Marangu Coach imefikia hatua hii

Marangu Coach imefikia hatua hii

OK sawa BM safari za Arusha/Dar inafanya vizuri sana office zao wote hao wapo karibu na office za Kilimanjaro ina miaka karibu mitatu naona wapo vizuri tuu sio kuwa wanavuma ila wahudumu wao pale office wale wadada Customer care ni zero...
Huo ndio mwanzo wa kukata pumzi kutokana ns kuajiri mamluki kwa kupitia mapenzi.
 
Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.

Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Hahahahah basi linaharibika bagamoyo spea inatoka Moshi[emoji1787][emoji1787]
 
Tuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania.
Umenikumbusha Kiswele
 
Tuliposema mabasi ya kichina ni hovyo tulishambuliwa tukaambiwa hatuendi na wakati, huo upuuzi hutausikia Kilimanjaro Express, wale gari zao nyingi kama siyo zote ni toughened and trusted Scania.
Mtu hufanyi ukaguzi wala service kama inavyotakiwa then gari ikizingua unaanza kusema magari ya kichina mabovu acheni hizo mambo aisee
 
Jana Jumatano 04/10/2023 basi la Marangu Coach liliondoka Dar es Salaam asubuhi kama kawaida na abiria wakiwa na matarajio ya kufika Moshi kwenye saa 10 hivi bila kujua lililo mbele yao, basi lilipofika wilaya ya Bagamoyo likaharibika ikabidi spea iagizwe toka Moshi iletwe Bagamoyo! Akili mbovu.

Spea haikuletwa kwa ndege wala ungo, Moshi siyo Dar masaa yalipita Mungu Mkuu ikafikishwa na basi likatengenezwa na kuendelea na safari, likaingia mkoa wa Tanga likaharibika tena na likatengenezwa na kuendelea na safari, mpaka saa nne usiku basi lilikuwa wilaya ya Same! Usingizi ukanipata nikazimika na sijui Moshi liliingia saa ngapi ila lilifika salama, hiyo ndiyo Marangu Coach.
Pandeni ndege
 
Safari hatua, hujuo lililo mbele yako shukuru imefika salama


Kama gari mpya inatoka ulaya na tool box. Unashindwa kujiuliza tool box ya kazi gani!?
Ina maana hata aliyetengeneza gari anajua kuwa anytime gari inaweza haribika


Stay tune
 
Safari hatua, hujuo lililo mbele yako shukuru imefika salama


Kama gari mpya inatoka ulaya na tool box. Unashindwa kujiuliza tool box ya kazi gani!?
Ina maana hata aliyetengeneza gari anajua kuwa anytime gari inaweza haribika


Stay tune
Unajua hata wewe hapo ulipo unatakiwa utembee na toolbox spea muhimu kondom na viagra, huwezujua.
 
Back
Top Bottom