Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Huyo ni kijana muhimu sana
Eti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba Martin Maranja Masese , amekuwa Mtanzania wa kwanza kutembelea Kaburi la Edward Lowassa huko kijijini Ngarashi , Wilayani Monduli .
Bwana Masese amekutana na Familia ya Lowassa na kuteta nayo Mambo kadhaa , ikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema , iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015
View attachment 2909275View attachment 2909276
Usipanic 🐼Eti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?
tutajibuNa huyo binti kwenye picha ni nani! Ni Kamanda?
Wewe ndiye umeonyesha upumbavu wako ,jifunze kusoma ili uelewe kuliko kuuliza maswali, tuliosoma chini ya mstari tumeelewa kuwa ni mtanzania wa kwanza(offcourse)nje ya familia yake, sawa sasa tatizo lipo wapi?,kama umeona wivu, nenda kule Lushoto kuna milima mingi, go and jump to hellEti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?
Salaam zifike Njiapanda ya nanasiikumbukwe kwamba Maranja Masese ni miongoni mwa Team Maalum ya Chadema , iliyoambatana na Lowassa kila Mahali kwenye kampeni za Urais za 2015
Usilie mkuu , mbona CCM nayo ni nambari wani kwa kuleta umasikini !Eti Mtanzania wa kwanza kutembelea kaburi la Lowassa. Ndiyo maana mnaitwa manyumbu hivi hivi kwa ujinga wenu.
Waombolezaji,watoto wake,mke,nduguze,nk wote hao hawajalitembelea kaburi hadi huyo Masese awe namba one?
Inaitwa faradhi kifaya kwa waislamu (hakuna ulazima kwenda msibani kwa kila mtu )Ridhiwan hakwenda msibani. Sijui naye ataenda kutembelea kaburi la Lowasa na akutane na familia pia?
Ndio kishakuwa wa kwanza tenaWewe nae naona unashindana na Lucas sasa, Mtanzania wa kwanza?
Martin amefanya vyema, familia ya Lowassa inastahili faraja kwa jinsi baba yao alivyoyagusa maisha ya wengi.