Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
- Thread starter
-
- #101
Huo ndio mwanzo wa kukata pumzi kutokana ns kuajiri mamluki kwa kupitia mapenzi.OK sawa BM safari za Arusha/Dar inafanya vizuri sana office zao wote hao wapo karibu na office za Kilimanjaro ina miaka karibu mitatu naona wapo vizuri tuu sio kuwa wanavuma ila wahudumu wao pale office wale wadada Customer care ni zero...
Hahahahah basi linaharibika bagamoyo spea inatoka Moshi[emoji1787][emoji1787]Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.
Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Waliogopa kuchekwa na watesi wao wa Dar.Hahahahah basi linaharibika bagamoyo spea inatoka Moshi[emoji1787][emoji1787]
Walikuwa hawana hela ikabidi waagize toka store yao huko Moshi.Najiuliza kwa nini spea haikuagizwa Dar ambapo ni karibu zaidi na Bagamoyo!
Umenikumbusha KisweleTuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania.
Na pacha wake Special Coach 🤣Umenikumbusha Kiswele
Juma Ngarema vs Msigwa & Mgaya 😂Na pacha wake Special Coach 🤣
Mambo mazuri yalikuwa zamaniJuma Ngarema vs Msigwa & Mgaya 😂
Yutong gia zikigoma Ndio mwisho wa safari 😀Mambo mazuri yalikuwa zamani
Mtu hufanyi ukaguzi wala service kama inavyotakiwa then gari ikizingua unaanza kusema magari ya kichina mabovu acheni hizo mambo aiseeTuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania.
Scania inaserereka tuYutong gia zikigoma Ndio mwisho wa safari 😀
Sauli kakimbia game?Mbona sauli kakimbia game na scania zake.
Scania, Mchina zote zinataka service
Pandeni ndegeJana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.
Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Tuletee mbegu.Pandeni ndege
Kuna mambo ukisimuliwa utajua ni chaiHahahahah basi linaharibika bagamoyo spea inatoka Moshi[emoji1787][emoji1787]
Unajua hata wewe hapo ulipo unatakiwa utembee na toolbox spea muhimu kondom na viagra, huwezujua.Safari hatua, hujuo lililo mbele yako shukuru imefika salama
Kama gari mpya inatoka ulaya na tool box. Unashindwa kujiuliza tool box ya kazi gani!?
Ina maana hata aliyetengeneza gari anajua kuwa anytime gari inaweza haribika
Stay tune