Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,057
- 10,367
Huyu Jameh wa Gambia nae kanishangaza sana. Afrika tunayo safari ndefu sana.Maraisi wenyewe ni dizain hii ya kina Yahya Jammeh kwanini wasipelelezwe?wapelelezwe tu maana hakuna faida au hasara tutakayoipata wakifanyiwa hivyo.
Huo utajiri tunaouzungumzia huku wananchi bado masikini mwenyewe huwa mnashindwa kuuelewa.Hapa kama sijaelewa vile.
Hivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
Mkuu,sio wataalamu wao tu kujua lugha muhimu,bali agencies zao zao wanawatu toka mataifa almost yote waliyo na maslahi nayo. NSA pale kuna mbongo pure na wengine wapo kwenye nchi zao husika.Dhubutu wale wataalamu wao wanajua kila lugha muhimu za dunia hii usijidaganye na kiswahili, kuwa hawakufatilii, tena wale wana information kuliko hata viongozi wenyewe.
Nilikua barabarani kushangilia ujio wa Obama pale getini nilishuhudia mawaziri wakivua viatu mikanda
Nakubaliana na wewe jamaa wana maajent kila nchi ka ni uarabuni basi anakijua lugha halisi, hata Watanzania watakuwepo tu.Mkuu,sio wataalamu wao tu kujua lugha muhimu,bali agencies zao zao wanawatu toka mataifa almost yote waliyo na maslahi nayo. NSA pale kuna mbongo pure na wengine wapo kwenye nchi zao husika.
Wawe on top of things how? Mnapitishia Mawasiliano yote ya simu kupitia Satellite za nchi nyingine na intercontinental submarine fiberoptic cables za wengine mnadhani nini?Mods huu si uzi wa kuungwa ni jambo la muhimu sana katika KUDHBITI usalama wa taifa letu.
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.
Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!
Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.
IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.
KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!
Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!
Hatuna ubavu wa kuzuia tusidukuliwe,labla tusitumie simuMods huu si uzi wa kuungwa ni jambo la muhimu sana katika KUDHBITI usalama wa taifa letu.
Kutokana na habari zilizodhibitishwa ni kuwa UINGEREZA imekuwa ikiwafanyia UJASUSI marais 20 wa nchi za Afrika na zaidi ikiwa ni pamoja na KUSIKILIZA MAONGEZI yao na ya WASAIDIZI wao karibu na KUGAWANA SIRI hizi na CIA ya Marekani.
Makao makuu ya Mawasiliano ya kijasusi ya Uingereza GCSQ -British Government Communication Hq inayoshughulikia ku INTERCEPT/Kunasa mawasiliano ya KIJASUSI (SIGNIT) kutoka nchi mbali mbali ikiwemo viongozi wa nchi hizo kwa manufaa ya KISIASA na UCHUMI miongoni mwa MASLAHI yao mengine ya kisiasa imekuwa IKIFANYA KAZI HIYO!
Habari ZILIZOVUJA zinasema miongoni mwao ni viongozi waliopita na WALIOKO.....wa Afrka Mashariki ikiwa ni pamoja na Mawaziri wao Wakuu.
IKULU kadhaa ikiwemo ya Angola zimekuwa katika jicho kali 24/7 la shirika la ujasusi la Uingereza MI6.Hii ni kutokana na UTAJIRI wake mwingi wa mafuta.
KUVUJA kwa habari hizi kumela PANIC miongoni mwa viongozi na nchi za Afrika.
Nchi kama yetu na vyombo na vyombo
HUSIKA ni LAZIMA wawe ON TOP of things, ili KUZUIA ama KUKINGA MAWASILIANO ya rais Magufuli na WASAIDIZI wake wa KARIBU YASIVUJE!
Natumaini Rais Magufuli ATASIKILIZA USHAURI wa vyombo HUSIKA ili KUTOPIGA SIMU KIENYEJI katika ulimwengu uliobadilika.
Tukizingatia kuwa Tanzania ni NCHI TAJIRI lolote la kuchukua ADVANTAGE KIUCHUMI ama KISIASA na laweza kufanywa na the BIG BROTHERS kwa MANUFAA yao!
Chanzo Le monde la Ufaransa!
Naamini tunaweza. Penye nia pana NJIA!!!!!!!!!Hatuna ubavu wa kuzuia tusidukuliwe,labla tusitumie simu
Inawezekana sana. Ni uamuzi na NIA!Hatuna ubavu wa kuzuia tusidukuliwe,labla tusitumie simu
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Wenzetu wanadukua mawasiliano ya watu kwa ajili ya maslahi ya Taifa Lao sisi huku Tz tunaomba kuijua Application ya kudukua mawasiliano ya Mchepuko wako.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu sasa unataka kujilinganisha na wamarekani kwenye Technology?Mjumbe mwenzangu nina mashaka Sana na ulichoandika, Kwanza na mimi nakiri tuko nyumba ki technologia, hebu weka maelezo walau ya kuthibitisha kuwa hao watu wanatumia hiyo mitandao, mimi labda niseme wenzetu wameanza mapema mambo haya ingawa na sisi tumo licha ya kuwa Tanzania mambo yake hasa yanayohusu usalama huwa ni siri. Nimalizie kwa kusema tu watu kama Certified hackers wapo hata Tanzania na niwajuzi tu.