Marais 20 na wasaidizi wao Afrika wafanyiwa ujasusi

Marais 20 na wasaidizi wao Afrika wafanyiwa ujasusi

Wawe on top of things how? Mnapitishia Mawasiliano yote ya simu kupitia Satellite za nchi nyingine na intercontinental submarine fiberoptic cables za wengine mnadhani nini?
Inawezekana katika Encrypted format.
Unajua watengenezaji wa simu kama Blackberry waliwatoa jasho CIA.na hata NSA. Walishindwa ku CRACK simu zao. Walisihi sana wakiiomba kampuni hiyo iwape namna.
Sijui kama walikubaliwa. Mwenye habari anaweza kuchangia
 
Hivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
Mkuu kwani hupendi nchi yako? Msemo unasema Nyumbani ni nyumbani hata kama ni nyumba ya nyasi ni NYUMBANI na kuna SIRI za NYUMBANI
 
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] mkuu sasa unataka kujilinganisha na wamarekani kwenye Technology?

Hacker?? Hackers wanazui ikulu ya Tz kuchugnuliwa ?

Unataka kusema Tz tuna watu wa caliber ya kina Snowden?

Kama utakumbuka CIA waliingiliaga Mazungumzo ya Siri ya Chancela wa ujerumani Angel na uwezo wote wa ujerumani sembuse Magu wa Tz...


Tz bado sana
Hawakuinglia ila WALIJARIBU WAKAGUNDULIKA ndo hiyo tunayoitaka kwetu. KUZUIA na KUGUNDUA
 
tokea enzi za jakaya kuna no,inajulikana kwa rais makamu na PM,wengine wote wanaitwa ikulu kwa mazungumzo ikitumika simu basi mtu anaagizwa afuatilie ufisadi mbinga
 
Hili ni tatizo la muda mrefu hawa jamaa wana uwezo mkubwa wa kudukua kama kuna mtu anaweza kutafuta kitabu "The spy catcher"
 
Hata wakifuatilia mazungumzo yake ni ngumu kuelewa kiingereza wala kiswahili labda wawe na mkalimani wa kisukuma
 
Hili ni tatizo la muda mrefu hawa jamaa wana uwezo mkubwa wa kudukua kama kuna mtu anaweza kutafuta kitabu "The spy catcher"
Hata wame graduate/Kuhitimu wametoka huko wako mbele sana sasa!
 
Sasa Tanzania tutaficha nini?

Tunaficha nini kwa mfano yaani with our poor Technology....
Mawasiliano tuko dependant 100% , Telecom devices zoteee tunanunua kwao alafu washindwe kutuingilia ?

Sijui ikulu na viongozi wetu wanatumia njia gani kuwasiliana on private issues lakini najua wana laini za voda, Tigo, halotel ,airtel sijui na TCCL

Hatuna hata Cyber Army yakufanya propaganda kama wenzetu....


Kama vipi wapigiane tuu simu za kuonana..waongee face to face...[emoji41][emoji41][emoji41][emoji41]
Ni kweli mkuu. Ikulu ilikuwa inatumia email ya yahoo mpaka hapa juzi juzi eti ndo wamehamia Gmail. Sijui kama kuna secure line ambayo rais huwa anatumia.

Ukiachilia mbali udukuzi ikulu pale mtu unaweza kukaa juu kwenye ule mghorofa jirani ukiwa na special goggles ukaona kila kitu kinachoendelea. Sisi kwa kweli hakuna kitu kabisa!
 
Nafikiri pia serikali inaweza KUWAONGEZEA BAJETI ya kutosha upande wa...... chombo husika ili wawe na uwezo wa kufanya counter UDUKUZI na vifaa vya kisasa. Ama unaonje mkuu?
yeah ni kweli but cku zote unapofanya investment lazima pia uangalie wnapata nn in return,mfano wadukuz weng wanaodukua nchi za ulaya na marekan weng wao huwa wanadukua siri za makampuni makubwa ya biashara ama ya silaha ili watumie taarifa hizo kuwasaidia kuendeleza makampuni yao pia kwahio hapa bajeti znazowekwa na serikali husika kwe viombo vyao usalama ili kuzlnda taarifa za kampun zao zinakuwa ni sawa.....nakumbk pia hawa wabritish kwa huku east africa wamekua wakidukua sana kenya hsa kwajili ya kutrace link za al shabab na c kwasababu zingne kwahio kwa mtazamp wang mm kwekeza huko ni muhimu lakin kwa sasa hatuna udharula huo labda uko mbelen kwasasa tuendelee tu kuwekeza kwe elimu itatusaidiaga huko mbelen kuja kusolve changamoto km hizi
 
Sadock kweli hatari lakini una wazo gani, tufanyeje?
Mkuu,
Hapa lazima rais awae limited na mawasiliano anayoyafana nichukulie mfano rais obama wakati anaingia madarakani alilimitiwa ikiwemo kubadilishiwa simu na kupewa simu aina ya blackberry kama sijakosea naona hata trump ndio jambo ambalo amekwishataarifiwa kuwa simu yake aliyoizoea mwisho getini kuitumia....... hapa vyombo vyetu vya ulinz lazima wawe strict kwenye issue za mawasiliano yanayohusu viongozi wote wakuu ikiwemo na watu wao wakaribu
 
Hivi nchi duni kama Tanzania hata ikidukuliwa kuna nini ?
Inabidi sasa tunapokuwa miili tukue na akili zetu
Udukuzi hufanyika kujua Sera zilizopo katika nyanja zote, katika siasa, uchumi, teknologia, na katika vyombo vya ulinzi na usalama . hali hii ni hatari zaidi hasa siri za majeshi zinapojulikana yaani uwezo, molari na teknologia na vifaa vilivyopo, ukizingatia Tanzania ni nchi tajiri kwa Rasilimali wazungu wanakesha wakidukua ili wapate njia gani bora zaidi ya kukomba rasilimali zetu. Yapo mengi san a ukifikiria vizuri utagundua kuwa Tanzania inapaswa kuwa imara sana dhidi ya udukuzi huo.
 
Back
Top Bottom