Marangu Coach imefikia hatua hii

Marangu Coach imefikia hatua hii

Kwani kuna gari isiyoharibika mkuu?

Sema kosa kubwa, spea itoke Moshi badala ya Dar.
Pili inafaa gari ikiharibika wafanye mbadala kufaulisha watu.

Hata ndege zinafaulishaga mkuu
Wapi nimesema mbovu! Ulichoshangaa ndicho nilichoshangaa namimi, kutokuwepo gari ya akiba na kutojali muda wa abiria.
Tusilaumiane kwa kutokuwa makini kwenye kuisoma na kuielewa mada.
 
Kwanini msisafiri na Tilisho
Kama ni mmarangu hawaipendi. Wanaipenda esther. Hahaha kuna mgawanuiko fulani hivi. Tilisho na esther wote warombo. Lkn kwasababu ya huduma zao Esther huwa wana dharau sana na nyodo warombo wenzao hawaipendi. Ila tilisho hawnaa nyodo wala dharau, wanapendwa na warombo. Kwahiyo kuna kamgawanyiko.
 
Namba A ya scania inafanya poa kuliko mchina wa namba E. Kama nasema uongo nionyeshe mchina wa namba A.

Wanaoendesha ni watoto. Ni yule wa kiume. F*uck covid. Imewakatili sana hii familia aisee. Nilipita kijijini kwao Lekura Mamba last week kumepoa kweli jamani. Mwenye mali ni mwenye mali tu.
Kampuni inasimamiwa na mjomba wao,watoto bdo wanasoma...shida ni mwanasheria kusimamia mabasi
 
Kama ni mmarangu hawaipendi. Wanaipenda esther. Hahaha kuna mgawanuiko fulani hivi. Tilisho na esther wote warombo. Lkn kwasababu ya huduma zao Esther huwa wana dharau sana na nyodo warombo wenzao hawaipendi. Ila tilisho hawnaa nyodo wala dharau, wanapendwa na warombo. Kwahiyo kuna kamgawanyiko.
Wachaga mna mambo sana
 
Namba A ya scania inafanya poa kuliko mchina wa namba E. Kama nasema uongo nionyeshe mchina wa namba A.

Wanaoendesha ni watoto. Ni yule wa kiume. F*uck covid. Imewakatili sana hii familia aisee. Nilipita kijijini kwao Lekura Mamba last week kumepoa kweli jamani. Mwenye mali ni mwenye mali tu.
Yule kijana mpenda chini kampuni kusonga ni ngumu, anafanya mambo ya hovyo sana
 
Hawaziamini spea za Dar
Siyo hawaziamini Dar spare bei kubwa Moshi rahisi.

Mfano gear box ya Fuso Dar inafika 5.5mil wakati Moshi hiyo hiyo used kutoka Dubai/Japan inakuwa 3.5 to 4mill so unaweza ukaona namna huo utofauti unavyokuwa mkubwa,japo kulinda brand ilibidi kwa gharama yoyote spea ipatikane abiria waondoke
 
Siyo hawaziamini Dar spare bei kubwa Moshi rahisi.

Mfano gear box ya Fuso Dar inafika 5.5mil wakati Moshi hiyo hiyo used kutoka Dubai/Japan inakuwa 3.5 to 4mill so unaweza ukaona namna huo utofauti unavyokuwa mkubwa,japo kulinda brand ilibidi kwa gharama yoyote spea ipatikane abiria waondoke
Na Kilimanjaro huwezi kukosa spea yoyote, siri ni nini wakuu?
 
Back
Top Bottom