Nurain
JF-Expert Member
- Apr 28, 2022
- 2,403
- 5,315
Naunga mkono Hoja !!!Mstaafu. J.Kikwete hana baya kabisa kwa upande wangu, period. And of course, he’s the best President of all time(kwangu mimi).
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naunga mkono Hoja !!!Mstaafu. J.Kikwete hana baya kabisa kwa upande wangu, period. And of course, he’s the best President of all time(kwangu mimi).
Amestaafu lini!Narudia tena na tena hatutakuja kupata Marais wanaojua siasa, Uongozi na utawala Kama Rais Hayati Nyerere na mstaafu Kikwete.
RIP Daudi MwangosiNaunga mkono Hoja !!!
Mzee Mwinyi ndiye Rais bora wa wakati wote
Hawakumbuki madhila ya utekelezaji wa Operation ya Vijiji vya Ujamaa.Shida hata mnaotaja Nyerere Wengi hamku feel utawala wake....
Nyerere kulikuwa na magazeti ya serikali Tu na redio ya serikali..
Kila mnachoambiwa kiko edited Kwa lengo la kupamba serikali...hakuna TV wala internet....
Chochote anacho agiza Rais ni sheria hapo hapo...hata aliagiza uchapwe fimbo.... inasemekana kina Samuel Sitta aliwachapa fimbo walipogoma Udsm.....
Sisemi haya kupinga Kuwa alikuwa Rais Bora... natamani wanaosema Rais huyu Bora na Yule sio Bora wapime Kwa mizania sawa...Binafsi Mkapa nimekuja kumpa thamani zaidi baada ya kifo chake ...Kikwete thamani yake ilionekana baada ya kuondoka Ikulu.....sisemi yupi Rais Bora but hata Samia thamani yake itaongezeka akisha toka Ikulu naamini
Ni hakika kwamba ulikuwa hujazaliwa enzi za Nyerere. Bendi za muziki zote zilikuwa zinamsifia yeye na misemo kama 'zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti wa Chama' ndiyo ilikuwa kibwagizo cha mikutano.Nyerere alikataa uchawa Kama ilivyokuwa kwa Kikwete mambo ya kusifiwa sifiwa Hawa watu walikuwa hawataki kabisa!!
Nakubaliana nawe mzee mwenzangu, asilimia kubwa ya hawa vijana hawakuwepo enzi za utawala wa awamu ya kwanza.Shida hata mnaotaja Nyerere Wengi hamku feel utawala wake....
Nyerere kulikuwa na magazeti ya serikali Tu na redio ya serikali..
Kila mnachoambiwa kiko edited Kwa lengo la kupamba serikali...hakuna TV wala internet....
Chochote anacho agiza Rais ni sheria hapo hapo...hata aliagiza uchapwe fimbo.... inasemekana kina Samuel Sitta aliwachapa fimbo walipogoma Udsm.....
Sisemi haya kupinga Kuwa alikuwa Rais Bora... natamani wanaosema Rais huyu Bora na Yule sio Bora wapime Kwa mizania sawa...Binafsi Mkapa nimekuja kumpa thamani zaidi baada ya kifo chake ...Kikwete thamani yake ilionekana baada ya kuondoka Ikulu.....sisemi yupi Rais Bora but hata Samia thamani yake itaongezeka akisha toka Ikulu naamini
Ulichoandika kinasadifu jina lako.Ni hakika kwamba ulikuwa hujazaliwa enzi za Nyerere. Bendi za muziki zote zilikuwa zinamsifia yeye na misemo kama 'zidumu fikra sahihi za Mwenyekiti wa Chama' ndiyo ilikuwa kibwagizo cha mikutano.
Uchawa upi tena uliutaka?
Naunga mkono Hoja !!!
Tupo wengi mkuuMstaafu. J.Kikwete hana baya kabisa kwa upande wangu, period. And of course, he’s the best President of all time(kwangu mimi).
Mi nawaona NYERERE, MKAPA na mwingine angekuwa Magu ila ubabe ulipitiliza!.
Nilimuulizaga mzee wangu mmoja juu ya Uongozi wa Hayati Magufli na Nyerere! Yule mzee alinijibu Nyerere alikuwa mkali sana sawa tu na Magufuli lakini shida ya Magufuli alikuwa mfatiliaji sana , akikuagiza kitu ujue atafatilia mpaka kifanyike kweli.Mi nawaona NYERERE, MKAPA na mwingine angekuwa Magu ila ubabe ulipitiliza!.
mikataba mibovu ya gas ya awamu yake ndio inatusumbua hadi leo hii!
Huu ni ukweli mchungu na ndiye rais aliyechafuliwa Sana Ili aonekane mbaya lakini nakwambia mpaka kesho hatutakuja kuwapata Marais Kama J.K Hawa wawili.Mstaafu. J.Kikwete hana baya kabisa kwa upande wangu, period. And of course, he’s the best President of all time(kwangu mimi).