni

You broke my heart kwa hii comment,🥲
We talked about it and i'm trying my best, i thought..... anyway i'm calling you now pick it up
 
Nilikua na rafiki moja wa utotoni nilio muamini na akaniamini, ila bahati mbaya nilivo rudi nchini nili ambiwa amefariki Iliniuma kweli kweli mpaka sasa sina rafiki hata moja, inauma sana kukosa mtu wakuamini, hu ni mwaka wa tano natafuta rafiki wa dhati lakini wapi loh!
 
We kama mimi tu ...nothing is wrong tuendelee tu kusukuma gurudumu la maisha.
 
Daaaah!umenikumbusha mwanangu sana raymond benedict enzii hizoo skuli ya nursery loooh!tunapitia ndani ya fenc y nyumba ya mapadri pori t pori kama maofficers wa tanapa hahahahahaha
 
Unataka kusema wenye tabia mbovu hawana marafiki?
Mimi nawaona Walevi na Wazinzi kila siku wameshibana na kusaidiana halafu wataka kusemaje,

Kila Mtu huambatana na wa kuendana nae.

Urafiki hua unakujaga automatically na haunaga maslahi,ubinafsi,wivu….., ikishaingia maslahi tuu urafiki ushaharibika. Maslahi yakiisha urafiki hufa….

Unaweza kuta wenye tabia mbovu wana marafiki wenye tabia nzuri, walevi wana marafiki sio walevi.
 
Uncle huu uzi, umegusa uhalisia, binafsi kuna marafiki hata niende nchi gani i never stop kuwasiliana nao na hata ipite miezi tunapowasiliana ni kama mnawasiliana kila siku, wengi ni wale wa primary school.

Urafiki huu hamnaga maslahi,hamnaga wivu, mnakosoana kirahisi kwa utani, mnapeana tafu bila kuuliza, ni rahisi kumsoma mwenzio kwenye hali zote.

Hawa ndio hata ukute wakibadilika na tabia za ukubwani mfano, mteja, mlevi, malaya kumtenga inakuwa ngumu…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…